Wakili Dkt. Rugemeleza Nshala(PhD) aitwa Polisi kutokana na maoni yake kuhusu bandari

Wakili Dkt. Rugemeleza Nshala(PhD) aitwa Polisi kutokana na maoni yake kuhusu bandari

Hawa watu wanabadilisha watu neutral kwenda nao against...

Why kutumia nguvu Kiasi hiki

Mimi kama mtanzania naona ifike wakati sasa sio tuangalie tu huu Mkataba bali kuhakikisha kwamba mikataba yote kuanzia huu wa sasa na ijayo yote inakuwa wazi (Transparency)
 
Barua hiyo ya wito kutoka ofisi ya DCI inamtaka Dkt. Nshala kufika kwa ajili ya mahojiano


Ofisi hii inafanya uchunguzi kuhusiana na kauli ulizotoa tarehe 03 Julai 2023 na kisha kusambazwa katika vyombo vya habari na mitandao mbalimbali ya kijamii kuhusiana na mkataba wa uwekezaji katika bandari ya Dar es Salaam

Ili tuwe kukamilisha uchunguzi wetu, ofisi hii inakutaka ufike ofisi ya Mkuu wa Upelelezi wa makosa ya Jinai Kanda Maalum Dar es Salaam tarehe 11 Julai, 2023 saa 09:00 asubuhi bila kukosa kwa ajili ya mahojiano.




Pia soma:
Rugemeleza Nshala: Tutafungua Kesi kupinga Mkataba wa DP World na Tanzania
Dkt. Rugemeleza Nshala: Nimetishiwa maisha baada ya kutoa maoni kuhusu mkataba wa Bandari na DP World
Hakuna jipya. Hata wakili Nshala mwenyewe alipotamka maoni yake yale kwa uchungu alikuwa akijua fika itaishia hivi. Hapa nyumbani maisha ya kutishana yalishakuwa sehemu ya maisha yetu. Ukweli kwa wakubwa hautakiwi kusikika maana unauma.
 
Watu wanaosifia na kutetea mkataba ni sawa,wanaokosoa na kusema mkataba mbovu wanatishiwa maisha na kushtakiwa.

Rais Samia huu ni udikteta,watu wasilazimishwe kusifia na kupongeza,kazi hiyo waachie chawa wa Mama na chawa wa CCM.

Raisi hivi punde ulionekana ukikosoa utendaji wa serikali kuhusu malipo ya ndege hadi ukatamaka maneno "stupid" je nawe utaitwa Polisi?!!
Hakatazwi mtu kukosoa lakini namna ya kukosoa watu imefikia mpaka kuandaa maandamano na mikutano na kutoa manano machafu kwa Rais na kileta ubaguzi, lazima aitwe ajieleze nini hasa lengo lake.
 
Rais mstaafu wa TLS amepokea wito wa polisi kanda maalumu Dar es Salam kwa mohojiano kufuatia maoni yake naamna mkataba wa kitapeli dhidi ya waarabu

Sisi Watanganyika tukae tujiulize kosa la Dr.nshala ni lipi?

Kosa lake kuhoji bandari kutaka kuuzwa kwa waarabu?


Watanganyika tuamke wanalenga kutuziba mdomo midomo


Tujitokeze barabarani kupinga dr nshala kuhojiwa hii inatoa inshara mbaya sana

Km viongozi wamekula pesa za waarabu wawajibike wao sio kutesa wananchi wasio na hatia

Jamani watanganyika tujitokeze kupinga huu uonevu wa dola kupitia police
Anza wewe toka barabarani na family yako
 
Hii safi sana, maana kuna watu wanasambaza uongo, inatakiwa upelelezi chunguze namba zote wanazowasiliana nazo kwa simu na kwa messgaes. Vyanzo vitajulikana tu.

Hii ni vita ya kiuchumi kwa nchi yetu. Aidha watangazie waende wenyewe kwenye vyombo vya uchunguzi au waitwe nanmna hii.


Nashauri watazamwe ma group yao yote ya wharsapp, telegram, twitter, facebook na jadhalika. Ili vyanzo vijulikane.

Mimi nakisia. vyanzo vya haraka haraka:

1) Anna Tibaijuka.
2) karamagi
3) Adani
4) AD Ports
5) DP World
6) Wakurugenzi waliovunjiwa bodi yao bandarini.
9) Wakurugenzi wa shirika la meli lilitojajwa namba moja.
10) Taasisi za kidini.
 
Samia hana lolote.

Hana tofauti yoyote na waliomtangulia.

Ni empty suit kabisa.

Hoja kaishiwa na sasa anatumia mabavu tu.

Watu waachwe waseme. Waachwe waandamane. Ni haki yao.

Kama huo mkataba hauna dosari yoyote kwa nini wanatumia nguvu kunyamazisha na kutisha watu?

That woman is wholly incompetent.
 
Nidhamu ya uwoga ilitengenezwa back in the day na Nyerere himself , hata alipoondoka madarakani alitoa kauli za kukemea hiki kitu.
Miaka ya hapa kati imekuwa branded, inaitwa uzalendo na wanasiasa.

Hii kitu ndio imetengeneza kizazi cha hovyo
Kale kamzimu ndiyo kansa ya taifa lilipofikia. Sijawahi kumpa heshima.
 
Rais mstaafu wa TLS amepokea wito wa polisi kanda maalumu Dar es Salam kwa mohojiano kufuatia maoni yake naamna mkataba wa kitapeli dhidi ya waarabu

Sisi Watanganyika tukae tujiulize kosa la Dr.nshala ni lipi?

Kosa lake kuhoji bandari kutaka kuuzwa kwa waarabu?


Watanganyika tuamke wanalenga kutuziba mdomo midomo


Tujitokeze barabarani kupinga dr nshala kuhojiwa hii inatoa inshara mbaya sana

Km viongozi wamekula pesa za waarabu wawajibike wao sio kutesa wananchi wasio na hatia

Jamani watanganyika tujitokeze kupinga huu uonevu wa dola kupitia police
Anzaxkujitokeza wewe,utajua hujui.
 
Kosa gani la jinai ambalo DCI anamtuhumu huyu wakili? Mbona hajalitaja kwenye hiyo summon yake? Kwa mjibu wa Police Standing Orders, polisi wanapaswa kumjulisha mtuhumiwa kosa la jinai analotuhumiwa.
 
Wamefanya vizuri tena sana, watu wachache hawawezi kusambaza chuki, kuleta mgawanyiko wa nchi kwa sababu zao binafsi. Zile siyo lugha ya mtu mwenye akili timamu kwanza apimwe akili. Utafikiri hajalelewa na wazazi, huwezi kumtukana mwanamke mtu mzima kiasi kile achilia mbali ndiyo eais wa nchi yetu. Vyombo vya ulinzi na usalama visicheke na watu km hao hata kidogo. Bado yule mnyakyusa Mwabukusi. Km wana stress zao watafute namna ya kuzimaliza huko huko wasitumie mipango mizuri ya serikali.
Ukikosea usikosolewe kisa Mwanamke,la!
 
Hii safi sana, maana kuna watu wanasambaza uongo, inatakiwa upelelezi chunguze namba zote wanazowasiliana nazo kwa simu na kwa messgaes. Vyanzo vitajulikana tu.

Hii ni vita ya kiuchumi kwa nchi yetu. Aidha watangazie waende wenyewe kwenye vyombo vya uchunguzi au waitwe namna hii.

Nashauri watazamwe ma group yao yote ya wharsapp, telegram, twitter, facebook na jadhalika. Ili vyanzo vijulikane.

Mimi nakisia. vyanzo vya haraka haraka:

1) Anna Tibaijuka.
2) karamagi
3) Adani
4) AD Ports
5) DP World
6) Wakurugenzi waliovunjiwa bodi yao bandarini.
9) Wakurugenzi wa shirika la meli lilitojajwa namba moja.
10) Taasisi za kidini.
11) Sukuma gang
12) Vyama vya siasa ikiwemo CCM yenyewe.

Naamini wengi humu JF ni makondoo tu yaliyokosa mchungaji. Vyanzo vitajulikana tu.

nawapa pongezi sana serikali kwa kuanza kuchukuwa hatua. Maana uongo ukizidi utaonekana ni ukweli.
 
Wamefanya vizuri tena sana, watu wachache hawawezi kusambaza chuki, kuleta mgawanyiko wa nchi kwa sababu zao binafsi. Zile siyo lugha ya mtu mwenye akili timamu kwanza apimwe akili. Utafikiri hajalelewa na wazazi, huwezi kumtukana mwanamke mtu mzima kiasi kile achilia mbali ndiyo eais wa nchi yetu. Vyombo vya ulinzi na usalama visicheke na watu km hao hata kidogo. Bado yule mnyakyusa Mwabukusi. Km wana stress zao watafute namna ya kuzimaliza huko huko wasitumie mipango mizuri ya serikali.
Huu ndio ukweli.
 
UDCI wenyewe aliupata kama zawadi baada ya kumnyanyapaa Mwamba Abubakhari Mbowe kwa kumbambikia makosa ya ugaidi
tatizo la Nshala anaongea kwa jazba sana jambo linalo poteza uwezo wake wa kufikiria kwa kina.
kwa mtu mwenye taaluma kama yake hapaswi kupayuka kwa mihemko ya kisiasa.

kila raia anao uhuru wa kutoa maoni lakini kumbuka mipaka iliyo wekwa, ukivuka mipaka uhuru wako unapotea na hivyo utashughulikiwa kwa mujibu wa sheria.

tatizo watu wanatumia uhuru wao vibaya kwa kuvunja uhuru wa wengine au mamlaka
PUMBAFU! Onyesha hapo alipovuka mpaka
 
Waandishi wa habari huru, wenye youtube channels zao.

Waitwe mmoja mmoja na kujieleza ni nani anawalipa.

Simu na mawasiliano yao yachunguzwe kwa kina. Naamini serikali inaweza kufanya uchunguzi mzuri na wa haraka na unaofata sheria.
 
Back
Top Bottom