Kamukhm
JF-Expert Member
- Aug 30, 2015
- 2,801
- 4,212
Tatizo movies ni utamaduni... Ziko movie tushirikishane ..na ziko movie mkae/tukae kulee,.. Hiyo inaitwa kuheshimu tamaduni...Hua nachukia ukiangalia movie ya whites tupu kama kuna Black lazima afe au lazima apewe character ya ukatili mpaka watu walipoanza kulalamika siku hizi ndio kidooogo imepungua naona hata wachina wanawekwa.
Ila Blacks na wenyewe umeona movies zao?? hawa waweki whites na kama wapo wanakua wapo wapo tu kama wasindikizaji....
Ubaguzi wa rangi hauwezi kuisha milele.
Mfano historia ya uingereza Leo malkia awe mama kizaramo au laibon wa kimasai awe kijana wa kichina/Kizungu. Haita leta maana na itakuwa uongo.
Ubaguzi wa rangi ni subjective phenomenon inayotumika vibaya na watawala kutupunguzia social interactions za uhuru ambazo ndio ufunguo kwa kufanikiwa kwa jamii zetu
Mtu akikuita mzungu na ukawa mzungu kweli mbn hakuna shida, au akikuita mweusi, msomali, mchina na ukawa kweli amekosea wapi?! Moja ya sababu sisi tumekaa muda mrefu kwa kuheshimiana na kuchukuliana kama taifa ni kwa kuembrace tofauti zetu ambazo siku hizi zimekuwa nongwa kuzitaja... Unasemwa mpk..
Ila dunia ipo hivyo.. Wanyama mwituni wooote ni wanyama ila tembo hachukii simba kuitwa simba au pimbi hachukii kwanini yeye sio tembo.. Hiyo state tuliomo lazima tukubali na sifa zingine zinazotufanya tununiane au kuukuza ubaguzi zinaweza kupatikana..elimu utajiri nk
Hii dhana sisi sote binadamu tuitwe binadamu sidhani kama huwa hina mashiko.. Ntakwambia ndio..ila moyoni najua wewe ni mzungu.. Tungeacha tu tuseme kama hapa home.. Wale wafupi.. Hawa wanakula mbwa.. Wale nshomile hawa Mara punda wsle wengine chamaki nchanga ...huko juu nasikia tumiguu hahaha..
Ukweli watu wenye pua ndefu hawajazi chai kwenye kikombe... Na ni watu wenye matumbo meupe.. Huenda walikuja kifua wazi.. Tutamuuliza Mfalme tukifika mbinguni.