Nalendwa
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 7,467
- 13,026
Kuna mmoja nasikia walimtelekeza baada ya ushindi hadi nauli ya kwenda huko nje akaanza kujitafutia mwenyewe. na zawadi sijui hawakumpa sijui wa zawadi ni mwingine loooh Tz sisi jamaniii
basi warudishe mashindano ya Miss Bantu najua patakua hapatoshi.
Mpaka mrembo kuji sponsor tena aseeh!
Hiyo ya miss Bantu itakuwa moto sana kwetu tena!