Wakili Dkt. Rugemeleza Nshala(PhD) aitwa Polisi kutokana na maoni yake kuhusu bandari

Wakili Dkt. Rugemeleza Nshala(PhD) aitwa Polisi kutokana na maoni yake kuhusu bandari

Nikadhani wanamuita atoe taarifa kuhusu kutishiwa uhai wake, kumbe wanamuita akatoe maelezo kwanini alitoa maoni yake, kwani DCI hajawahi kuisoma Katiba ya JMT 1977?

Kwa hii taarifa, hapa ndio unapata picha kabisa, ni wakina nani waliomtishia maisha Dr. Nshalla, hivi vitisho vyao vimepitwa na wakati, werevu hawawezi kuona uozo mahali halafu waufumbie macho kizembe, hiyo ni dhambi.
Huyu DCI si yule kikojozi kwenye kesi ya Mbowe! Samia nyota inafifia akimaliza kwa Nshala amuite na Shivji.
 
Barua hiyo ya wito kutoka ofisi ya DCI inamtaka Dkt. Nshala kufika kwa ajili ya mahojiano


Ofisi hii inafanya uchunguzi kuhusiana na kauli ulizotoa tarehe 03 Julai 2023 na kisha kusambazwa katika vyombo vya habari na mitandao mbalimbali ya kijamii kuhusiana na mkataba wa uwekezaji katika bandari ya Dar es Salaam

Ili tuwe kukamilisha uchunguzi wetu, ofisi hii inakutaka ufike ofisi ya Mkuu wa Upelelezi wa makosa ya Jinai Kanda Maalum Dar es Salaam tarehe 11 Julai, 2023 saa 09:00 asubuhi bila kukosa kwa ajili ya mahojiano.




Pia soma:
Rugemeleza Nshala: Tutafungua Kesi kupinga Mkataba wa DP World na Tanzania
Dkt. Rugemeleza Nshala: Nimetishiwa maisha baada ya kutoa maoni kuhusu mkataba wa Bandari na DP World
Wamefanya vizuri tena sana, watu wachache hawawezi kusambaza chuki, kuleta mgawanyiko wa nchi kwa sababu zao binafsi. Zile siyo lugha ya mtu mwenye akili timamu kwanza apimwe akili. Utafikiri hajalelewa na wazazi, huwezi kumtukana mwanamke mtu mzima kiasi kile achilia mbali ndiyo eais wa nchi yetu. Vyombo vya ulinzi na usalama visicheke na watu km hao hata kidogo. Bado yule mnyakyusa Mwabukusi. Km wana stress zao watafute namna ya kuzimaliza huko huko wasitumie mipango mizuri ya serikali.
 
Rais mstaafu wa TLS amepokea wito wa polisi kanda maalumu Dar es Salam kwa mohojiano kufuatia maoni yake naamna mkataba wa kitapeli dhidi ya waarabu

Sisi Watanganyika tukae tujiulize kosa la Dr.nshala ni lipi?

Kosa lake kuhoji bandari kutaka kuuzwa kwa waarabu?


Watanganyika tuamke wanalenga kutuziba mdomo midomo


Tujitokeze barabarani kupinga dr nshala kuhojiwa hii inatoa inshara mbaya sana

Km viongozi wamekula pesa za waarabu wawajibike wao sio kutesa wananchi wasio na hatia

Jamani watanganyika tujitokeze kupinga huu uonevu wa dola kupitia police
Uwe wa kwanza kujitokeza na utuambie kituo
 
Nikadhani wanamuita atoe taarifa kuhusu kutishiwa uhai wake, kumbe wanamuita akatoe maelezo kwanini alitoa maoni yake, kwani DCI hajawahi kuisoma Katiba ya JMT 1977?

Kwa hii taarifa, hapa ndio unapata picha kabisa, ni wakina nani waliomtishia maisha Dr. Nshalla, hivi vitisho vyao vimepitwa na wakati, werevu hawawezi kuona uozo mahali halafu waufumbie macho kizembe, hiyo ni dhambi.
Jitokeze na wewe umtukane rais wa nchi halafu uachwe hivi hivi, maoni ni kumtukana rais? Yule anatumiwa na Karamagi pamoja na Tibaijuka ingawa wanavaa uniform za CCM na mKaramagi ni m/kiti wa CCM mkoa wa Kagera
 
Barua hiyo ya wito kutoka ofisi ya DCI inamtaka Dkt. Nshala kufika kwa ajili ya mahojiano


Ofisi hii inafanya uchunguzi kuhusiana na kauli ulizotoa tarehe 03 Julai 2023 na kisha kusambazwa katika vyombo vya habari na mitandao mbalimbali ya kijamii kuhusiana na mkataba wa uwekezaji katika bandari ya Dar es Salaam

Ili tuwe kukamilisha uchunguzi wetu, ofisi hii inakutaka ufike ofisi ya Mkuu wa Upelelezi wa makosa ya Jinai Kanda Maalum Dar es Salaam tarehe 11 Julai, 2023 saa 09:00 asubuhi bila kukosa kwa ajili ya mahojiano.




Pia soma:
Rugemeleza Nshala: Tutafungua Kesi kupinga Mkataba wa DP World na Tanzania
Dkt. Rugemeleza Nshala: Nimetishiwa maisha baada ya kutoa maoni kuhusu mkataba wa Bandari na DP World
Nadhani wanaenda kumhoji pia kuhusu kutishwa kuuawa
 
Wamefanya vizuri tena sana, watu wachache hawawezi kusambaza chuki, kuleta mgawanyiko wa nchi kwa sababu zao binafsi. Zile siyo lugha ya mtu mwenye akili timamu kwanza apimwe akili. Utafikiri hajalelewa na wazazi, huwezi kumtukana mwanamke mtu mzima kiasi kile achilia mbali ndiyo eais wa nchi yetu. Vyombo vya ulinzi na usalama visicheke na watu km hao hata kidogo. Bado yule mnyakyusa Mwabukusi. Km wana stress zao watafute namna ya kuzimaliza huko huko wasitumie mipango mizuri ya serikali.
Tulia...andika kwa ufasaha, unakimbilia wapi?
 
Wakili inawezekana alikuwa na nia njema ya kufikisha ujumbe ila uchaguzi wake wa maneno haukuwa mzuri, aliongea akiwa emotional akapoteza rationality. Uhuru wa kutoa maoni una misingi na mipaka yake sio kufyatuka tu
Ebu iweke hiyo mipaka na utuambie sheria inayoweka hiyo mipaka.

Kama wanaona ana jinai,wampeleke mahakamani ili ujinga wao umaonekane wazi, siyo kumtishia.
 
Karamagi ndio architect aliekuwa nyuma ya Tibaijuka, Dr Nshala and god knows who else. Mtu ambae $5m hela ya chai kwake ashindwi kuandaa cinema yake.

Hila JF kiboko story yote unaipata hapa hapa ukiwa unasoma comments za wengine kwa makini tu na kuuanganisha dots.
Ukiwa una akili timamu utatoa maoni yako kuhusiana na content ya maoni ya Dr Nshala. Ukiwa empty brain, utaacha content na kuanza kubwabwaja eti huyu ni rafiki sijui ya nani na nani. Hopeless kabisa.
 
"Hapo zamani kulikuwa na nidhamu ya woga ,kulikuwa na Simba wa yuda ukiongea anakupalula"

by Samia Saluhu

USSR

Nidhamu ya uwoga ilitengenezwa back in the day na Nyerere himself , hata alipoondoka madarakani alitoa kauli za kukemea hiki kitu.
Miaka ya hapa kati imekuwa branded, inaitwa uzalendo na wanasiasa.

Hii kitu ndio imetengeneza kizazi cha hovyo
 
Watu wanaosifia na kutetea mkataba ni sawa,wanaokosoa na kusema mkataba mbovu wanatishiwa maisha na kushtakiwa.

Rais Samia huu ni udikteta,watu wasilazimishwe kusifia na kupongeza,kazi hiyo waachie chawa wa Mama na chawa wa CCM.

Raisi hivi punde ulionekana ukikosoa utendaji wa serikali kuhusu malipo ya ndege hadi ukatamaka maneno "stupid" je nawe utaitwa Polisi?!!

Hili si kosa la rais, ni ccm wenyewe. Walitengeza uhuru nao wanautumia.
Hii kitu ndio imetengeza unafki kwenye jamii , matokeo yake hadi kwenye uongozi tunaona
 
Back
Top Bottom