Wakili Boniface Mwabukusi: Hatutaruhusu Mzanzibari kufanya mambo ya ovyo kwenye Mali za Tanganyika

Wakili Boniface Mwabukusi: Hatutaruhusu Mzanzibari kufanya mambo ya ovyo kwenye Mali za Tanganyika

Nani hajui kwamba Uwakili wa Poti Mwabukusi ni "cover "tu lakini yeye aliwahi kugombea ubunge pale Rungwe kwa tiketi ya Chama fulani cha Upinzani,suala la Bandari ni "siasa "ya Kumbomoa Samia Suluhu Hassan tu,hakuna umaslahi ya Tanganyika wala Zanzibar.

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app

Ni kosa kikatiba kugombea ubunge kwa Chama fulani? Ni Mwabukusu ndiye kaleta DP World? Au Ni CCM imelilitea na inashindwa kulitetea kwa hoja.....
 
Mpumbavu sana huyu Mwabukusi. Nyakati za JPM asingethubutu kufungua mdomo wake kama anavyofanya muda huu.

Siku nyingi tu tungekuwa tumesaini mikataba ya uwekezaji pale ikulu na media zote zingeimba mapambio. Leo anaongea kwa sauti ya juu ni kwa sababu mamlaka za juu zimempa uhuru wa kufanya hivyo.
Bwana mdogo JPM ameshafariki na Mwakubusi ametoa ya moyoni. Utafanya nini dogo?
 
Huyu mwamba amekuja na uamsho wa ajabu Sana anashambulia bila kuchoka, safi Sana 👏👏👏👏👏👏👏
 
Mtu Msomi halafu kijana hapaswi kuongelea Mambo ya Utanganyika tena zama hizo!

TANZANIA NI MOJA NA MUUNGANO NI KITU CHEMA!

Hoja zake zingeweza kuwa na nguvu lakini kitendo cha Kuegemea kwenye Utanganyika na Uzanzibari kuharibu kila kitu!

Hana Hoja!!!

Mbona huo mnaouta mkataba una Utanganyika na Uzanbibari....huuoni mkuu...!
 
Bahati mbaya HUWA TUNASHABIKIA kauli zenye kutugawa na KUCHOCHEA chuki lakini tukiulizana wangapi wana uraia pacha sina hakika kama watakuwa aa kutosha!!!

Huu UJINGA tunaouendekeza tutakuja kulia siku moja....

Nashauri MAMLAKA zifanye kazi zake!!! Wakitokea wajanja wachache wakatuchochea HIZO BANDARI, MADINI NA MBUGA ZA WALIMA vitakuwa shamba la BIBI kama vya KONGO!!! Bahati mbaya wasomi NDIYO WAMEKUWA SABABU YA KUHARIBIKA MAMBO....

Kuna haja gani ya kukosoa kwa MATUSI NA LUGHA ZA KEBEHI? LUGHA ZA KIFEDHULI NA KIBAGUZI???

TUKICHOCHEA HAYA TUTAMBUE tunaigawa nchi pamoja na damu zetu...

Watu waandike PETITION, WAANDAMANE AU KUANDAA MAKONGAMANO lakini kwanza TUILINDE NCHI YETU YA TANZANIA...

Wenzetu akiba lisu, nsala, na wengineo WANAWEZA KUPOKELEWA ULAYA NA KWINGINEKO!! Tujiulize sisi MASSES tukiivunja nchi tutakuwa na pakwenda???

HaTUONI MFANO WA WASOMALI NA WAETHOPIA KILA KUKICHA WANAFIA KWENYE MAKONTENA WAKISAFIRISHWA KWENDA AFRIKA KUSINI???

Watanzania tusiwe wajinga kiasi hiki!!!

these are coordinated attacks and whoever is behind these, I strongly believe has a handsome share benefiting for putting the country into chaos

Huwaoni waliioleta coordinated attack dhidi ya Watanganyika? Huwaoni ambao wako behind na DP saga Mkuu....Watakao ifikisha nchi kwenye chaos ni hao waliotuletea hiyo DP
 
Ali Karume nae ni Mnyasa wa Malawi, Zanzibar haina mwenyewe japo wakazi wa huko wanajishau kuwa ni yao, Wazanzibar wote ni wahamiaji, wametoka bara na nchi za jirani wengine wametoka kwa wajomba zetu Uarabuni,wengine Comoro ,China ,India. Zanzibar wapoWasukuma ,Wanyamwezi,Wadigo,Wakwere,Wanyakyusa, Zanzibar haina mwenyewe hata hawa akina Jussa ni wahindi weusi.
Zanzibar haina wenyewe lakini wazanzibari wapo
 
Nikuulize wewe unaweza kujua hili:
Kamati Kuu ya CCM ina wajumbe wangapi toka Zanzibar?

Inavyo onekana sasa hivi ni kuwa CCM Zanzibar ndiyo inayoendesha maswala yote yanayoihusu Tanganyika.
Inabidi sasa hili nalo tulitambue vizuri.

Nitumie fursa hii pia, kusema kwa uhakika kabisa, kwamba Samia ndiye atakayekuwa mZanzibar wa mwisho kuitawala Tanganyika. Haitatokea tena mwingine.

Mkuu 'johnthebaptist', nasubiri jibu la swali langu.
Vipi unauhusiano wowote na al marhom sheikh yahya husein
 
Makes sense.
Walioutengeneza mkataba DP World:

Rais :Mzanzibar
Waziri Ujenzi :Mzanzibar
Katibu Mkuu Ujenzi: Mzanzibar

Bandari za Zanzibar: haziuzwi!

The country(Tanganyika) has gone to the dogs!
Halmashauri kuu ya CCM ina Wazanzibar wanaoamua mambo ya Tanganyika ikiwemo hili la Bandari.
Wakati Zanzibar wanaingia IGA na Oman kwa mujibu wao hakuna kikao cha CCM kilikaa.

Pamoja na hayo IGA ya Zanzibar na Oman kuhusu Bandari ni Batili kwasababu kwa mujibu wa Katiba na sheria za kimataifa Zanzibar si sovereign state.

Nani alisaini kwa upande wa Zbar na kwa mamlka yapi.
Hapa haina maana watu hawataki Zbar wakafanya yao, hoja ni kuwa Zbar imepewa uhuru wa kukiuka katiba ya JMT, lakini katiba hiyo hiyo inaipa Zbar Uhuru wa kuingilia na kuamua mambo ya Tanganyika

Kwa mfano, Wabunge wa Zbar walikwenda Dubai na kurudi Dodoma kujadili Bandari. Walipoulizwa kwanini Zbar haipo katika mkataba wakasema hilo ni suala la Tanganyika. Hivi kama walijua kwanini walitumia kodi za Watanganyika kwenda kutalii na kuamua pale Dodoma jambo lisilo wahusu!!

Kule Zanzibar kuna kitu kinaitwa 'Kamati kuu maalumu' ya CCM Zanzibar inayoamua mambo ya Zanzibar.

Kuna tatizo kubwa sana na waliobeba Muungano sasa wamechoka! Rais SSH anasaidi sana kuitafuta Katiba Mpya itakyoweka mipaka na kuipa Tanganyika hadhi na haki na si kuwa Tenga la mizigo.

JokaKuu Tindo Pascal Mayalla Kalamu
 
Halafu inaonekana hata sheria hajui, Tanganyika haipooooo
Halafu hili jina hili tz hakuna majina ya hivi
kwa mfano, Kuna wizara ambazo sio za Muungano, na sio za Zanzibar. kwa maana hiyo, sio za Tanganyika??? anayekwambia Tanganyika haipo anakupotosha.


ndio maana mnakuwa na PM muongo muongo

YESU NI MASIHI
 
anachokitafta atakipata. soon atajua maana ya amri jeshi mkuu inamaana gani. ngoja aendelee kufurahisha genge. his days are numbered.
Amani ya nchi limeachwa Kwa watoto wa maskini.

Amiri Jeshi mkuu amesahau kuwa bandari ni sehemu muhimu sana.
Ugaidi ulitutikisa tukiwa na bandari zetu wenyewe Sasa subirini wageni wamiliki hizo bandari na viwanja vya ndege.
Silaha zitaingia na kupakuliwa Kwa siku mbili. Magaidi wanafadhiliwa siku zote na Marekani na matajiri wa kiarabu
 
Duuh kweli wewe haujielewi yaani hautaki watu watoe mawazo kwenye mitandao? Boss wako mwenyewe Chifu Hangaya anapitia mitandaoni kusoma maoni ya wananchi ,wewe unafikiri viongozi wapo kila sehmu kukusanya maoni? Mitandao ndiyo inatoa fikra sahihi kuliko hao machawa wanaowalisha matango pori viongozi.

Mitaani kuuzwa kwa bandari ndiyo habari ya mjini yaani kuanzia shoe shiner hadi bodaboda somo limewaingia wanajua kwamba mmetuingiza mkenge.
Wewe subiri 2024 na 2025 ndio utajuwa mtaani ni nini?
 
Kulipwa malipo mpeleke takukuru,ukiwa umejipanga na fact za kisayansi na sio maneno kutoka kwenye hewa
Sasa mnashindwa nini kama mna ushahidi kuwa watu wamehongwa wameuza bandari mbona mnapiga kelele tu huku, mtu akiwa na mawazo tofauti na nyinyi kanunuliwa sasa mzee wa facts mbona hutumii hizo facts kuwapeleka mahakamani.
 
Huwaoni waliioleta coordinated attack dhidi ya Watanganyika? Huwaoni ambao wako behind na DP saga Mkuu....Watakao ifikisha nchi kwenye chaos ni hao waliotuletea hiyo DP
Huduma za bandari zikija kuboreshwa msiwe wa kwanza kulete unafiki wa kuanza kusifia. Ndio tulivyo watanzania.

Hakuna kitu kizuri kinachokubalika moja kwa moja mbele ya jamii. Huu ni ulimwengu wa kibiashara, wa kukamata fursa za kiuchumi zinazoibuka.

Huu ujinga wa utanganyika na utanzania unaibuka muda huu eti kisingizio ni suala la bandari, that is stupid argument,

Tuache Malawi na Zambia eti wahamie kule Angola wakati bandari ya kisasa yenye ufanisi wa kisayansi ipo Dar.

Hata kama tunatumiwa na watu basi na tuanza kujivua huu ujinga na kuanza kuiona dunia ya ushindani unaotukabili katika mtazamo halisi.
 
Back
Top Bottom