Wakenya wanajua kuitumia ardhi kwa manufaa zaidi kuwazidi Watanzania?

Wakenya wanajua kuitumia ardhi kwa manufaa zaidi kuwazidi Watanzania?

Hayo matunda yanaweza kustawi kwenye maeneo ya joto kama bagamoyo?
Nafikiri. Yote yanapendelea mazingira ya joto.


Mfano, drago fruits yanastawi zaidi kwenye ukanda wa semi arid.

Nafikiri kuna wanaootesha mikoa ya Dar Es Salaam, Pwani, Geita, n.k.

Humu ndani JF kuna nyuzi zake.
 
Mkenya ana masoko ya uhakika baada ya kuvuna tukianzia nchini kwao pamoja na nchi za nje. Wabongo wanategemea dalali.
Utunzaji na umuhimu wa kitu chochote una mashina mawili makubwa.

1) Kwanza ni Elimu na Discipline ya Matumizi mazuri. Iwe ya Ardhi, gari, fedha, elimu, mahusiano nk. Haya yanaweza kutokana na mfumo mzuri wa elimu, au mazingira yanawasukuma kufanya matumizi sahihi halafu Matokeo yake subconsciously mnajengwa kuwa watu wenye utaratibu wa kuwa watumiaji wazuri wa vitu. Kwenye mfano wa Ardhi hapa unakutana na Wachaga, Wahaya na Wanyakyusa. Ambao jiografia imewafunza kutumia Ardhi vyema kwa sababu ya scarcity especially kwenye vizazi.vilivyotangulia. hii pia imewashape wakenya... Lakini zaidi ni post colonial land laws and policies ambazo zimeendelea kujifanya.ardhi kuwa haba zaidi Matokeo yake imekuwa ya thamani.. tofauti na kwetu hapa kuipata bure bure na mifumo kushindwa kulinda Milki ukijumlisha na sera yetu ya kukodi Ardhi yetu inakosa kuwa ya thamani sana hivyo kushindwa kuvutia uwekezaji mkubwa kwa ngazi zote za kipato.

2) Ili kitu kiwe muhimu pia lazima kiwe na uwezo wa kuwa na faida au kutatua changamoto mbali mbali kwa mmiliki wake. Hapa tukozumzia Ardhi Kenya wamefanikiwa sana kuwasaidia watumiaji wa Ardhi katika nyaja zote ikiwemo kilimo, ufugaji, madini, na ujenzi kujipatia kipato kikubwa. Hiyo inamvutia kila mtu anayepata nafasi japo haba ya kupata rasilimali Ardhi kuiwekea mipango kabambe inayosaidiwa na.mifumo.mozuro ya kisheria na kiuchumi kufikia.malengo. tofauti na hapa kwetu wakulima matajiri ni wachache sana..na matajiri wakulima wa kizazi.mpaka kizazi ni kama hakuna kabisa.

Tunahitaji kuyazungumza haya kwa upana sana.
 
Utunzaji na umuhimu wa kitu chochote una mashina mawili makubwa.

1) Kwanza ni Elimu na Discipline ya Matumizi mazuri. Iwe ya Ardhi, gari, fedha, elimu, mahusiano nk. Haya yanaweza kutokana na mfumo mzuri wa elimu, au mazingira yanawasukuma kufanya matumizi sahihi halafu Matokeo yake subconsciously mnajengwa kuwa watu wenye utaratibu wa kuwa watumiaji wazuri wa vitu. Kwenye mfano wa Ardhi hapa unakutana na Wachaga, Wahaya na Wanyakyusa. Ambao jiografia imewafunza kutumia Ardhi vyema kwa sababu ya scarcity especially kwenye vizazi.vilivyotangulia. hii pia imewashape wakenya... Lakini zaidi ni post colonial land laws and policies ambazo zimeendelea kujifanya.ardhi kuwa haba zaidi Matokeo yake imekuwa ya thamani.. tofauti na kwetu hapa kuipata bure bure na mifumo kushindwa kulinda Milki ukijumlisha na sera yetu ya kukodi Ardhi yetu inakosa kuwa ya thamani sana hivyo kushindwa kuvutia uwekezaji mkubwa kwa ngazi zote za kipato.

2) Ili kitu kiwe muhimu pia lazima kiwe na uwezo wa kuwa na faida au kutatua changamoto mbali mbali kwa mmiliki wake. Hapa tukozumzia Ardhi Kenya wamefanikiwa sana kuwasaidia watumiaji wa Ardhi katika nyaja zote ikiwemo kilimo, ufugaji, madini, na ujenzi kujipatia kipato kikubwa. Hiyo inamvutia kila mtu anayepata nafasi japo haba ya kupata rasilimali Ardhi kuiwekea mipango kabambe inayosaidiwa na.mifumo.mozuro ya kisheria na kiuchumi kufikia.malengo. tofauti na hapa kwetu wakulima matajiri ni wachache sana..na matajiri wakulima wa kizazi.mpaka kizazi ni kama hakuna kabisa.

Tunahitaji kuyazungumza haya kwa upana sana.
Hoja imeungwa mkono kwa kura zote.

Uko sahihi sana mkuu. Asante🙏
 
Wakenya wanalangua matunda na mbogamboga wanapeleka kwao kufanya package na kuuza nje ,mkuu kuuza mboga na matunda nje ya nchi sio kwamba unaamka tu na unajiamlia kuna utaratibu maalumu na makubaliano ambayo serikali ya nchi husika lazima ifanye na nchi unayoenda kuuza hizo bidhaa .
Sisi balozi zetu zimelala hazifungui masoko na kuingia mikataba ya kibiashara ya kumnufaisha mkulima directly ,sasa hilo ni tatizo .
Huwezi leo hii ukasema umelima zako Matango ,tikiti , spinach organic fresh kwenye greenhouses zako halafu unataka ukayauze UK bila pre agreement na vibali maalumu , haipo hiyo .Bidhaa yako yenye package na mambo ya Tanzania toka Tanzania haiwezi ingia UK bila makubaliano ya Tanzania na UK na vibali maalumu vya ukaguzi kuhusiana na hiyo bidhaa unayopelekea .
Hii haifanywi na raia ,ni kazi ya serikali kufungua hizi fursa

Pole sana mkuu. Ugua pole.

Mimi nayamudu mazingira yote:

1. Kukaa kwenye hoteli ya nyota tano

2. Kulala shambani kwenye banda la majani ambalo mlango wako ni kipande cha gunia

3. Kutumia usafiri wa ndege

4. Kutembea kwa miguu kwa masaa mengi bila kupumzika, hata zaidi ya masaa kumi, ikibidi.

5. Kuvaa kinadhifu

6. Kuvaa ",kishamba", ikibidi, na kutembea peku

7. Kulima muda mrefu kwa jembe la mkono, muhimu tu nisiwe na njaa. Naweza nikakaa shambani Asubuhi hadi Usiku

Kwa kifupi, ninayaweza mambo yote...
sawa mkuu ila kamaa alivyo comment EXTROVET uwe na passion ya shamba mi ni mkulima mdogo ninaepanuka
Pole sana mkuu. Ugua pole.

Mimi nayamudu mazingira yote:

1. Kukaa kwenye hoteli ya nyota tano

2. Kulala shambani kwenye banda la majani ambalo mlango wako ni kipande cha gunia

3. Kutumia usafiri wa ndege

4. Kutembea kwa miguu kwa masaa mengi bila kupumzika, hata zaidi ya masaa kumi, ikibidi.

5. Kuvaa kinadhifu

6. Kuvaa ",kishamba", ikibidi, na kutembea peku

7. Kulima muda mrefu kwa jembe la mkono, muhimu tu nisiwe na njaa. Naweza nikakaa shambani Asubuhi hadi Usiku

Kwa kifupi, ninayaweza mambo yote...

sawa mkuu ila kama alivyo comment EXTROVET uwe na passion ya shamba mi ni mkulima mdogo ninaepanuka shamba kadiri ya muda napenda pilipili mbuzi , papai na pesheni soko ni DAR, hakuna cha ajbu mpaka upoteze muda kuja huko na pia mtibabu yana nisumbua ccbrt

mazao yangu hayo nni kwamba ukipanda utavuna kupata hela mara kadhaa bila kupanda tena yaani unachuma unauza na shambni unasubiri tena yaive , natumia umwagiliaji wa matone kwenye pilipili.. Hivyo nimepata shamba ambalo linakubali mazao hayo matatu na mahindi alizeti na ufuta. na nyanya bamia na mbogo mboga zote na matunda., mazao yanayokaribiana pH, sina maarifa kwenye mahindi n mpunga sabbu mimi sipendi mazoo ya kuvuna halafu unapanda tena

kinachonisiadia ni kuwa na maji wakati wote na kumwagiiia eneo kubwa kwa urahisi, hivyo hakuna cha ajabu kama nivyosema mimi ni mkulima mdogo ninaechipukia. Ila ukianza kulima aa kuvuna mtandao wko unakuwa.
 
Nakumbuka wakati tunasoma shule za msingi kwenye miaka ya sabini, wakati Tanzania ilikua na shule za sekondari chini ya mia mbili nchi nzima Kenya walikuwa na sekondari zaidi ya 600 nchi nzima wakati tukiwa na idadi ya watu kwenye milioni 12 huku Kenya wakiwa na watu milioni 8 hivi.

Elimu ndogo miongoni mwa watanzania wengi imechangia sana kwa jamii ya watanzania kuwa subjective society badala ya objective society tofauti na Kenya na hii hali ndio imewapa ccm unafuu wa kuitawala nchi hii kwa muda mrefu zaidi.
 
Sema wametangulia kuwa na exposure,kwani huku huku hakuba wasomi?
Sawa sasa hivi angalau tunaweza kusema tuna wasomi lakini utakubaliana na mimi kwamba wengi wa wasomi wa kitanzania utawajua tu kwani wengi wao ni watu wanafiki na hawawezi kujenga hoja na kuitetea ni watu wasiojiamini kabisa tofauti na wasomi wa Kenya.
 
Mimi nimezaliwa Kagera ,nakupa uhalisia huo sasa , kama wewe hauamini ,its up to you kufanya uchunguzi wako binafsi na kujiridhisha nilichokwambia .
Mfumo sio rafiki kabisa nchi hii kwa mkulima
Si vibaya ukashare nasi huo mfumo unakuwa si rafiki katika hatua ipi ya mnyororo wa thamani?
 
Hiyo bureaucracy nafikiri ipo pia kwenye ununuzi wa korosho na pamba. Inafanyika hivyo kwa manufaa ya nani?
Watuwekea limiti ili wao viongozi wao wapush hayo madel imagine kwenye open market wewe na waziri mna compete sehemu moja ya biashara,.kwaiyo lazima waziri atumie uwazir wake kuku push down ili yeye ndio hiyo deal aipate, kuna miradi mingi bongo huwa behind the scenes ni viongozi na ndio hao hao wanotunga sheria za wake wenza kulipwa mafao
 
wakulima waKUBWA huwaoni huku jf wako bize mi nilimtembelea mkulima mmoja kule njombe karibu na songea mbali sana, ilibii tumkague sababu aliomba maji ya mto na yanatoka kwa kibali kama una mrdi kama waKe, ana SHAMBA kubwa inabidi ma foreman wanatumia radio call kuwasiliana na wanapikipiki na ana dish la internet, na nyumba za wafanyakzi zile tunazoita kota na ametengeza umeme waKE mwemyewe na nguzo kabisa kwenda camp'

anavyomwagiia sasa shamba lake utakuta matiri makubwa kama yale ya nyuma ya trekta ila yake ni makubwa zaidi yako kama 10 hivi yameunganishwa na mabomba juu na chini na kuna motor kama 4 hivi bomba za CHNI. bomba a juu kuna sprinklers nyingi tu. Kila tairi lina njia yaKE iliyonyooka ya kupita Tairi na tairi umbali kaMA MITA 30
yaaniye kazi yake ni kuwaSHA mtambo ns matairi yote yannza Kutembe taratibu kwa pamoja kil tiri njia yake huku sprinkers zinarusha maji. ,Baada dakika kadhaa ule mtambo unakuwa umefika mwisho unaanza kurudi wenyewe yaani hpo hamna dereva unajiendeha wenyewe akati huo alikuwa amelima maharage, kabla ya hapo alilima mchaichai. Ni mswahili nna mzungu, nazni nimeelweka keyboard inasumbua.. mtu mwenye eka 500au 1000 wengi sio rahisi kuwajuaa anajichimbia bush huko na anajitoshelezakila kitu
 
sawa mkuu ila kamaa alivyo comment EXTROVET uwe na passion ya shamba mi ni mkulima mdogo ninaepanuka


sawa mkuu ila kama alivyo comment EXTROVET uwe na passion ya shamba mi ni mkulima mdogo ninaepanuka shamba kadiri ya muda napenda pilipili mbuzi , papai na pesheni soko ni DAR, hakuna cha ajbu mpaka upoteze muda kuja huko na pia mtibabu yana nisumbua ccbrt

mazao yangu hayo nni kwamba ukipanda utavuna kupata hela mara kadhaa bila kupanda tena yaani unachuma unauza na shambni unasubiri tena yaive , natumia umwagiliaji wa matone kwenye pilipili.. Hivyo nimepata shamba ambalo linakubali mazao hayo matatu na mahindi alizeti na ufuta. na nyanya bamia na mbogo mboga zote na matunda., mazao yanayokaribiana pH, sina maarifa kwenye mahindi n mpunga sabbu mimi sipendi mazoo ya kuvuna halafu unapanda tena

kinachonisiadia ni kuwa na maji wakati wote na kumwagiiia eneo kubwa kwa urahisi, hivyo hakuna cha ajabu kama nivyosema mimi ni mkulima mdogo ninaechipukia. Ila ukianza kulima aa kuvuna mtandao wko unakuwa.
Nimekusoma mkuu🙏
 
Kenya kuwa na kiwango kikubwa cha elimu kimewasaidia sana kupunguza kuwa na tabia za kiswahili ambazo ni very common among the people of Tanzania.

Na hii kwa kiasi kikubwa ndio inasababisha Tanzania kuwa na uchumi mdogo tofauti na Kenya pamoja na kuwa na rasilimali nyingi zaidi kuishinda Kenya.
mkuu sio kiwango cha elimu,usiwe mfata mkumbo.

kilichowafanya wakenya kuwa walivyo ni kuishi kipindi kirefu na ngozi nyeupe,ukiangalia hata maeneo mengi ambayo ni mazuri kwa kilimo wamekava wazungu zaidi.
kwanini mkenya asiige kutoka kwao!
 
Nini kifanyike ili wakulima wa Kitanzania nao wapate exposure kama wenzao wa Kenya?
hakuna exposure kama hakutakuwa na mtu anayefanya mnamuona kwa macho.

kenya inaongoza kwa kilimo cha maua,unadhani waliamka wameshiba wakaamua kuanza kulima maua na kuuza nje!!!

ni wazungu walioingia kenya na kuanza biashara hiyo,wazawa nao wakaingia ktk field baada ya kuona kumbe inafanywa hivi.
 
Kilimo kulipa ni masoko, mchawi yuko hapo. Kama utalima kwa million 20 halafu upate soko kwa million 15 huoni kama balaa ni zito. Asilimia 80% ya wabongo tunalima ila hatujui tutamuuzia nani at the end.
na kwa sasa 2023 dunia iko kwenye mfumo tofauti sana.
biashara bila umafia na faulo huingii sokoni,imefika hatua mtu anazalisha bidhaa lakini tayari ana mteja wake loyal wa kumuuzia bidhaa husika.

watu wetu wa usalama huko ktk barozi zetu,nadhani wanachofanya ni kuripoti kazini na kurudi likizo tu.
 
Nakumbuka wakati tunasoma shule za msingi kwenye miaka ya sabini, wakati Tanzania ilikua na shule za sekondari chini ya mia mbili nchi nzima Kenya walikuwa na sekondari zaidi ya 600 nchi nzima wakati tukiwa na idadi ya watu kwenye milioni 12 huku Kenya wakiwa na watu milioni 8 hivi.

Elimu ndogo miongoni mwa watanzania wengi imechangia sana kwa jamii ya watanzania kuwa subjective society badala ya objective society tofauti na Kenya na hii hali ndio imewapa ccm unafuu wa kuitawala nchi hii kwa muda mrefu zaidisio
sio elimu ndogo tu Bali mtaala mbovu usiomtengeneza mhitimu kuyamudu mazingira yake,yaani elimu isiyotoa maarifa tambuzi(self awareness/consciousness)
ndiyo siku moja tupo kwenye daladala ya muhimbili-Mbezi miaka hiyo kukawa na mjadala kuwa form four wa Kenya ni zaidi ya graduate wa Tanzania kwa ile self awareness basi wengine wakambishia kwa hoja kuwa mtafute form four wa Kenya halafu mpeleke muhimbili akafanye surgery Kama ataweza Kama surgeon aliyegraduate Muhimbili! kumbe hoja Ni ile self awareness na sio vinginevyo!
kwa hiyo mfumo wa elimu wa bongo una matatizo kulinganisha na our neighbors Kama Kenya,Zambia,Malawi,Rwanda n.k katika output ya self awareness/consciousness
 
hakuna exposure kama hakutakuwa na mtu anayefanya mnamuona kwa macho.

kenya inaongoza kwa kilimo cha maua,unadhani waliamka wameshiba wakaamua kuanza kulima maua na kuuza nje!!!

ni wazungu walioingia kenya na kuanza biashara hiyo,wazawa nao wakaingia ktk field baada ya kuona kumbe inafanywa hivi.
🙏
 
Back
Top Bottom