Wakenya watua Zambia kujadili ununuzi wa mahindi

Wakenya watua Zambia kujadili ununuzi wa mahindi

Una maana gani kusema chakula huwa kinazagaa kenya yote! Huko hata iweje chakula hakiwezi zagaa, labda mbadilishe mfumo muingie kwenye kilimo cha umwagiliaji ndo mtajikwamua!

Halafu nimeshakufahamisha hiyo ya kwenda malawi ilikuwa ni kijazia ghala la taifa, sio kama chakula kiliisha kabisa, that was a precaution!

Sisi nchi yetu ni kubwa na ndo maana tuna chakula cha kutosha, hivi ulishaona mtu kapungukiwa chakula halafu anauza? Kila siku tunawalisha hapo kwenu!

Halafu kujisifu eti mna hela za kununua chakula ni ujuha mkubwa, maana hela inaishia huko ndo maana tunaenda kuwazidi sa hizi kwenye mambo mengi

Nimekuambia tatizo la logistic hapa na pale, lakini kipo kingi na tuanendelea kuagiza kote maana hela tunazo na uchumi wetu ni wa kati sio maskini kama nyie.
Nchi yenu hiyo kubwa ilhali kuna wakati mji mkuu Dodoma watu anakula viwavi kwa kukosa chakula, alawi mlifuata nini hata kama ni kujaza ghala, mbona muhangaike kuzunguka zungua kimya kimya mkisaka mahindi ilhali mna liinchi robo ya Afrika lenye rotuba kila maeneo kama sio laana ya uzembe.
 
jambo njema...akina wale walikataa na mahindi yao...sasa tuone ni nani atakayeumia...wakenya wamepata mahindi mbadala na wao wamebaki na mahindi yao yakiozea kule... ama kweli, wajinga ndio waliwao...niliwaambia mahindi si kama dhahabu...hata afrika nzima ikatae kuuza, tutapata mahindi tu
Kama ni wewe kiongoz wa nchi unaweza kuruhusu mahindi yauzwe na wakati mwaka ujao kuna hatari ya njaa nchini mwako?
Katazo la PM ni sahihi kwa wakati sahihi
Viva TZ viva
 
Kenya inatumia hela nyingi sana kuhakikisha Wakenya wanaoishi maeneo kame wanafikiwa na chakula. Kuna wakati kunatokea changamoto za logistics lakini cha msingi ni kwamba hatimaye chakula kinazagaa kote pamoja na ukame huu ambao ukiwakumba nyie mtaihama nchi, ikiwa mna nchi yote hiyo yenye rotuba na bado mnaomba mahindi Malawi kwa jinsi mlivyo maskini na wazembe.

Sisi uwezo wa kununua tunao kama mataifa ambayo yana maeneo kame lakini wana uwezo wa kuagiza chakula kwa wingi.
tuanze na mfano .....hivi cha kwanza wewe una kipi cha maana hapo kenya zaidi ya kupiga branda branda mwisho wa siku unaingia na kujifungia kwenye kibanda unachoishi na babu yako nakuanza kulia lia kwenye nafsi yako.......

kiuhalisia wewe pesa huna ni muokota taka hapo mtaani ...wenye pesa ni viongozi wako wanao wahujumu katika masuala ya ardhi.....wewe ni msindikizaji..[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hakuna sababu ya Tanzania Kuwa chini katika sekta yoyote ile ila ni ujuha tu wa baadhi ya watu tuliowahi kuwapa madaraka ndiyo walifanya hayo makosa.

Ila , nchi nyingi zitakuja kushtuka kuhusu ukuaji wa Tanzania wakati wa kipenga cha mwisho cha mchezo.
Kenya, tutawapatia kazi ngumu sana baada ya hii miaka 10 JPM. Na baada ya hapo ni kusonga tu mbele.
 
Nimekuambia tatizo la logistic hapa na pale, lakini kipo kingi na tuanendelea kuagiza kote maana hela tunazo na uchumi wetu ni wa kati sio maskini kama nyie.
Nchi yenu hiyo kubwa ilhali kuna wakati mji mkuu Dodoma watu anakula viwavi kwa kukosa chakula, alawi mlifuata nini hata kama ni kujaza ghala, mbona muhangaike kuzunguka zungua kimya kimya mkisaka mahindi ilhali mna liinchi robo ya Afrika lenye rotuba kila maeneo kama sio laana ya uzembe.

Aliyekwambia rutuba ya asili iko kila sehemu ni nani? Sisi tunarutubisha ardhi ili ituzalishie, nyie mnakomaa na kununua, Hizo habari za logistics ndo maana nkakwambia zinasabisha mfe njaa kila siku! Tena hayo mtakayonunua zambia ndo mtashindwa kabisa kuyapitisha!

BTW, hata huko Kenya kuna wale wanakula NYOKA na PANYA ili waishi, kisii pale wanatafuna panya kila siku!

Wengine hawa hapa Hungry Enough to Eat Rats...And snakes!!! | World Pulse
 
Hakuna sababu ya Tanzania Kuwa chini katika sekta yoyote ile ila ni ujuha tu wa baadhi ya watu tuliowahi kuwapa madaraka ndiyo walifanya hayo makosa.

Ila , nchi nyingi zitakuja kushtuka kuhusu ukuaji wa Tanzania wakati wa kipenga cha mwisho cha mchezo.
Kenya, tutawapatia kazi ngumu sana baada ya hii miaka 10 JPM. Na baada ya hapo ni kusonga tu mbele.
yaaani upo sawa.....kabisa hiyo ndiyo...picha halisi na ndiyo ukweli.....tuwaache tu kwa sasa wakenya wajifariji
 
Aliyekwambia rutuba ya asili iko kila sehemu ni nani? Sisi tunarutubisha ardhi ili ituzalishie, nyie mnakomaa na kununua, Hizo habari za logistics ndo maana nkakwambia zinasabisha mfe njaa kila siku! Tena hayo mtakayonunua zambia ndo mtashindwa kabisa kuyapitisha!

BTW, hata huko Kenya kuna wale wanakula NYOKA na PANYA ili waishi, kisii pale wanatafuna panya kila siku!

Wengine hawa hapa Hungry Enough to Eat Rats...And snakes!!! | World Pulse
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hiyo kali.......
 
Aliyekwambia rutuba ya asili iko kila sehemu ni nani? Sisi tunarutubisha ardhi ili ituzalishie, nyie mnakomaa na kununua, Hizo habari za logistics ndo maana nkakwambia zinasabisha mfe njaa kila siku! Tena hayo mtakayonunua zambia ndo mtashindwa kabisa kuyapitisha!

BTW, hata huko Kenya kuna wale wanakula NYOKA na PANYA ili waishi, kisii pale wanatafuna panya kila siku!

Wengine hawa hapa Hungry Enough to Eat Rats...And snakes!!! | World Pulse

Hehehe nyie kwa uzembe wenu hamuwezi kurutubisha chochote, miti mnakata niliona pale Morogoro milimani maji hayatiririki tena.
Changamoto za logistics tunazimaliza taratibu na chakula kimeanza kuzagaa.
 
Wawakilishi kutoka Kenya wametinga Zambia kujadili ununuzi wa mahindi kwa maelfu ya tani. Tayari Zambia imetangaza utayari wake kuuza mahindi kwa wingi kwenye soko la Kenya ambalo lipo tayari siku nyingi baada ya kiangazi.

Wakati wengine wananuna na kuishi kimajungu majungu, wenzao wanaona fursa za kibiashara na kuzichangamkia. Wazambia watatengeneza hela kwa kwenda mbele....
--------------------------------------------------------------------------------
A delegation of grain traders and other stakeholders from Kenya is expected in Zambia this week to begin talks on the possible importation of maize, a senior Zambia government official said on Tuesday.

Minister of Finance Felix Mutati said the delegation is expected to hold talks with the Zambian government authorities for the importation of maize into the east African nation.

He told reporters during a press briefing that the delegation has already indicated that the maize is required in August and September this year.

But he could not state the tonnage of maize required, saying it will form part of the discussions.

“However the biggest challenge is how do we transport this maize to Kenya. Is it by rail or road because we will have to find the solutions to these and other challenges,” he said.

The Zambian minister said east Africa has now been identified as a big market for the country’s maize as well as the Democratic Republic of the Congo, adding that the private sector should also explore these markets.

Zambia has produced 3.6 million tonnes of maize during the 2016/2017 farming season and with the country’s consumption estimated at between 1.4 million tonnes and 1.5 million tonnes, the country has excess maize for exports.

The government has since lifted a ban on maize exports to encourage exports.
Coastweek - The most from the coast

huo mkwara kama wa kuajiri madokta. Ha ha ha ha, wanapiga mkwara tu ili jirani na Kenya waone sawa wawaruhusu kuuza mahindi.
 
Hehehe nyie kwa uzembe wenu hamuwezi kurutubisha chochote, miti mnakata niliona pale Morogoro milimani maji hayatiririki tena.
Changamoto za logistics tunazimaliza taratibu na chakula kimeanza kuzagaa.
Hivi hata hujui kuwa kwa tabia yenu ya ovyo ya kukata miti ndo maana nchi yenu inakuwa jangwa? Ha ha haaaa usinichekeshe!

Suala la logistics za chakula amini usiamini litawasumbua mpaka mtakoma, wiki ya pili sasa hamjapata chakula na hamjui kitasafirije!

Halafu eti unasema hatuwezi kurutubisha nini? Hivi hujiulizi chakula tunachowalisha kila mwaka kinatoka wapi? Unadhani hatutoi mbolea kwa wakulima?

Kwa taarifa yako, kila mwaka serikali hutenga fungu kwa ajili ya pembejeo ( mbolea, mbegu, viuadudu na memngine) kwa ajili ya wakulima! Ndo maana tunapata chakua cha kuwalisha
 
mbona mahindi tumepata?? dont let pride make you do things that will harm you in the long run...hivi nikuulize, nani amepoteza sasa kati ya wakenya na watz? mimi nadhani ni nyinyi mmepoteza kwani mngekubali kuuza mahindi, mngepata hela mmekataa na kukubali majivuno na ujeuri uwajae... sasa ndio hio biashara mmempoteza...kenya ishapata mahinddi toka nje...zambia wamepata hela zile..wakulima wao wamefaidika....nyie mmebaki na mahindi yenu yakaozee kule...😀😀😀😀

wakenya=wamepata mahindi
wazambia=wamepata hela
watz=0
acha uchangudoa.....wewe ni mwanaume kuwa real kwa uhalisia ......acha branda.....maskini wewe
 
Hao Wazambia mnaowatukana huwa wanawauzia mahindi nyie, kweli ninyi watu wa ajabu
------------------------------------------------------------
The Food Reserve Agency (FRA) has signed a contract with the Tanzania National Food Reserve Agency (NFRA) to supply 20, 000 metric tonnes of white maize valued at US$7million to Tanzania.

FRA Executive Director, Chola Kafwabulula, signed on behalf of FRA while the Tanzania National Food Reserve Agency Chief Executive Officer, Charles Walwa, signed on before of his agency.

Speaking during the signing ceremony at the FRA Head Office in Lusaka, Ministry of Agriculture and Fisheries Permanent Secretary, Siazongo Siakalenge, congratulated the two food reserve agencies for successfully signing the agreement.

Mr Siakalenge stated that the transaction is meant to assist Tanzania to mitigate any chances of a shortage of white maize that is imminent in that country.

He thanked the Tanzanian Government for looking up to Zambia for the supply of maize, saying this shows the confidence that that country has in Zambia’s capacity to feed the Southern African region in particular and the continent in general.

Speaking earlier, representative of Tanzania’s High Commissioner in Zambia, Justa Nyange, thanked the FRA for coming to the aid of NFRA to balance the maize stock in her country.

Ms Nyange also thanked President Sata for offering Tanzania an opportunity to procure maize from Zambia through the FRA.
Zambia : FRA to sell 20,000 tonnes of maize to Tanzania
kaka hauna swag wala mtililiko wa maongezi haueleweki...


stupid kenyan
 
Bwana wewe nimekwambia kwa mbwembwe mnazojiita middle income ni aibu kubwa kulalamika eti ardhi ni kame! Hizo hela mnazosema mnazo zinafanya nini? Anhaaa nahisi zinanunua ardhi kwa ajili ya ile familia!


Juzi hapa mmepewa mahindi na Israel! Hivi unajua Israel nchi nzima ni jangwa? Au basi Egypt, wako jangwani, ushaskia wanalalamika njaa? Hao ndo tunaona umuhimu wa uchumi wao!


Sio nyie nyang'au mnaishia kujisifu uchumi mkubwa wakati hamwezi hata kununulia wakulima mbolea, au kuanzisha irrigation scheme hata moja!

Shame on you!

Daaaah, sijui Kama atarudi tena
 
Tanzanians should now stop support the nonsense spoken by gvt officials it doesn't come in mind the gvt doesn't support farmers in any aspects throughout the cultivation process wonderful enough during harvesting season they come out and set out the market limitations....
.
Kwa mwendo huu east African free market will always be a dream
 
time will tell, waache waende wakanunue huko, Zambia hana mahindi ya kutosha kuuza nje, muda si mrefu Zambia nae atakuja kwetu.
 
Baada ya mwezi utawasikia wazambia wanalia njaa tena, tumewachoka. Hawa wakiwa na njaa wanakuja Tanzania kuomba kazi na kununua mahindi vijijini, leo hii wanawauzia Kenya?
 
Hivi hata hujui kuwa kwa tabia yenu ya ovyo ya kukata miti ndo maana nchi yenu inakuwa jangwa? Ha ha haaaa usinichekeshe!

Suala la logistics za chakula amini usiamini litawasumbua mpaka mtakoma, wiki ya pili sasa hamjapata chakula na hamjui kitasafirije!

Halafu eti unasema hatuwezi kurutubisha nini? Hivi hujiulizi chakula tunachowalisha kila mwaka kinatoka wapi? Unadhani hatutoi mbolea kwa wakulima?

Kwa taarifa yako, kila mwaka serikali hutenga fungu kwa ajili ya pembejeo ( mbolea, mbegu, viuadudu na memngine) kwa ajili ya wakulima! Ndo maana tunapata chakua cha kuwalisha

Kha! Hivi unajua Tanzania ndio inaongoza kwa ukataji wa miti kiholela, deforestation kwa asilimia 67% wakati Kenya ipo inachezea kwenye 33%
Nyie hamjui chochote kinachohusiana na utunzaji wa mazingira na mali asili mnaishi kiujanja janja, hata ndovu kwenu wanawindwa mpaka ipo kipindi rais wenu alianikwa kwenye kongomano la dunia. Na ndio maana mnaliwa sana kwenye madini.

Halafu hilo la kutopata chakula sijui unalitoa wapi maana kufikia hapo tumenunua mahindi mengi maana hela tunazo na yanasafirishwa kote kote, na pia serikali imeingia ubia na wenye mashini ndogo ndogo vijijini ili kuhakikisha unga unawafikia watu wote.

Halafu nyie hata serikali iwape pembejeo za akila kwa jinsi mlivyo wavivu bado mnaishia kushindwa kukidhi hali ya chakula pamoja na liinchi lote hilo, hadi mnaishia kufuata mahindi Malawi na wengine kula viwavi.
 
Baada ya mwezi utawasikia wazambia wanalia njaa tena, tumewachoka. Hawa wakiwa na njaa wanakuja Tanzania kuomba kazi na kununua mahindi vijijini, leo hii wanawauzia Kenya?
hivi mimi mtanzania nikinunua mahindi zambia, nitapewa kibali cha kuuza kenya, lets now think out of the box, we can make money by feeding kenyans. sisi na sisi khaaa, akili ya biashara zero!!!!!
 
Back
Top Bottom