Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh!! Kukimbia nalo ni jambo la kusifia!!?Kama hujawahi kufanya jambo na jirani yako ameweza basi mpongeze. Usiwe unasema kwamba ni jambo rahisi ilhali nyinyi mumeshindwa kulifanya. Kama ni jambo dogo mbona nyinyi mumeshindwa kulifanya?
Kati ya mkenya na fisi nani anambio zaidi!?Yaani nyie mna wanariadha watatu tu waliofuzu kuenda olympiki.
"Tajiri"...🙆🏾♂️Duh!! Kukimbia nalo ni jambo la kusifia!!?
Wanaokimbia kimbia hovyo ni maskini.
Tajiri kama sisi hawezi kujiingiza kwenye michezo ya animals.
Fisiemu atakuwa hana mbio kwani ashakula hela zenyu sana, sahi ni mwendo wa kujamba jamba tyuu! 🤣 🤣 🤣Kati ya mkenya na fisi nani anambio zaidi!?
Hiyo ni sura ya wakenya."Tajiri"...🙆🏾♂️
View attachment 1822668
Umekuja kuangusha povu hapa baada ya kupewa dhaaawa! 🤣 🤣 🤣 🤣 💉 💉 💉Hili nalo jambo la kuanzisha thread!?
Yani mtu kwenda Japan ndio unaanzisha thread!!?
Mungu wangu.
Pole, nilijua itakuuma ila itakubidi uzoee! 😝😂Hiyo ni sura ya wakenya.
Njaa haijifichi 🤣 🤣 🤣Fisiemu atakuwa hana mbio kwani ashakula hela zenyu sana, sahi ni mwendo wa kujamba jamba tyuu! 🤣 🤣 🤣
Miguu kama ya kangaroo Njaa mbaya sana.Pole, nilijua itakuuma ila itakubidi uzoee! 😝😂
Hiyo miguu iko insured popo wewe, hapo akiumia tu, hela atakayolipwa, wewe na generation yako yote, mwaeza kulishwa nayo ka miaka kumi hivi minimum, hapo hatujaongelea hela ya kuonekana uwanjani tu, na akishanda je, ashaua kenge! Toa kilio cha kine...e hapa! 🤣 🤣 🤣
Fani hii ya kufukuza upepo iko kwa watu wa maeneo ya ukame na wachunga mifugo.Wazee wa Baikoko wanaendelea kunengua viuno.... Haya mambo yalishawagomea.
As always, we don't joke! 🇰🇪 🔥 Wale boxers wanaoishi UAE bado hata hatujawahesabu, tunangoja official selection! 🤣🇰🇪 is a sports powerhouse. 💪View attachment 1822679
Watu wanafanya hizi kitu za kupepea most ni ugly aisee, demu ziko kama slim sijui papuchi zao zilivyo.Ugandans wako sawa,kuna vijana wamechukua medals kadhaa wa kule. Na hivyo ndivyo inafaa, EA kutambulika, ila kuna wenzetu wamebobea kula chipsi mayai, sijui tutawasaidia vipi? [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ndo maana ugonjwa wa moyo umekithiri huko, kazi ni Kiepe, kitimoto, yai, bapa la K-vant na ushuzi mwingine hatari kwa afya. Wavunja marekodi ya dunia hatuhitaji huo utopolo sahi, wacha wazichange alafu wakistaafu wale bata vizuri hadi mjinyonge dadeq! 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Fani hii ya kufukuza upepo iko kwa watu wa maeneo ya ukame na wachunga mifugo.
Watu wa kula Bata ni No!
Umaskini tu 100m per 10s halafu utegemee demu wa show off never wazungu kutufananisha na nyani hawakosei[emoji23][emoji23]Ndo maana ugonjwa wa moyo umekithiri huko, kazi ni Kiepe, kitimoto, yai, bapa la K-vant na ushuzi mwingine hatari kwa afya. Wavunja marekodi ya dunia hatuhitaji huo utopolo sahi, wacha wazichange alafu wakistaafu wale bata vizuri hadi mjinyonge dadeq! [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Wewe tunakujua ni mwanachama wa CHAPUTA, ka mkao wa kulia... 😂 😂 😂 😂 Hata demu huna itakuwa, na kama unae, basi ni wale vikojozi wa Tandale au vile vichawi vya Gambosh! 😬😬😬Watu wanafanya hizi kitu za kupepea most ni ugly aisee, demu ziko kama slim sijui papuchi zao zilivyo.
Acheni tu watuwakilishe
Ati njaa!? 🤣 🤣 🤣 🤣 💉💉💉 Huyu anaweza kuwa sponsor wako ujue! 🤣 🤣 🤣Njaa haijifichi 🤣 🤣 🤣 View attachment 1822671
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe tunakujua ni mwanachama wa CHAPUTA, ka mkao wa kulia... [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Hata demu huna itakuwa, na kama unae, basi ni wale vikojozi wa Tandale au vichawi vya Gambosh! [emoji51][emoji51][emoji51]