tatizo la Nshala anaongea kwa jazba sana jambo linalo poteza uwezo wake wa kufikiria kwa kina.
kwa mtu mwenye taaluma kama yake hapaswi kupayuka kwa mihemko ya kisiasa.
kila raia anao uhuru wa kutoa maoni lakini kumbuka mipaka iliyo wekwa, ukivuka mipaka uhuru wako unapotea na hivyo utashughulikiwa kwa mujibu wa sheria.
tatizo watu wanatumia uhuru wao vibaya kwa kuvunja uhuru wa wengine au mamlaka
kwa mtu mwenye taaluma kama yake hapaswi kupayuka kwa mihemko ya kisiasa.
kila raia anao uhuru wa kutoa maoni lakini kumbuka mipaka iliyo wekwa, ukivuka mipaka uhuru wako unapotea na hivyo utashughulikiwa kwa mujibu wa sheria.
tatizo watu wanatumia uhuru wao vibaya kwa kuvunja uhuru wa wengine au mamlaka