Tetesi: Wakenya wanataka waruhusiwe kufanya kazi Tanzania bila Vibali, rais asikubali

Waruhusiwe tu, nina uhakika wataokuja ni wale wenye capital zao za kutosha kufanya biashara na kutuajiri. Wakija choka mbaya kutafuta kazi watajuta wenyewe kwenye awamu hii ya uhakiki.
 
raisi yupi [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] ur creze
 
Fatilia mkuu acha kuwa mvivu....

Wa Mexico wanaishije USA?
Walio wengi wanaishi kama wahamiaji haramu mkuu, na Marekani haina mpango wa kuwaruhusu kufanya kazi bila vibali wamexco. Kwahiyo mnaojaribu kutushawishi kuwa Tz iondoe work permit lazima msupport na hoja za msingi. Hakuna taifa lolote linalotaka kuruhusu wageni kujiingilia kiholela kufanya kazi bila kuangalia maslahi ya nchi husika.
 
Kwanza unakosea ukisema rais akajifunze viwanda vinaendeshajwe. Rais sio msimamizi wa viwanda wala msajili wa viwanda. Hizo kazi za kujifunza ni za makamisha wa viwanda na wakaguzi wa viwanda. Na hatuna uhaba wa hao wataalamu. Kama ulivyo sema mwenyewe, na sisi tulikuwa na viwanda, lakini kwa bahati mbaya vyakwetu vikafa, wafanyabiashara wa Kenya wakaviendeleza vyao. Lakini ukumbuke viwanda vingi vya Kenya vina umri usiopungiwa miaka thelathini 30, mashine wanazotumia zinaanza kuisha muda wake. Wakati sisi tunaanza kufufuwa vya kwetu tukiweka machine mpya na utaalamu mpya. Mfano Dangote, Mo dewji, Bakhresa hata kwenye uchimbaji wa madini na gesi tunatumia utaalamu wa kisasa. Sasa sijui tukajifunze nini ambacho wataalamu wetu hawavijui, kwanza Tanzania inaanza kugeuza uwiano wa kuuza bidha nyingi Kenya kuliko tunavyo nunua.
 
Mkuu sijui kama unaijua Marekani vizuri kua walianza na nini.. Ref.. To Isolation policy@protectionism policy wakati ule
Kwani unaweza kufanya kazi USA bila kua na RP na WP? Mbona sisi tukienda Kenya, Rwanda na Uganda lazma uwe na hivyo vitu
Ata bila ya kuomba mbona wapo wakenya na waganda wanafanya kazi bila hivyo vibali.. Tusiende kwa mkumbo
 
Lazima tukubali walimu waKenya wanafanya kazi nzuri sana ,yaani huwezi kuwafananisha na hawa v.ilaza wetu
 
Ni kweli wana roho mbaya...wachoyo mnooooo ila ya fools mi sijui looo
 
Hivi tutajitenga tenga na kuwa wanyonge wanyonge hadi lini...

Watanzania tuna tatizo la UVIVU na Wakenya wakijaa watatu outcompete kwenye ajira nyingi maana wanachapa kazi...

Mi namshauri raisi aruhusu waje wapige kazi ili tuamke...
 
Kutatua hili tatizo ndio hapo hitaji la permit liondolewe... na business visa isiwe miezi mitatu... iwe at least miaka 3...
 
Vipi kwa wabongo, ukienda Kenya unafanya kazi bila kibali? Labda ttuanzie hapo.
 
Sasa kabisa. Tuache uvivu tuchanganyike tuendelee
 
Kama makampuni yanaona Watanzania ni wavivu na wakenya ndio wachapa kazi kwanini wasihamishie makampuni yao huko Kenya kwa wachapa kazi?
 
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Waafrika wanaopiga kazi USA ni kazi uchwara tu kama za kutunza wazee, kudeki, kufua na ukuli, kazi ambazo hazifanywi na wamarekani wenyewe tofauti nw bongo ambapo unakuta mkenya au mnyarwanda anapewa ajira kwenye kampuni na kuwa kwenyr top management, si ushenzi huo, watu kama hao ni kuwafata na kuwatoa ofisini kwa nguvu, wasubiri ajira ziwe za kutosha Tanzania ndo wapewe kazi za kufagia stend na kuwa makuli huku watanzania wakichezesha kipanya na ma-file ofisini. Hatutaki ujinga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…