Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 15,460
- 24,233
Hawa watu wanabadilisha watu neutral kwenda nao against...
Why kutumia nguvu Kiasi hiki
Mimi kama mtanzania naona ifike wakati sasa sio tuangalie tu huu Mkataba bali kuhakikisha kwamba mikataba yote kuanzia huu wa sasa na ijayo yote inakuwa wazi (Transparency)
Why kutumia nguvu Kiasi hiki
Mimi kama mtanzania naona ifike wakati sasa sio tuangalie tu huu Mkataba bali kuhakikisha kwamba mikataba yote kuanzia huu wa sasa na ijayo yote inakuwa wazi (Transparency)