Wakenya wanajua kuitumia ardhi kwa manufaa zaidi kuwazidi Watanzania?

Wakenya wanajua kuitumia ardhi kwa manufaa zaidi kuwazidi Watanzania?

Hiyo bureaucracy nafikiri ipo pia kwenye ununuzi wa korosho na pamba. Inafanyika hivyo kwa manufaa ya nani?
Kuna mlolongo sana. Kuna wakati nliwahi kutala safirisha ngozi ya ng'ombe kwenda japan ambayo tayari ishakuwa leather. Hiyo process sasa. Huko wizara ya mifugo wanakotoa vibali yani kwanza unaulizwa kakutuma nani yani bila woiso nahisi ningezungushwa mpaka nikome.
Tanzania kuna urasimu mkubwa wa vitu vya kijinga sana.
 
Kuna mlolongo sana. Kuna wakati nliwahi kutala safirisha ngozi ya ng'ombe kwenda japan ambayo tayari ishakuwa leather. Hiyo process sasa. Huko wizara ya mifugo wanakotoa vibali yani kwanza unaulizwa kakutuma nani yani bila woiso nahisi ningezungushwa mpaka nikome.
Tanzania kuna urasimu mkubwa wa vitu vya kijinga sana.
Pole sana mkuu.

Nafikiri pia kuna typing error hapo juu: "woiso"
 
Kuna mlolongo sana. Kuna wakati nliwahi kutala safirisha ngozi ya ng'ombe kwenda japan ambayo tayari ishakuwa leather. Hiyo process sasa. Huko wizara ya mifugo wanakotoa vibali yani kwanza unaulizwa kakutuma nani yani bila woiso nahisi ningezungushwa mpaka nikome.
Tanzania kuna urasimu mkubwa wa vitu vya kijinga sana.
😂😂😂

yaani anayekuuliza tu unajua huyu haulizi ili nayeye ajue soko,hapana anauliza kwa sababu yeye ni tutusa.
 
Siku chache zilizopita, nilimtembelea mkulima mmoja wa matunda nchini Kenya. Taswira ya shambani kwake ilinipa ujumbe kuwa ni mkulima mwenye mafanikio mazuri.

Japo hana na eneo kubwa sana, analitumia kikamilifu eneo lililopo. Sidhani kama shamba lake lote linazidi ekari tano!

Aliniambia kuwa kwa kawaida, robo ekari humwingizia shilingi milioni moja hela ya Kenya kwa mwaka

Milioni moja ya Kenya ni kama milioni kumi na sita hela ya Tanzania.

Sitilii mashaka maelezo yake, ila najiuliza kama kuna Watanzania wanaopata mafanikio kama hayo kupitia kazi za shamba.

Na kwa kuwa bado sijamsikia Mtanzania mwenye mafanikio kama hayo, nimebaki najiuliza: Wakenya wenye uhaba wa ardhi wanajua namna bora ya kutumia ardhi kwa kilimo chenye tija kuwazidi Watanzania wenye ardhi bwerere?
Kwanza elewa tofauti ya "farmer", "peasant" na "Gardner" kisha uje kutuelezea kuhusu kilimo.
 
Kuna mlolongo sana. Kuna wakati nliwahi kutala safirisha ngozi ya ng'ombe kwenda japan ambayo tayari ishakuwa leather. Hiyo process sasa. Huko wizara ya mifugo wanakotoa vibali yani kwanza unaulizwa kakutuma nani yani bila woiso nahisi ningezungushwa mpaka nikome.
Tanzania kuna urasimu mkubwa wa vitu vya kijinga sana.
Hapo ukienda kwa backup ya waziri au yule mstaafu haina shida kabisa.
 
Angalia mitandao ya kijamii za Tanzania sasa hivi, watu wako busy kubishana mambo ya vita vya Russia Vs Ukraine na Israel Vs Hamas utafikiri wanaopigana huko ni waluguru na wazigua mpaka watu wanatukanana matusi ya nguoni.

Sasa ingia kwenye mitandao ya kijamii za Kenya utaona wananchi wanavyoisakama serikali kuhusu hali mbaya ya uchumi na mambo ya ufisadi na wanaona vita vinavyopiganwa nje ya Kenya haviwahusu.

Kuna kipindi hapo majuzi wakati UN ilipoiomba serikali ya Kenya kupeleka polisi kulinda amani nchini Haiti wananchi wa Kenya walienda mahakamani kupinga na kudai kwamba polisi wameshindwa kuwalinda wakenya sasa wataendaje kuwalinda wahaiti..??😛😛😛

Hili ktk Tanzania kamwe haliwezi kutokea na sana sana watamwagia mama sifa kwa jinsi UN ilivyo na imani na jeshi lake la polisi.

Comparing the mentality of Tanzanians and Kenyans is an exercise that will always be in futility as the people of the two countries have less to share in common but much to contrast in general.
Umesema kwelii tupu,sijui tunanasukaje akili za kichawi,dini,mpira,matukio ya mwendokasi ndio tunavyovijua kwa weledi.
 
Kwanza elewa tofauti ya "farmer", "peasant" na "Gardner" kisha uje kutuelezea kuhusu kilimo.
Nimeshaeleza kile ninachokifahamu madam. Karibu na wewe uchanganue hizo tofauti kwa maslahi mapana ya wana JF.
 
Nimeshaeleza kile ninachokifahamu madam. Karibu na wewe uchanganue hizo tofauti kwa maslahi mapana ya wana JF.
Sidhani kama ana cha kuchangia hapo kwani yeye mada zake ni zile za kidini tu.
 
mkuu sio kiwango cha elimu,usiwe mfata mkumbo.

kilichowafanya wakenya kuwa walivyo ni kuishi kipindi kirefu na ngozi nyeupe,ukiangalia hata maeneo mengi ambayo ni mazuri kwa kilimo wamekava wazungu zaidi.
kwanini mkenya asiige kutoka kwao!
Hiyo inaweza kuwa moja tu ya sababu lkn kikubwa ni elimu, ebu panda basi la abiria kule Kenya halafu sikiliza michapo yao jinsi wanavyoongelea maswala yao ya kiuchumi, kimaendeleo na kisiasa, utashangaa kwamba hii ndio nchi inayosemwa kwamba ni ya kikabila, yaani rais anakosolewa waziwazi na jamii yake jinsi anavyoiangusha Kenya.

Wakati watanzania tumefundishwa kwamba serikali ni ya kusifiwa tu lkn kwa wakenya hilo halipo hadi majuzi rais wao analalamika kanisani kwao kwamba wakenya sasa wanatakiwa waongozwe tu na malaika labda ndio wanaweza walau kutulia japo kidogo.
 
Sidhani kama ana cha kuchangia hapo kwani yeye mada zake ni zile za kidini tu.
Mkuu, usimchukulie poa madam FaizaFoxy, ana exposure kubwa sana. Nasikia alishawahi kuishi ughaibuni. Akiamua kuegemea upande wa dini ni kwa sababu kaamua kufanya hivyo na si kwamba hajui mambo mengine zaidi ya dini.
 
sio elimu ndogo tu Bali mtaala mbovu usiomtengeneza mhitimu kuyamudu mazingira yake,yaani elimu isiyotoa maarifa tambuzi(self awareness/consciousness)
ndiyo siku moja tupo kwenye daladala ya muhimbili-Mbezi miaka hiyo kukawa na mjadala kuwa form four wa Kenya ni zaidi ya graduate wa Tanzania kwa ile self awareness basi wengine wakambishia kwa hoja kuwa mtafute form four wa Kenya halafu mpeleke muhimbili akafanye surgery Kama ataweza Kama surgeon aliyegraduate Muhimbili! kumbe hoja Ni ile self awareness na sio vinginevyo!
kwa hiyo mfumo wa elimu wa bongo una matatizo kulinganisha na our neighbors Kama Kenya,Zambia,Malawi,Rwanda n.k katika output ya self awareness/consciousness
Kwa suala la self awareness, Wakenya wanaongoza.
 
Kama Una mtaji , Tafuta nafaka safi hasa mahindi na mchele fanya package , Kwa mahindi saga upate unga msafi then fanya package ,then nenda Kenya katafute vibali na uanzishe store yako ,uwe unapeleka unga na mchele uliokuwa packed tayari .
Hapo atleast unaweza anza kuona faida

wakulima waKUBWA huwaoni huku jf wako bize mi nilimtembelea mkulima mmoja kule njombe karibu na songea mbali sana, ilibii tumkague sababu aliomba maji ya mto na yanatoka kwa kibali kama una mrdi kama waKe, ana SHAMBA kubwa inabidi ma foreman wanatumia radio call kuwasiliana na wanapikipiki na ana dish la internet, na nyumba za wafanyakzi zile tunazoita kota na ametengeza umeme waKE mwemyewe na nguzo kabisa kwenda camp'

anavyomwagiia sasa shamba lake utakuta matiri makubwa kama yale ya nyuma ya trekta ila yake ni makubwa zaidi yako kama 10 hivi yameunganishwa na mabomba juu na chini na kuna motor kama 4 hivi bomba za CHNI. bomba a juu kuna sprinklers nyingi tu. Kila tairi lina njia yaKE iliyonyooka ya kupita Tairi na tairi umbali kaMA MITA 30
yaaniye kazi yake ni kuwaSHA mtambo ns matairi yote yannza Kutembe taratibu kwa pamoja kil tiri njia yake huku sprinkers zinarusha maji. ,Baada dakika kadhaa ule mtambo unakuwa umefika mwisho unaanza kurudi wenyewe yaani hpo hamna dereva unajiendeha wenyewe akati huo alikuwa amelima maharage, kabla ya hapo alilima mchaichai. Ni mswahili nna mzungu, nazni nimeelweka keyboard inasumbua.. mtu mwenye eka 500au 1000 wengi sio rahisi kuwajuaa anajichimbia bush huko na anajitoshelezakila kitu
Hapo mpaka unapata goosebumps ukijaribu kujenga picha
Uhakika Ni kwamba watu wanaohustle hawana muda na kujibizana mitandaoni,wengi wetu humu Ni Debe tupu
Ila kiukweli hata hapa Tanzania kuna watu wanapata pesa nyingi saana Kupitia kilimo na wanaishi low profile
 
Kuna mlolongo sana. Kuna wakati nliwahi kutala safirisha ngozi ya ng'ombe kwenda japan ambayo tayari ishakuwa leather. Hiyo process sasa. Huko wizara ya mifugo wanakotoa vibali yani kwanza unaulizwa kakutuma nani yani bila woiso nahisi ningezungushwa mpaka nikome.
Tanzania kuna urasimu mkubwa wa vitu vya kijinga sana.
Huu ndio usenge tunaoulaani
Yaani Sisi tupo kama watu tuliolaanika, kila kitu chetu tunakifanya kua kigumu
Sasa mtu unaomba kibali halafu liswahili mwenzako linakuwekea uzibe
Hua natamani kuyaulia mbali mabwege kama hawa
 
Mkuu, usimchukulie poa madam FaizaFoxy, ana exposure kubwa sana. Nasikia alishawahi kuishi ughaibuni. Akiamua kuegemea upande wa dini ni kwa sababu kaamua kufanya hivyo na si kwamba hajui mambo mengine zaidi ya dini.
We judge people here by how they argue and reason and it's on this simple analysis when someone like that woman lacks support.

It might be possible that she has never been outside of this country because no one can prove that claim as almost every subscriber to this forum uses a pseudonym instead of the real I'd.
 
Huu ndio usenge tunaoulaani
Yaani Sisi tupo kama watu tuliolaanika, kila kitu chetu tunakifanya kua kigumu
Sasa mtu unaomba kibali halafu liswahili mwenzako linakuwekea uzibe
Hua natamani kuyaulia mbali mabwege kama hawa
Ndio maana nikamwambia muanzisha mada , serikali washughulikie tu suala la kutengeneza mfumo mzuri ulionyooka na kuboresha sera za biashara ya mazao ya kilimo na kufungua fursa za masoko ya mazao kwa kuingia mikataba na mataifa ya nje .
Hamna mtu atakayeambiwa kalime , watu wataanza kumiliki ardhi na kuzalisha mazao kama hawana akili nzuri na ndio hata umasikini utapungua kwenye jamii .
Serikali wanyooshe mambo na waache ukiritimba wa kipumbavu usio na maana ,
Hii nchi inangeweza kuzalisha raia wengi na kaya zenye utajiri kupitia kilimo ila ndio ivyo tena ,Uswahili mwingi kwenye mfumo .
Kama huyo mdau wa ngozi / leather alivyosema.
Kama mkenya anakuja kununua Matango ,machungwa , spinach ,green beans , mananasi , maparachichi , papai nk na anafanya package Tu anaenda kuuza kwa super profit UK , Germany nk huko
Na ni mali anazolangua kwa wakulima wa hapa nchini , why sisi tufail ?
 
Back
Top Bottom