Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
AmeulizwaWakili naye njaa tu.Kwani angenyamaza kwanza mpaka msiba uishe ndiyo aseme angepoteza nini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AmeulizwaWakili naye njaa tu.Kwani angenyamaza kwanza mpaka msiba uishe ndiyo aseme angepoteza nini.
Japo Mimi siyo mwanasheria, issue ya Membe ilishatolewa maamuzi na mahakama Hadi madalali walishateuliwa kwa akili ya utekelezaji wa hukumu Ile. Inakuwaje wewe kusema madai yamekufa na mdaiwa wakati hukumu ilishatoka? Ufafanuzi tafadhali!Shauri la Membe ilikuwa madai ya fidia binafsi kutokana na kukashifiwa (compensation for injury of reputation). Hivyo, anayestahili fidia akifa na madai yake yanakufa. Kisheria tuna msemo (maxim) unasema “Actio personalis moritur cum persona” (“A personal action 🥸🥸dies with the person”). Kwa hiyo madai kama hayo hayawezi kuwa sehemu ya mirathi ya marehemu.🥸
Tusiandikie mate mkuuJapo Mimi siyo mwanasheria, issue ya Membe ilishatolewa maamuzi na mahakama Hadi madalali walishateuliwa kwa akili ya utekelezaji wa hukumu Ile. Inakuwaje wewe kusema madai yamekufa na mdaiwa wakati hukumu ilishatoka? Ufafanuzi tafadhali!
Tuelimishane Basi nasi tupate ufahamu huo.