Wakenya washinda shindano la watu wenye muonekano mbaya zaidi Afrika.

Wakenya washinda shindano la watu wenye muonekano mbaya zaidi Afrika.

Status
Not open for further replies.
Hua nachukia ukiangalia movie ya whites tupu kama kuna Black lazima afe au lazima apewe character ya ukatili mpaka watu walipoanza kulalamika siku hizi ndio kidooogo imepungua naona hata wachina wanawekwa.

Ila Blacks na wenyewe umeona movies zao?? hawa waweki whites na kama wapo wanakua wapo wapo tu kama wasindikizaji....

Ubaguzi wa rangi hauwezi kuisha milele.
Tatizo movies ni utamaduni... Ziko movie tushirikishane ..na ziko movie mkae/tukae kulee,.. Hiyo inaitwa kuheshimu tamaduni...

Mfano historia ya uingereza Leo malkia awe mama kizaramo au laibon wa kimasai awe kijana wa kichina/Kizungu. Haita leta maana na itakuwa uongo.

Ubaguzi wa rangi ni subjective phenomenon inayotumika vibaya na watawala kutupunguzia social interactions za uhuru ambazo ndio ufunguo kwa kufanikiwa kwa jamii zetu

Mtu akikuita mzungu na ukawa mzungu kweli mbn hakuna shida, au akikuita mweusi, msomali, mchina na ukawa kweli amekosea wapi?! Moja ya sababu sisi tumekaa muda mrefu kwa kuheshimiana na kuchukuliana kama taifa ni kwa kuembrace tofauti zetu ambazo siku hizi zimekuwa nongwa kuzitaja... Unasemwa mpk..

Ila dunia ipo hivyo.. Wanyama mwituni wooote ni wanyama ila tembo hachukii simba kuitwa simba au pimbi hachukii kwanini yeye sio tembo.. Hiyo state tuliomo lazima tukubali na sifa zingine zinazotufanya tununiane au kuukuza ubaguzi zinaweza kupatikana..elimu utajiri nk

Hii dhana sisi sote binadamu tuitwe binadamu sidhani kama huwa hina mashiko.. Ntakwambia ndio..ila moyoni najua wewe ni mzungu.. Tungeacha tu tuseme kama hapa home.. Wale wafupi.. Hawa wanakula mbwa.. Wale nshomile hawa Mara punda wsle wengine chamaki nchanga ...huko juu nasikia tumiguu hahaha..

Ukweli watu wenye pua ndefu hawajazi chai kwenye kikombe... Na ni watu wenye matumbo meupe.. Huenda walikuja kifua wazi.. Tutamuuliza Mfalme tukifika mbinguni.
 
Tatizo movies ni utamaduni... Ziko movie tushirikishane ..na ziko movie mkae/tukae kulee,.. Hiyo inaitwa kuheshimu tamaduni...

Mfano historia ya uingereza Leo malkia awe mama kizaramo au laibon wa kimasai awe kijana wa kichina/Kizungu. Haita leta maana na itakuwa uongo.

Ubaguzi wa rangi ni subjective phenomenon inayotumika vibaya na watawala kutupunguzia social interactions za uhuru ambazo ndio ufunguo kwa kufanikiwa kwa jamii zetu

Mtu akikuita mzungu na ukawa mzungu kweli mbn hakuna shida, au akikuita mweusi, msomali, mchina na ukawa kweli amekosea wapi?! Moja ya sababu sisi tumekaa muda mrefu kwa kuheshimiana na kuchukuliana kama taifa ni kwa kuembrace tofauti zetu ambazo siku hizi zimekuwa nongwa kuzitaja... Unasemwa mpk..

Ila dunia ipo hivyo.. Wanyama mwituni wooote ni wanyama ila tembo hachukii simba kuitwa simba au pimbi hachukii kwanini yeye sio tembo.. Hiyo state tuliomo lazima tukubali na sifa zingine zinazotufanya tununiane au kuukuza ubaguzi zinaweza kupatikana..elimu utajiri nk

Hii dhana sisi sote binadamu tuitwe binadamu sidhani kama huwa hina mashiko.. Ntakwambia ndio..ila moyoni najua wewe ni mzungu.. Tungeacha tu tuseme kama hapa home.. Wale wafupi.. Hawa wanakula mbwa.. Wale nshomile hawa Mara punda wsle wengine chamaki nchanga ...huko juu nasikia tumiguu hahaha..

Ukweli watu wenye pua ndefu hawajazi chai kwenye kikombe... Na ni watu wenye matumbo meupe.. Huenda walikuja kifua wazi.. Tutamuuliza Mfalme tukifika mbinguni.

Nimekosa la kuongezea wala kuulizia wala chochote ila nimependa conclusion yako,
TUTAMUULIZA MFALME TUKIFIKA MBINGUNI.
 
Lets just forget about the most beautiful people for once and focus on the most ugly people in the world especially Africa. Beauty is in the eyes of the beholder and so is ugliness but when there are a lot of eyes beholding anybody as ugly, it becomes a more generalized opinion. There are definitely some countries that have more ugly people than others across Africa, in such African countries, you need a higher concentration of those who refuse to appeal to the eyes of many
beholders.


So Which African Country Do you Find the Most Ugly People? Honest answer? It is a bit difficult to say with certainty. There is a yearly award for the Most Beautiful People of Africa and in the recent one, Out of 48 participating countries, Kenya was placed last with a score of just 7 points out of a possible 540 points! The rest runner-up ugliest was Zambia, then second runners-up was Gabon.


agi.jpg





It’s bad enough being called ugly, but it’s a whole lot for other people to be labeled ugly by consensus. Kenyans have received the award for the funniest and the most ugly people in Africa on at least 2 occasions in which they were voted the funniest looking people in Africa. Among the 48 participating nations in the Annual Most Beautiful People of Africa Awards one of which was held at the Gregor Theater in Bloemfontein South Africa and Kenya took the last position for the most
beautiful people, dislodging Zambia and reclaiming the title it held in 2000.

The top position was taken by Rwanda, then followed by Cameroon and Ethiopia as second runner-up. The judges awarded points based on physical appearance, grooming, presentation, communication among others. However, the subjectivity involved in assessing the ugliest people in the world and Africa has made it unfair to tag any one country as having the ugliest people populating it, every country has beautiful and not so beautiful people…also it depends on
what other countries view as beautiful. Everyone’s different so you can’t pick just one country.

Ugliest People in Africa Quick Facts
It was said that:
“Women from the Kikuyu community have small legs, totally no gures, and a little exaggerated heads. They lack good
behinds and those who have them look like inflated balloons. They are shaped like pyramids turned upside down. A big upper frame and an almost invisible lower bit. Luo men on the other side have distorted facial features..say big lips and huge noses or should we call them knobs. Kikuyu men are also disproportional, and most of them are stunted. They walk leaning forward. Plus they have long rusty teeth

Johannesburg, South Africa.
Nawasilisha !.
Hahaha
Duhh hii kali
 
duuu kuna mashindano mengi duniani!!!
Lemi Ongara alishinda.
 
Wala sijataja rangi ya ngozi, mimi nimetaja rangi ya macho tu, ninajua umeanza kujistukia mwenyewe, kumbuka watanzania hawana mawazo ya kitumwa kama wakenya wanavyowanyenyekea na kuwaabudu wazungu hadi kwenye lugha ya kiingereza, huyo binti kwa Kenya ni mrembo, ila akifika bongo ni daraja la tatu

bongo ni shida kaka, Mimi kila siku namuomba Mungu ili nisitende dhambi. maana kuna watoto wameumbika usipime yaani!!!
 
bongo ni shida kaka, Mimi kila siku namuomba Mungu ili nisitende dhambi. maana kuna watoto wameumbika usipime yaani!!!
Sasa unawezaje kujizuia?, mimi ninamshukuru Mungu nilipata ajali ikanifanya nipoteze nguvu zangu, ila ninawasikitikia ninyi mlio wazima[emoji14] [emoji14] [emoji14]
 
Sasa unawezaje kujizuia?, mimi ninamshukuru Mungu nilipata ajali ikanifanya nipoteze nguvu zangu, ila ninawasikitikia ninyi mlio wazima[emoji14] [emoji14] [emoji14]
Ndio maana una majungu 24/7, pole Kaka wewe kula kwa macho.
 
Sasa unawezaje kujizuia?, mimi ninamshukuru Mungu nilipata ajali ikanifanya nipoteze nguvu zangu, ila ninawasikitikia ninyi mlio wazima[emoji14] [emoji14] [emoji14]

duu pole. ila unakosa utamu. lkn pia ngoma utakwepa kwa asilimia kubwa.

nanusulika hivyo hivyo tu. maana kuna wengine wanatutega kimakusudi.
 
duu pole. ila unakosa utamu. lkn pia ngoma utakwepa kwa asilimia kubwa.

nanusulika hivyo hivyo tu. maana kuna wengine wanatutega kimakusudi.
Aisee angalia sana tusije tukakuzika kabla ya kupanda electrical train
 
ahaaa haaa haaa siku hizi kuna zile za kufubaza. ahaaa ahaaa.
just a joke.

ila ngono zembe kwangu no.
Sasa mbuna unapunguza utamu?, urembo wote huu kisha ndani uvae zana, mbona utakuwa hakuna value for money?, it is not profitable kaka..ningekuwa mzima mimi, ingakuwa ni uso kwa uso, au head on collision[emoji23] [emoji23]
 
Sasa mbuna unapunguza utamu?, urembo wote huu kisha ndani uvae zana, mbona utakuwa hakuna value for money?, it is not profitable kaka..ningekuwa mzima mimi, ingakuwa ni uso kwa uso, au head on collision[emoji23] [emoji23]

ahaaa haaa haaa kuishi napenda pia.
 
Unajua huku kwetu kama haujajichubua wanakuchukulia sio mzuri, ukimuuloza mbongo mzuri anafananaje, atakujibu wema sepetu na hamisa mobeto, lakini lupita anaonekana mbaya.
Huo ni mtazamo wako, mbona Flavian Matata anakubalika, ila rangi ya kati na kati inapendeza zaidi, not too black, not too much brown.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom