cassavaleaves
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 1,799
- 2,237
Kweli kwa Watanznia serikali ni mungu wa pili......tuna safari ndefu sana...sawa
sawa ila kuna kutangulia. amani ya nchi na usalama ni bora kuliko uhai wa mtu mmoja mjinga anaetaka sifa. hoja zake ashaambia selikali itazifanyia kazi.
Nani hajui kwamba Uwakili wa Poti Mwabukusi ni "cover "tu lakini yeye aliwahi kugombea ubunge pale Rungwe kwa tiketi ya Chama fulani cha Upinzani,suala la Bandari ni "siasa "ya Kumbomoa Samia Suluhu Hassan tu,hakuna umaslahi ya Tanganyika wala Zanzibar.
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Bwana mdogo JPM ameshafariki na Mwakubusi ametoa ya moyoni. Utafanya nini dogo?Mpumbavu sana huyu Mwabukusi. Nyakati za JPM asingethubutu kufungua mdomo wake kama anavyofanya muda huu.
Siku nyingi tu tungekuwa tumesaini mikataba ya uwekezaji pale ikulu na media zote zingeimba mapambio. Leo anaongea kwa sauti ya juu ni kwa sababu mamlaka za juu zimempa uhuru wa kufanya hivyo.
Mtu Msomi halafu kijana hapaswi kuongelea Mambo ya Utanganyika tena zama hizo!
TANZANIA NI MOJA NA MUUNGANO NI KITU CHEMA!
Hoja zake zingeweza kuwa na nguvu lakini kitendo cha Kuegemea kwenye Utanganyika na Uzanzibari kuharibu kila kitu!
Hana Hoja!!!
Bahati mbaya HUWA TUNASHABIKIA kauli zenye kutugawa na KUCHOCHEA chuki lakini tukiulizana wangapi wana uraia pacha sina hakika kama watakuwa aa kutosha!!!
Huu UJINGA tunaouendekeza tutakuja kulia siku moja....
Nashauri MAMLAKA zifanye kazi zake!!! Wakitokea wajanja wachache wakatuchochea HIZO BANDARI, MADINI NA MBUGA ZA WALIMA vitakuwa shamba la BIBI kama vya KONGO!!! Bahati mbaya wasomi NDIYO WAMEKUWA SABABU YA KUHARIBIKA MAMBO....
Kuna haja gani ya kukosoa kwa MATUSI NA LUGHA ZA KEBEHI? LUGHA ZA KIFEDHULI NA KIBAGUZI???
TUKICHOCHEA HAYA TUTAMBUE tunaigawa nchi pamoja na damu zetu...
Watu waandike PETITION, WAANDAMANE AU KUANDAA MAKONGAMANO lakini kwanza TUILINDE NCHI YETU YA TANZANIA...
Wenzetu akiba lisu, nsala, na wengineo WANAWEZA KUPOKELEWA ULAYA NA KWINGINEKO!! Tujiulize sisi MASSES tukiivunja nchi tutakuwa na pakwenda???
HaTUONI MFANO WA WASOMALI NA WAETHOPIA KILA KUKICHA WANAFIA KWENYE MAKONTENA WAKISAFIRISHWA KWENDA AFRIKA KUSINI???
Watanzania tusiwe wajinga kiasi hiki!!!
these are coordinated attacks and whoever is behind these, I strongly believe has a handsome share benefiting for putting the country into chaos
HatutakiiDodoma wameshatoa ruhusa ya uwekezaji kufanyika. Wewe mtanganyika bandia unayetumia jina la kugushi na ujitokeze huko njiani ili tuione hasira yako kama ni ya kweli au ni kuwadanganya wengine.
Who are you to threaten people?anachokitafta atakipata. soon atajua maana ya amri jeshi mkuu inamaana gani. ngoja aendelee kufurahisha genge. his days are numbered.
Zanzibar haina wenyewe lakini wazanzibari wapoAli Karume nae ni Mnyasa wa Malawi, Zanzibar haina mwenyewe japo wakazi wa huko wanajishau kuwa ni yao, Wazanzibar wote ni wahamiaji, wametoka bara na nchi za jirani wengine wametoka kwa wajomba zetu Uarabuni,wengine Comoro ,China ,India. Zanzibar wapoWasukuma ,Wanyamwezi,Wadigo,Wakwere,Wanyakyusa, Zanzibar haina mwenyewe hata hawa akina Jussa ni wahindi weusi.
Vipi unauhusiano wowote na al marhom sheikh yahya huseinNikuulize wewe unaweza kujua hili:
Kamati Kuu ya CCM ina wajumbe wangapi toka Zanzibar?
Inavyo onekana sasa hivi ni kuwa CCM Zanzibar ndiyo inayoendesha maswala yote yanayoihusu Tanganyika.
Inabidi sasa hili nalo tulitambue vizuri.
Nitumie fursa hii pia, kusema kwa uhakika kabisa, kwamba Samia ndiye atakayekuwa mZanzibar wa mwisho kuitawala Tanganyika. Haitatokea tena mwingine.
Mkuu 'johnthebaptist', nasubiri jibu la swali langu.
Halmashauri kuu ya CCM ina Wazanzibar wanaoamua mambo ya Tanganyika ikiwemo hili la Bandari.Makes sense.
Walioutengeneza mkataba DP World:
Rais :Mzanzibar
Waziri Ujenzi :Mzanzibar
Katibu Mkuu Ujenzi: Mzanzibar
Bandari za Zanzibar: haziuzwi!
The country(Tanganyika) has gone to the dogs!
kwa mfano, Kuna wizara ambazo sio za Muungano, na sio za Zanzibar. kwa maana hiyo, sio za Tanganyika??? anayekwambia Tanganyika haipo anakupotosha.Halafu inaonekana hata sheria hajui, Tanganyika haipooooo
Halafu hili jina hili tz hakuna majina ya hivi
Amani ya nchi limeachwa Kwa watoto wa maskini.anachokitafta atakipata. soon atajua maana ya amri jeshi mkuu inamaana gani. ngoja aendelee kufurahisha genge. his days are numbered.
Wewe subiri 2024 na 2025 ndio utajuwa mtaani ni nini?Duuh kweli wewe haujielewi yaani hautaki watu watoe mawazo kwenye mitandao? Boss wako mwenyewe Chifu Hangaya anapitia mitandaoni kusoma maoni ya wananchi ,wewe unafikiri viongozi wapo kila sehmu kukusanya maoni? Mitandao ndiyo inatoa fikra sahihi kuliko hao machawa wanaowalisha matango pori viongozi.
Mitaani kuuzwa kwa bandari ndiyo habari ya mjini yaani kuanzia shoe shiner hadi bodaboda somo limewaingia wanajua kwamba mmetuingiza mkenge.
Sasa mnashindwa nini kama mna ushahidi kuwa watu wamehongwa wameuza bandari mbona mnapiga kelele tu huku, mtu akiwa na mawazo tofauti na nyinyi kanunuliwa sasa mzee wa facts mbona hutumii hizo facts kuwapeleka mahakamani.Kulipwa malipo mpeleke takukuru,ukiwa umejipanga na fact za kisayansi na sio maneno kutoka kwenye hewa
Huduma za bandari zikija kuboreshwa msiwe wa kwanza kulete unafiki wa kuanza kusifia. Ndio tulivyo watanzania.Huwaoni waliioleta coordinated attack dhidi ya Watanganyika? Huwaoni ambao wako behind na DP saga Mkuu....Watakao ifikisha nchi kwenye chaos ni hao waliotuletea hiyo DP