TikTok2020
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 1,816
- 3,150
Malizeni kwanza msiba jamani mbona mwachanganya mambo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio itajulikana sasa!!hukumu iko pale paleee!!Kwani Musiba aliwakopa hizo pesa
Hata na yeye akufwe hiyo hela atailipa tu kwa lazima (alisikika mlevi mmoja wa pombe mwitu aliyelala kichakani)Usishangae na mdaiwa naye kurest in peace soon tu
tutateua mwingine soon! Familia kubwa hii. Wakati huo huo tunajipanga ku counter shambulio kimila zaidi! Hatawamaliza kabla hatujamrestisha kimila! Kama kweli anahusika na hili! By the way B9 sio za kitoto ni mkwanja mrefu mno! Hatuwezi acha kamwe upotee! NeverUsishangae na mdaiwa naye kurest in peace soon tu
Kwa ujumla hata Musiba aloge ukoo mzima deni bado lipo pale pale. Hata akijinyonga bado mali zinakwenda. Badala ya kuwa tuma Maaskofu angeenda mwenyewe kuomba msamaha. Warithi ndiyo wana tabu zaidi kuliko mwenye mali. Wanagombania mpaka cent 5 ya Marehemu.Dar es Salaam,
Jonathan Mndeme,wakili aliyesimamia kesi ya Madai aliyofungua Bernard Membe dhidi ya Cyprian Musiba amesema kwamba deni analodaiwa Musiba liko palepale na kwamba atapaswa kulipa.
Akihojiwa na na Azam media leo hii wakili huyo ametoa ufafanuzi kwamba Musiba atapaswa kulipa deni hilo kwa kuwa mahakama ilishateua Kampuni ili kupiga mnada mali za mdaiwa kulipia deni analodaiwa.
"Kinachosubiriwa ni familia kuteua msimamizi wa mirathi ili utararibu madai uendelee."Aliongeza.
Mara baada ya kutangazwa kifo cha Bernard Membe kumekuwepo na mawazo tofauti iwapo deni analodaiwa Musiba atapaswa kulipa au la kwani mdai amefariki hali iliyopelekea kituo cha Azam kupata ufafanuzi kutoka kwa wakili huyo.
Musiba anadaiwa deni la shilingi za Kitanzania bilioni 9.9 baada ya Mahakama kuu ya Tanzania, masijala kuu Dar Es Salaam kumtaka Cyrpian Musiba kumlipa Bernard Membe kiasi hicho cha pesa kwa kosa la kumchafua kupitia magazeti yake.
Chanzo;Azam News
Ungekuwa unaacha watu wenye akili timamu wajadili kwanza. Usipende kuharibu mada. Si wote wanaoifahamu hali yako.Ni nyumbu tu watakaoamini hili
Jilala ni mgonjwa. Ndiyo maana hajawahi hata siku moja kutoa mchango wowote hapa JF wenye maana.Huyo jilala huwa ni mwezi mchanga msamehe
Uwe unasoma na kuelewa kwanza.Wakili naye njaa tu.Kwani angenyamaza kwanza mpaka msibe uishe ndiyo aseme angepoteza nini.
Ndo @etegwe na @elitegwe. Jinga Kweli kweliHuyo jilala huwa ni mwezi mchanga msamehe
Mkuu Bams habari yako? Mungu ameingilia kati? Mlipokua mnashusha threads za kumtukana na kumsengenya "mwendazake " wenye akili na maono walionya kua kifo hakina mwenyewe.Ungekuwa unaacha watu wenye akili timamu wajadili kwanza. Usipende kuharibu mada. Si wote wanaoifahamu hali yako.
Me subiri niendelee kupambana kupata hela ya bundletutateua mwingine soon! Familia kubwa hii. Wakati huo huo tunajipanga ku counter shambulio kimila zaidi! Hatawamaliza kabla hatujamrestisha kimila! Kama kweli anahusika na hili! By the way B9 sio za kitoto ni mkwanja mrefu mno! Hatuwezi acha kamwe upotee! Never
Mmmmhhh.... Me nadhani angesema TEJA mmoja wa kule masenzeHata na yeye akufwe hiyo hela atailipa tu kwa lazima (alisikika mlevi mmoja wa pombe mwitu aliyelala kichakani)
Non Actio personalis moritur Cum persona(The right of Action does not die with the person) Ingekuwa maamuzi Bado kwa kuwa ilikuwa ni madai yafidia shauri lingeishia hapo lakini kwa kuwa ni decree ya mahakama tayari Hilo ni deni analodai marehemu.Msimamizi wa mirathi anawajibika kulidai.Dar es Salaam,
Jonathan Mndeme,wakili aliyesimamia kesi ya Madai aliyofungua Bernard Membe dhidi ya Cyprian Musiba amesema kwamba deni analodaiwa Musiba liko palepale na kwamba atapaswa kulipa.
Akihojiwa na na Azam media leo hii wakili huyo ametoa ufafanuzi kwamba Musiba atapaswa kulipa deni hilo kwa kuwa mahakama ilishateua Kampuni ili kupiga mnada mali za mdaiwa kulipia deni analodaiwa.
"Kinachosubiriwa ni familia kuteua msimamizi wa mirathi ili utararibu madai uendelee."Aliongeza.
Mara baada ya kutangazwa kifo cha Bernard Membe kumekuwepo na mawazo tofauti iwapo deni analodaiwa Musiba atapaswa kulipa au la kwani mdai amefariki hali iliyopelekea kituo cha Azam kupata ufafanuzi kutoka kwa wakili huyo.
Musiba anadaiwa deni la shilingi za Kitanzania bilioni 9.9 baada ya Mahakama kuu ya Tanzania, masijala kuu Dar Es Salaam kumtaka Cyrpian Musiba kumlipa Bernard Membe kiasi hicho cha pesa kwa kosa la kumchafua kupitia magazeti yake.
Chanzo;Azam News