Wakenya wanajua kuitumia ardhi kwa manufaa zaidi kuwazidi Watanzania?

Wakenya wanajua kuitumia ardhi kwa manufaa zaidi kuwazidi Watanzania?

Watu hawawekezi kwenye kilimo kwa vile wanakatishwa tamaa na mfumo mbovu wa ukiritimba ,rushwa ,sera mbovu na ukosefu wa masoko ya kueleweka
Mkulima kama hapati faida unafikiri anaweza kuendelea kuwekeza ?
Ni ngumu
 
Zao la parachichi ndio tunajitahidi , na wakulima Njombe sasa hivi ndio wanavuna atleast benefits Kwa kuexport baada ya soko la uhakika kupatikana India .
Inapaswa iwe hivi hivi na kwa mazao mengine ili mkulima anufaike na kutanua uzalishaji
 
Zao la parachichi ndio tunajitahidi , na wakulima Njombe sasa hivi ndio wanavuna atleast benefits Kwa kuexport baada ya soko la uhakika kupatikana India .
Inapaswa iwe hivi hivi na kwa mazao mengine ili mkulima anufaike na kutanua uzalishaji
Nafaka pia zina soko la kutosha ila ukiritimba ndio unakwamisha
Nchi kama Sudan huko ,Ethiopia na hata hapo Kenya ambapo ukame hutokea Mara Kwa mara kuna soko kubwa la nafaka
Ila kuna washenzi wamejipa hatimiliki Kwa Jina la uongozi wameamua kutengeneza kila aina ya uzibe ili mkulima wa kawaida ashindwe
 
Nafaka pia zina soko la kutosha ila ukiritimba ndio unakwamisha
Nchi kama Sudan huko ,Ethiopia na hata hapo Kenya ambapo ukame hutokea Mara Kwa mara kuna soko kubwa la nafaka
Ila kuna washenzi wamejipa hatimiliki Kwa Jina la uongozi wameamua kutengeneza kila aina ya uzibe ili mkulima wa kawaida ashindwe
Sasa wao hufaidika nn?
 
We judge people here by how they argue and reason and it's on this simple analysis when someone like that woman lacks support.

It might be possible that she has never been outside of this country because no one can prove that claim as almost every subscriber to this forum uses a pseudonym instead of the real I'd.
Noted🙏
 
Mambo yote yanaenda na elimu sasa huwezi kulinganisha watu wa mataifa haya mawili kielimu kwani Tanzania bado tuko nyuma ya Kenya kwa takriban miaka 20.
 
Back
Top Bottom