Wakili Dkt. Rugemeleza Nshala(PhD) aitwa Polisi kutokana na maoni yake kuhusu bandari

Wakili Dkt. Rugemeleza Nshala(PhD) aitwa Polisi kutokana na maoni yake kuhusu bandari

Wasipoangalia wanaweza sababisha wananchi wakafikia huko maana kwa mwananchi wa kawaida hoi, tozo kupanda kwa bidhaa sokoni, mkulima pembejeo juu na wasomi hawana ajira, baada ya kutafuta njia za kumkomboa ndio wanazidi kudidimiza
Sijaona anaehangaikia ajira. Mama kaanzisha mpaka BBT.

Bandari imelenga kuongeza namba za kazi. Uwekezaji mbona ni mweingi kuloko wakati wowote na ajira ni nyingi kuliko wakati wowote.

Sema wale wezi walioachishwa bandarini, wataajiriwa na madudu haya:

 
Kama kichwa cha habari kilivyojieleza,

kwamba serikali iliamua kuibnafisisha bandari ya dar,na nyinginezo nchini kwa kuwa ufanisi ni zero hivyo ikaona haja ya kuleta DPW kuinua ufanisi na mapato ya serikali
Lini "serikali iliamua kuibinafsisha bandari ya dar"? Mbona haya mengine sisi hatyajuwi, hivi ni nini maana ya kubinafsisha bandari?
 
Sijaona anaehangaikia ajira. Mama kaanzisha mpaka BBT.

Bandari imelenga kuongeza namba za kazi. Uwekezaji mbona ni mweingi kuloko wakati wowote na ajira ni nyingi kuliko wakati wowote.

Sema wale wezi walioachishwa bandarini, wataajiriwa na madudu haya:

Sawa mama, lakini hapohapo waziri mwenye dhamana alisema wameboresha miundombinu na mitambo ya kutosha ili kuleta ufanisi , na ujue hii itaondoa idadi kubwa ya wafanyakazi waliokuwa wanafanya kazi hizo watakosa ajira
Kinachotakiwa tuwe na dira kama nchi kila Rais anayeingia madarakani aifuate sio kudandia serikali ya viwanda na hatuoni au kilimo kwanza kikaangukia pua
Tujenge taasisi imara na sio mtu
 
Mimi naamini Lissu ana utaahira fulani.
Ana tatizo ambalo wakereketwa wa mlengo wa kushoto hawalioni kwa sababu ya mahaba au chuki zao za kisiasa. Mtu ambae hajali kuhusu umoja wa kitaifa muogope sana maana sumu ya itengano inaua kila kitu kwenye taifa husika, tutaanza kuishi bila kuaminiana na kubaguana. Umoja wetu wa kitaifa sio wa kuchezea hata kidogo kama kasoro ni vema kurekebisha kwa upendo na mshikamano. Kitendo cha lisu kuvaa t-shirt yenye bendera ya Tanganyika kafanya dhambi kubwa sana.
 
Huo muda wa saa 9:00 asubuhi haijawahi kuwepo kwenye sayari hii. Na kwa msingi huo barua inakosa mashiko. Namshauri asiende kwani mudq aliopangiwa hautakaa ufike Hadi tunaingia kuzimu!
Mwandishi ni Kama amelazimishwa kuiandika na ama hakubaliani na hatua zinazochukuliwa na polisi.
Na mbaya zaidi unamwandikia SUMMON yenye mapungufu kama haya wakili mbobezi🤣🤣
Hili nimiongoni mwa makosa wanayochezaga nayo kwenye kesi zote wanazozisimamia mawakili. Alafu tutasema kweli tuna watu wenye weledi katika hizo nafasi wanazozisimamia huko maofisini kama ofisi kubwa ya DCI inaonesha makosa madogo kama haya kwenye WITO tu je kwenye MEZA mbele ya mwitwaji tena wakili mbobezi mangapi yatajitokeza?😃😃
 
Sawa mama, lakini hapohapo waziri mwenye dhamana alisema wameboresha miundombinu na mitambo ya kutosha ili kuleta ufanisi , na ujue hii itaondoa idadi kubwa ya wafanyakazi waliokuwa wanafanya kazi hizo watakosa ajira
Kinachotakiwa tuwe na dira kama nchi kila Rais anayeingia madarakani aifuate sio kudandia serikali ya viwanda na hatuoni au kilimo kwanza kikaangukia pua
Tujenge taasisi imara na sio mtu

Bofya hapo chini ujisomee, halafu utuambie, mtambo na kuboresha miundo mbinu tu itasaidia nini?

 
Ana tatizo ambalo wakereketwa wa mlengo wa kushoto hawalioni kwa sababu ya mahaba au chuki zao za kisiasa. Mtu ambae hajali kuhusu umoja wa kitaifa muogope sana maana sumu ya itengano inaua kila kitu kwenye taifa husika, tutaanza kuishi bila kuaminiana na kubaguana. Umoja wetu wa kitaifa sio wa kuchezea hata kidogo kama kasoro ni vema kurekebisha kwa upendo na mshikamano. Kitendo cha lisu kuvaa t-shirt yenye bendera ya Tanganyika kafanya dhambi kubwa sana.
Wanatumiwa na watu asioitakia mema Tanzania kwa thamani ndogo sana.

Mimi huwaita ni makondoo yaliokosa mchungaji. Bofya chini ujionee madudu yaliyoibuliwa bandarini, hakuna hata mmoja anayaongelea:

 
Wanatumiwa na watu asioitakia mema Tanzania kwa thamani ndogo sana.

Mimi huwaita ni makondoo yaliokosa mchungaji. Bofya chini ujionee madudu yaliyoibuliwa bandarini, hakuna hata mmoja anayaongelea:

Na madudu hayo yalitokana chini ya uongozi wa serikali ya Chadema?

Amandla...
 
Kama sio Zanzibar na Tanganyika pia basi tuunganishe nguvu pamoja maana kajificha kwenye serikali mbili anaiburuza Zanzibar na Tanganyika.
Mawazo yako ni mazuri kuhusu kuunganisha nguvu lakini kwa upande wenu tanganyika kuna kitu mnakosea
 
Usifananishe mwanadamu na Yesu kristo,Yesu akuwahi kuwa mkorofi wala hajawahi kumparua mtu ila aliwahi kumponya mtu na kuleta ukombozi kwa wanadamu wote..Tubu hiyo dhambi acha kiburi cha uzima..wewee ni kama ua tu.
Kwa akili ndogo Kama zako huwezi hata kuelewa nimeandika nini?


USSR
 
Nasikia waarabu ukila hela yao halafu biashara ikashindikana huwa wana m'badala ambapo utatoa ulichonacho kama siyo mbele basi kinyume chake hivyo kama kuna waliokula nadhani wamenielewa
 
Sijaona anaehangaikia ajira. Mama kaanzisha mpaka BBT.

Bandari imelenga kuongeza namba za kazi. Uwekezaji mbona ni mweingi kuloko wakati wowote na ajira ni nyingi kuliko wakati wowote.

Sema wale wezi walioachishwa bandarini, wataajiriwa na madudu haya:

Taarifa bila data kamili ni porojo tu, unaweza tuambia ni Mapato kiasi gani yamepotea? Na kuanzia lini hadi lini? Mimi naona ni maelezo kibao yasitokuwa na data yetote, taarifa kama hii binafsi haiwezi kuwa kigezo cha kubinafsisha.

Tunataka tujue thamani ya bandari yetu ,tujue ni kiasi gani tume invest hadi muda huu Leo tuna ongea, tujue wizi upo upon kiasi gani? Mapato yanapotea kw siku kiasi gani, hicho kiasi kwa mwaka ni kipi? Mwisho tujue DP world watafanya nini bora kuliko sasa na mwisho DP world watawekeza kiasi gani na sisi tutspata kiasi gani, nionyeshe data mimi , graph , estimate ya miaka mitatu iliyopita na mskadirio ya miaka mitatu ijayo.

Decision makers hufanya maamuzi based on data/ facts sio maelezo / porojo, hapo ndo tuna fail kama taifa.

Samia ni Rais , anaweza mwambia Mbarawa nitafutie hizo data na uje na watalaam wako nione ili niwe na supporting case ya kubinafsisha bandari, sio maelezo ya kusadikika tu.
 
Back
Top Bottom