Wakili Boniface Mwabukusi: Hatutaruhusu Mzanzibari kufanya mambo ya ovyo kwenye Mali za Tanganyika

Wakili Boniface Mwabukusi: Hatutaruhusu Mzanzibari kufanya mambo ya ovyo kwenye Mali za Tanganyika

Wakiwekwa ndani wanaanza hashtag nyingi free sjui nani, free sjui yule ipo siku Mama atachoka tutarudi kulekule tulipotoka.
 
Kwenye mitandao kweli lakini huku mitaani hata hamjulikani kumepoaa. Mwenyekiti aliwekwa ndani mkaweka matako yenu chini kimyaaa. Wale sijui covid 19 tu CCM wamewaamulia tu umeufyataaa. Ila kwenye mitandao utasema kuna nchi nyingine ndio maana wanawapuuza tu.

Duuh kweli wewe haujielewi yaani hautaki watu watoe mawazo kwenye mitandao? Boss wako mwenyewe Chifu Hangaya anapitia mitandaoni kusoma maoni ya wananchi ,wewe unafikiri viongozi wapo kila sehmu kukusanya maoni? Mitandao ndiyo inatoa fikra sahihi kuliko hao machawa wanaowalisha matango pori viongozi.

Mitaani kuuzwa kwa bandari ndiyo habari ya mjini yaani kuanzia shoe shiner hadi bodaboda somo limewaingia wanajua kwamba mmetuingiza mkenge.
 
WAKILI BONIFACE MWABUKUSI;KAMA HAMTATUSIKILIZA,TUTAZUNGUMZA LUGHA MTAKAYOTUSIKILIZA,HATUTARUHUSU MZANZIBARI KUFANYA MAMBO YA HOVYO KWENYE MALI ZA TANGANYIKA.

"Wazee wangu wa Mbeya nipo hapa kuwahakikishia Tanganyika hailiwi tena,tutafuatilia hatua kwa hatua kwenye mikataba ya Mali zote za Tanganyika" Wakili Boniface Mwabukusi

"Mkataba unatakiwa ujisimamie na ujitetee,ila watu wanautetea bila "baseline" za data na facts kwenye mkataba huo,hakuna research wala data, mkataba hauna data ambazo ni measured kisayansi watu wanacheza na maneno tu ambayo hayapo kwenye mkataba" Wakili Boniface Mwabukusi

"Mkataba wa bandari ni batili, chochote kilichofanywa nje ya sheria na nje ya katiba kirekebishwe" Wakili Boniface Mwabukusi.

"Tanganyika ni nchi kama ilivyo Zanzibar,hatutaruhusu Mzanzibari kufanya mambo ya hovyo kwenye Mali za Tanganyika,kama ambavyo Mtanganyika hawezi kufanya mambo ya hovyo kwenye Mali za Zanzibar" Wakili Boniface Mwabukusi.

"Ndoa ya Tanganyika na Zanzibar ilikuwa ndoa ya utotoni sasa tumekua tunataka tuongee tukubaliane Mali za Tanganyika ziwe chini ya Mtanganyika na Mali za Zanzibar ziwe chini ya Mzanzibari" Wakili Boniface Mwabukusi.

"Waziri Mkuu alitudanganya kuhusu kifo cha Hayati Rais John Pombe Magufuli na hajawahi kuomba radhi,na leo anatudanganya kuhusu mkataba wa bandari,akae pembeni kumsaidia Rais" Wakili Boniface Mwabukusi

"Waziri Mkuu atujibu,sheria sura 449 na sheria sura 450 kuhusu Ulinzi wa rasilimali za nchi na kuhusu ushughulikiwaji wa vifungu vyenye utata walizifuata,je vipengele vya mkataba wa bandari vinaoana na vipengele hivi vya sheria yetu" Wakili Boniface Mwabukusi.

"Waziri Mkuu atujibu,kwa nini bunge linataka kubadili sheria sasa hivi ziendane na mkataba huu wa bandari" Wakili Boniface Mwabukusi

"Tuliibinafsisha Tanesco kwa Net Solution tulipata faida gani na leo Tanesco ya nani? Tulileta watu TRL wakaishia kubeba vichwa vya treni kurudi navyo India,tulifanya hivyo hivyo kwa NBC kuuzwa bei ya kutupwa,na leo mnatuambia mna muujiza kwenye kuibinafsisha bandari" Wakili Boniface Mwabukusi

"Kama mkataba ni sahihi,Waziri Mkuu anatuambiaje tukusanye maoni,nani anakusanya maoni,yaende wapi,ya nini? kama mkataba tayari umeshapita" Wakili Boniface Mwabukusi

"Wakati nchi yetu ina Kiongozi mwenye element za Uzalendo watu fulani hawakuonekana kabisa,sasa hivi wamerudi wanatukana hadi Mahakama, Watanzania angalieni walioko nyuma ya huu mkataba"Wakili Boniface Mwabukusi.

"Kila uovu juu ya Tanganyika tutaukabili kwa jina lake na kila muovu tutamkabili kwa jinsi anavyokuja,hii ni nchi yetu hatutamuchia mtu mwingine aitetee" Wakili Boniface Mwabukusi

"Mabadiliko ya sheria yanayokwenda kufanyika ni matusi kwa Tanganyika,narudia tena Tanganyika ni nchi kama ilivyo Zanzibar" Wakili Boniface Mwabukusi.

"Tunatoa onyo kwa Kiongozi mwingine kudhani anaweza kuingia mikataba ya kuuza nchi akabaki salama,wasituchezee" Wakili Boniface Mwabukusi

"Tunawaomba Watanzania wa dini zote,Waislamu, Wakristo,Wachungaji na Mashehe na WA jadi,tufunge tarehe 14,15,16 kuomba mapenzi ya Mungu yakafanyike kwa Tanganyika na Tanzania,ahsanteni sana"Wakili Boniface Mwabukusi
Maneno ya mtu aliyesoma akaelemika sio akina Prof .mburura
 
WAKILI BONIFACE MWABUKUSI;KAMA HAMTATUSIKILIZA,TUTAZUNGUMZA LUGHA MTAKAYOTUSIKILIZA,HATUTARUHUSU MZANZIBARI KUFANYA MAMBO YA HOVYO KWENYE MALI ZA TANGANYIKA.

"Wazee wangu wa Mbeya nipo hapa kuwahakikishia Tanganyika hailiwi tena,tutafuatilia hatua kwa hatua kwenye mikataba ya Mali zote za Tanganyika" Wakili Boniface Mwabukusi

"Mkataba unatakiwa ujisimamie na ujitetee,ila watu wanautetea bila "baseline" za data na facts kwenye mkataba huo,hakuna research wala data, mkataba hauna data ambazo ni measured kisayansi watu wanacheza na maneno tu ambayo hayapo kwenye mkataba" Wakili Boniface Mwabukusi

"Mkataba wa bandari ni batili, chochote kilichofanywa nje ya sheria na nje ya katiba kirekebishwe" Wakili Boniface Mwabukusi.

"Tanganyika ni nchi kama ilivyo Zanzibar,hatutaruhusu Mzanzibari kufanya mambo ya hovyo kwenye Mali za Tanganyika,kama ambavyo Mtanganyika hawezi kufanya mambo ya hovyo kwenye Mali za Zanzibar" Wakili Boniface Mwabukusi.

"Ndoa ya Tanganyika na Zanzibar ilikuwa ndoa ya utotoni sasa tumekua tunataka tuongee tukubaliane Mali za Tanganyika ziwe chini ya Mtanganyika na Mali za Zanzibar ziwe chini ya Mzanzibari" Wakili Boniface Mwabukusi.

"Waziri Mkuu alitudanganya kuhusu kifo cha Hayati Rais John Pombe Magufuli na hajawahi kuomba radhi,na leo anatudanganya kuhusu mkataba wa bandari,akae pembeni kumsaidia Rais" Wakili Boniface Mwabukusi

"Waziri Mkuu atujibu,sheria sura 449 na sheria sura 450 kuhusu Ulinzi wa rasilimali za nchi na kuhusu ushughulikiwaji wa vifungu vyenye utata walizifuata,je vipengele vya mkataba wa bandari vinaoana na vipengele hivi vya sheria yetu" Wakili Boniface Mwabukusi.

"Waziri Mkuu atujibu,kwa nini bunge linataka kubadili sheria sasa hivi ziendane na mkataba huu wa bandari" Wakili Boniface Mwabukusi

"Tuliibinafsisha Tanesco kwa Net Solution tulipata faida gani na leo Tanesco ya nani? Tulileta watu TRL wakaishia kubeba vichwa vya treni kurudi navyo India,tulifanya hivyo hivyo kwa NBC kuuzwa bei ya kutupwa,na leo mnatuambia mna muujiza kwenye kuibinafsisha bandari" Wakili Boniface Mwabukusi

"Kama mkataba ni sahihi,Waziri Mkuu anatuambiaje tukusanye maoni,nani anakusanya maoni,yaende wapi,ya nini? kama mkataba tayari umeshapita" Wakili Boniface Mwabukusi

"Wakati nchi yetu ina Kiongozi mwenye element za Uzalendo watu fulani hawakuonekana kabisa,sasa hivi wamerudi wanatukana hadi Mahakama, Watanzania angalieni walioko nyuma ya huu mkataba"Wakili Boniface Mwabukusi.

"Kila uovu juu ya Tanganyika tutaukabili kwa jina lake na kila muovu tutamkabili kwa jinsi anavyokuja,hii ni nchi yetu hatutamuchia mtu mwingine aitetee" Wakili Boniface Mwabukusi

"Mabadiliko ya sheria yanayokwenda kufanyika ni matusi kwa Tanganyika,narudia tena Tanganyika ni nchi kama ilivyo Zanzibar" Wakili Boniface Mwabukusi.

"Tunatoa onyo kwa Kiongozi mwingine kudhani anaweza kuingia mikataba ya kuuza nchi akabaki salama,wasituchezee" Wakili Boniface Mwabukusi

"Tunawaomba Watanzania wa dini zote,Waislamu, Wakristo,Wachungaji na Mashehe na WA jadi,tufunge tarehe 14,15,16 kuomba mapenzi ya Mungu yakafanyike kwa Tanganyika na Tanzania,ahsanteni sana"Wakili Boniface Mwabukusi
KAMA HAMTATUSIKILIZA,TUTAZUNGUMZA LUGHA MTAKAYOTUSIKILIZA,HATUTARUHUSU MZANZIBARI KUFANYA MAMBO YA HOVYO KWENYE MALI ZA TANGANYIKA[emoji419][emoji375]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tangu tupate Uhuru wangetokea wawili tu wenye ujasiri kama huyu Naamini mpaka sasa China ikasoma kwa maendeleo ambayo tungewazidi.

Tatizo kubwa la hii nchi ukute hapo anaongea sana na Watanzania wengi kumsikiliza na kumuamini kumbe kuna miamba ya kona Kona yenye mirija pale bandarini wamemtanguliza tu mstari wa mbele kimgambo
 
WAKILI BONIFACE MWABUKUSI;KAMA HAMTATUSIKILIZA,TUTAZUNGUMZA LUGHA MTAKAYOTUSIKILIZA,HATUTARUHUSU MZANZIBARI KUFANYA MAMBO YA HOVYO KWENYE MALI ZA TANGANYIKA.

"Wazee wangu wa Mbeya nipo hapa kuwahakikishia Tanganyika hailiwi tena,tutafuatilia hatua kwa hatua kwenye mikataba ya Mali zote za Tanganyika" Wakili Boniface Mwabukusi

"Mkataba unatakiwa ujisimamie na ujitetee,ila watu wanautetea bila "baseline" za data na facts kwenye mkataba huo,hakuna research wala data, mkataba hauna data ambazo ni measured kisayansi watu wanacheza na maneno tu ambayo hayapo kwenye mkataba" Wakili Boniface Mwabukusi

"Mkataba wa bandari ni batili, chochote kilichofanywa nje ya sheria na nje ya katiba kirekebishwe" Wakili Boniface Mwabukusi.

"Tanganyika ni nchi kama ilivyo Zanzibar,hatutaruhusu Mzanzibari kufanya mambo ya hovyo kwenye Mali za Tanganyika,kama ambavyo Mtanganyika hawezi kufanya mambo ya hovyo kwenye Mali za Zanzibar" Wakili Boniface Mwabukusi.

"Ndoa ya Tanganyika na Zanzibar ilikuwa ndoa ya utotoni sasa tumekua tunataka tuongee tukubaliane Mali za Tanganyika ziwe chini ya Mtanganyika na Mali za Zanzibar ziwe chini ya Mzanzibari" Wakili Boniface Mwabukusi.

"Waziri Mkuu alitudanganya kuhusu kifo cha Hayati Rais John Pombe Magufuli na hajawahi kuomba radhi,na leo anatudanganya kuhusu mkataba wa bandari,akae pembeni kumsaidia Rais" Wakili Boniface Mwabukusi

"Waziri Mkuu atujibu,sheria sura 449 na sheria sura 450 kuhusu Ulinzi wa rasilimali za nchi na kuhusu ushughulikiwaji wa vifungu vyenye utata walizifuata,je vipengele vya mkataba wa bandari vinaoana na vipengele hivi vya sheria yetu" Wakili Boniface Mwabukusi.

"Waziri Mkuu atujibu,kwa nini bunge linataka kubadili sheria sasa hivi ziendane na mkataba huu wa bandari" Wakili Boniface Mwabukusi

"Tuliibinafsisha Tanesco kwa Net Solution tulipata faida gani na leo Tanesco ya nani? Tulileta watu TRL wakaishia kubeba vichwa vya treni kurudi navyo India,tulifanya hivyo hivyo kwa NBC kuuzwa bei ya kutupwa,na leo mnatuambia mna muujiza kwenye kuibinafsisha bandari" Wakili Boniface Mwabukusi

"Kama mkataba ni sahihi,Waziri Mkuu anatuambiaje tukusanye maoni,nani anakusanya maoni,yaende wapi,ya nini? kama mkataba tayari umeshapita" Wakili Boniface Mwabukusi

"Wakati nchi yetu ina Kiongozi mwenye element za Uzalendo watu fulani hawakuonekana kabisa,sasa hivi wamerudi wanatukana hadi Mahakama, Watanzania angalieni walioko nyuma ya huu mkataba"Wakili Boniface Mwabukusi.

"Kila uovu juu ya Tanganyika tutaukabili kwa jina lake na kila muovu tutamkabili kwa jinsi anavyokuja,hii ni nchi yetu hatutamuchia mtu mwingine aitetee" Wakili Boniface Mwabukusi

"Mabadiliko ya sheria yanayokwenda kufanyika ni matusi kwa Tanganyika,narudia tena Tanganyika ni nchi kama ilivyo Zanzibar" Wakili Boniface Mwabukusi.

"Tunatoa onyo kwa Kiongozi mwingine kudhani anaweza kuingia mikataba ya kuuza nchi akabaki salama,wasituchezee" Wakili Boniface Mwabukusi

"Tunawaomba Watanzania wa dini zote,Waislamu, Wakristo,Wachungaji na Mashehe na WA jadi,tufunge tarehe 14,15,16 kuomba mapenzi ya Mungu yakafanyike kwa Tanganyika na Tanzania,ahsanteni sana"Wakili Boniface Mwabukusi
Mtu Msomi halafu kijana hapaswi kuongelea Mambo ya Utanganyika tena zama hizo!

TANZANIA NI MOJA NA MUUNGANO NI KITU CHEMA!

Hoja zake zingeweza kuwa na nguvu lakini kitendo cha Kuegemea kwenye Utanganyika na Uzanzibari kuharibu kila kitu!

Hana Hoja!!!
 
huyo mbwa kuna kitu kinamwasha siku si nyingi atapata anachokitafuta. Ameshindwa kupata umaarufu huko mahakamani kwasababu ni kilaza. Amekula pesa za mafisadi wanaofikiri wanaweza kuikwamisha serikali hii, atakwama yeye ngedere. Lengo la hao mambwa ni kuikwamisha serikali na wanatumika na mafisadi wa bandari. Mnafiki mkubwa eti Tanganyika yetu, anaijua Tanganyika huyo fala? Hii nchi haigawanyiki watagawanyika wao.
Huyu ni wakutiwa adabu
 
anachokitafta atakipata. soon atajua maana ya amri jeshi mkuu inamaana gani. ngoja aendelee kufurahisha genge. his days are numbered.
Mkuu mambo vp, yawezekana upo sahihi sana tenq mnooo. Lakini pamoja na usahihi huo naomba nikukumbushe kutafakari yafuatayo,

1. Kwanini mkataba umevuja kwa hatua za awali?
2. Je kuna mwananchi wa kawaida au hao walioingia mkataba ambaye ameuvujisha?
3. Baada ya tafakuri ya (2.) Umadhani nani kavujisha?
4. Je ni kweli kila jambo hutokea kwa makusudi maalum?
5. Unadhani ni makusudio gani waliyonayo wavujisha mkataba?
6. Unadhani huo wasi wasi ulionao juu ya Wakili msomi unadhani yeye hajui udhalimu wa dola? Kwanini afanye hayo na kuyanena hayo?
7. Unadhani sa100 ndio muamuzi wa kila kitu nchi hii?
8. Je? Kuwa amiri jeshi mkuu ina maana unaweza fanya lolote. Popote na kwa yoyote.
9. Kwanini tumepitia kipindi cha mabadiliko ya sheria za vipepeo weusi.

Mkuu, hii nchi ipo katika hatua za ukuaji, tulia, tutulie tuone panapovuja ni wapi,
 
DECEPTION GAME PLAN YA CHADEMA SO FAR ,"INAWORK"OUT???

George Michael Uledi.
Kyela,Mbeya.
July 9,2023.

Wakati maridhiano kati ya Chama changu cha Mapinduzi na Chadema yanaendelea,mwanzoni mwa mwaka huu,2023,nilionya Chama changu kuwa makini na Chadema kwani hawakuwa na nia njema katika kutekeleza maridhiano yale dhidi ya Chama cha Mapinduzi.

Miezi minne mitano mbele,Mwenyekiti wa Chadema Mh Freeman Mbowe mmoja ya washiriki "kinara"kwenye maridhiano yale ndio akawa mtu wa kwanza "kuyavunja" kwa mdomo wake mwenyewe kwa kusema hivi".....Rais Samia na Wazanzibar wenzake wanauza Tanganyika...."Mh Mbowe alinukuliwa akiwa barani Ulaya.

Mh Tundu Lissu Makamu Mwenyekiti wa Chadema kwa sasa ndio anaongoza "genge" la matusi dhidi ya Mh Rais kwa kutamka hadharani kwamba "..Rais Samia ni Rais wa ajabu kuwahi kutokea kwenye Taifa hili,...hivi huyu Mama kapatwa na nini..."

So far "Deception Game Plan" ya Chadema dhidi ya "Nia Njema"ya CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni kama tayari imeshakuwa "sucessfully executed".Niliwahi kuonya kwamba Chama changu kilikuwa kinaingizwa kwenye mtego mkali ndani ya eneo la adui Chadema kwa ajili ya Siasa za mwaka 2024 na 2025.

Kosa la.kwanza kubwa ambalo tulilifanya ni kukosa nafasi ya "kuingia kwenye akili" ya Chadema na kujua wanawaza nini kuhusu Siasa za mbele dhidi ya nia njema ya CCM na Rais wake.That was the first mistake we commited,strategists wa CCM hatukuweza kufanya "recce" ya kutosha katika executuon ya mpango ule.

Deception ni nini?kwa lugha rahisi deception ni uwezo wa upande mmoja(vikosi) kumdanganya adui(vikosi vingine)katika uwanja wa medani kwa lengo la kumuwin adui yako na kuweza kummaliza kirahisi.Moja ya njia kuu ya kutekeleza mpango wa deception ni pamoja na (I)kumfanya adui hakuone dhaifu kwa vikosi vyako kufanya mambo ya kawaida kawaida hivyo kuweza (ii)kumuaminisha na kumfanya adui yako awe "at easy".

Deception utekelezwa katika hatua kadha na moja wapo ni(I) kwa kumficha adui yako mipango yako yote ya siri(secrecy & security)ya kivita na pili (ii) ni kwa kuhakikisha unajua kila hatua ambayo adui yako.anafanya hivyo kuweza kuandaa kitu kinaitwa(Maneuver Plan)dhidi ya miapngo yake.The next and most important aspect ya deception ni (iii) attacking the enemy by suprise.

Ni wazi kuwa Chadema walikuwa anangojea muda sahihi na opportunity sahihi kwa ajili ya "kumsuprise"adui yao CCM na kweli kwa sasa wanashambulia kila kona dhaifu ya adui wao.Mpango huo wa Chadema kupitia Social.Media ambao umebatizwa jina la "Keep Placing the Botton..".unaonekana umeanza kutufanya CCM tusiwe confortable sana.

Tactics kubwa ambayo inatumiwa na Chademe ni ile ya "disinformation & misinformation " dhidi ya Mkataba wa Uwekezaji wa Bandari na DP Wprld ya Dubai.Bahati mbaya sana Counter- Strategy ya CCM yangu imekuwa dhaifu sana kuanzia Serikali na hata ndani ya Chama changu,sababu ya udhaifu huu sijui ni kwa nini.

Chadema pia wanacheza na principle nyingine ya War Execution ni ile ya Concetration of Force kwa maana ya kumpiga adui yako kwa silaha zote na kwa nguvu zako.zote pale unapoingia kwenye "target" yako.This time planners/strategist wa CDM wamekuwa accurate sana katika mpango huu.Ajenda ya Uwekezaji wa Bandari imeongezewa na mbinu ya kuwajaza "upepo"Watanganyika dhidi ya wenzao wa Zanzibar kitu ambacho hawakuwa na wasingeweza kukitamka waziwazi wakati wa Komandant John Pombe Magufuli.Thubutu.

Ajenda hizi kuu tatu zinahitaji ufundi wa viwango vya juu kuweza kuzipindua(Uwekezaji wa DP World,Udini na ajenda ya Muungano )na Chama changu cha Mapinduzi kinahitaji kuleta watu wapya kwa sasa ndani ya uwanja wa medani wa kuweza kucheza na Siasa hizi hatarishi kwa Usalama Taifa langu la Tanzania.

NINI CCM TUFANYE HARAKA HARAKA WA SASA ANGALAU KUWEZA KUWAPUNGUZA SPIDI HAWA JAMAA?

I.Tactical withdraw kwa sasa ni muhimu sana kwetu kwani kuendelea kuwajibu bila kufanya "Political Appreciation "itakuwa ni kuendelea kujiingiza kwenye "King" hivyo kuendelea kupoteza ushawishi wetu mkubwa kwa wananchi wetu.Zoezi la tactical withdraw lisizidi wiki.mbili.tatu kabla ya kuja upya kwenye uwanja medani.

II.Hatua ya pili ni kufanya tactical "re-organization & re-recruitment" kwa.maana lazima tuwasake vijana wa CCM walio.nje wenye uwezo wa kucheza na Vijana wa Chadema iwe Majukwani na Mitandaoni na kwenye main Stream Media haraka sana.Vijana hao tunao wengi tu na huu sio wakati wa utengano tena bali huu ni wakati wa kufuta tifauti zetu ndani yetu kwa ajili ya Maslahi mapana ya kuendelea kushika Dola.
Vijana hao tunawajua na wapo available muda wowote kwa maslahi mapana ya Chama.

III.Serikali yangu ya awamu ya Sita ifahamu kwamba hauwezi kufanya Siasa na wakina Tundu Lissu na Vijana wao wakina Mdude, Martin ,Mwaipaja na wengine wengi bila angalau kupractice "The Culture of Supression & Intimidation".Nadhani Waziri wa Mambo ya Ndani Hamad Masauni kashaona hilo,lazima.sheria ziwe execited bila.kuangalia.sura kama kweli tunataka kulinda Usalama.Taifa pamoja na Muungano wetu.

Nadhani imetosha kwa leo.

+255746726484.

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Mtu Msomi halafu kijana hapaswi kuongelea Mambo ya Utanganyika tena zama hizo!

TANZANIA NI MOJA NA MUUNGANO NI KITU CHEMA!

Hoja zake zingeweza kuwa na nguvu lakini kitendo cha Kuegemea kwenye Utanganyika na Uzanzibari kuharibu kila kitu!

Hana Hoja!!!
Kwa hiyo kwa kuwa wewe Ni msomi halafu kijana ,ukiwa unadhulumiwa unakaaga kimnya, katika zama hizi

Mi nilifikili kuwa kijana Ni kupenda mabadiliko , ila we kijana una sera za kizee sana
 
huyo mbwa kuna kitu kinamwasha siku si nyingi atapata anachokitafuta. Ameshindwa kupata umaarufu huko mahakamani kwasababu ni kilaza. Amekula pesa za mafisadi wanaofikiri wanaweza kuikwamisha serikali hii, atakwama yeye ngedere. Lengo la hao mambwa ni kuikwamisha serikali na wanatumika na mafisadi wa bandari. Mnafiki mkubwa eti Tanganyika yetu, anaijua Tanganyika huyo fala? Hii nchi haigawanyiki watagawanyika wao.
wewe acha ujinga wako hii nchi sio mali yenu atakipata watanganyika tukiwa wapi mpaka akipate
 
Back
Top Bottom