Wakili Dkt. Rugemeleza Nshala(PhD) aitwa Polisi kutokana na maoni yake kuhusu bandari

Wakili Dkt. Rugemeleza Nshala(PhD) aitwa Polisi kutokana na maoni yake kuhusu bandari

"Hapo zamani kulikuwa na nidhamu ya woga ,kulikuwa na Simba wa yuda ukiongea anakupalula"

by Samia Saluhu

USSR
Usifananishe mwanadamu na Yesu kristo,Yesu akuwahi kuwa mkorofi wala hajawahi kumparua mtu ila aliwahi kumponya mtu na kuleta ukombozi kwa wanadamu wote..Tubu hiyo dhambi acha kiburi cha uzima..wewee ni kama ua tu.
 
Zipo laws of natural justice ambazo sio lazima ziwe coined na katiba yoyote ila kila mmoja mwenye akili timamu anapaswa kufahamu lakini pia tuna tamaduni zetu ambazo ndio msingi na uhai wa taifa letu. Wakili anapayuka sana mpaka kupoteza stara licha ya kujenga hoja zinazoeleweka. Anafoka as if anawafokea watoto wake, mamlaka huwa zinalindwa na kuheshimiwa duniani kote sio busura kwa mtu msomi kama huyo jamaa kutoa kauli zingine kama kejeli, aadhibiwe.
Ngoja tusubiri mahakama. Kesi za uchochezi zilimshinda magu
 
Wamefanya vizuri tena sana, watu wachache hawawezi kusambaza chuki, kuleta mgawanyiko wa nchi kwa sababu zao binafsi. Zile siyo lugha ya mtu mwenye akili timamu kwanza apimwe akili. Utafikiri hajalelewa na wazazi, huwezi kumtukana mwanamke mtu mzima kiasi kile achilia mbali ndiyo eais wa nchi yetu. Vyombo vya ulinzi na usalama visicheke na watu km hao hata kidogo. Bado yule mnyakyusa Mwabukusi. Km wana stress zao watafute namna ya kuzimaliza huko huko wasitumie mipango mizuri ya serikali.
Jibuni hoja, sio vioja
 
Mmmm makubwa anayepiga yowe ndiye anafuatiliwa ila mwizi anazidi kutimua mbio
 
TLS na Amnesty wanasemaje?
Mkosa maono ndio mwamuzi wa uhai wa Watanganyika..
Tutafika tu
 
Kwanini umechelewa sana kutujuza hili?
Kama nilivyoeleza JF huwa ina watu wanaandika mambo na kuelezea uhusiano wa watu.

Tibaijuka ni mnufaika mkubwa wa misaada ya Karamagi, kwenye uwekezaji wake huko Kagera.

Nshala alikuwa mtetezi wa Tibaijuka kutokana na urafiki wao, kwenye kamati ya maadili ya serikali kwenye sakata la IPTL (escrow). Inadaiwa Tibaijuka aliomba hela za Rugemalila akiwa waziri, zile billion alizopata.

TICTS nayo kumbe bado ipo ipo bandarini.

Kwa hivyo ni rahisi kuona huu urafiki wa majizi na yanapigania nini.
 
TLS na Amnesty wanasemaje?
Mkosa maono ndio mwamuzi wa uhai wa Watanganyika..
Tutafika tu

Shida yenu nyinyi wagalatia mkitaka tuongozwe na mtu ambae alikuwa tayar ameshajihakikishia kuongoza hii nchi milelel ndie aliekawa kwenu ana maono,

Samia mtakuja kumwelewa baadae sana,hakuna muda wa kupoteza Wacha kazi iendelee
 
Usifananishe mwanadamu na Yesu kristo,Yesu akuwahi kuwa mkorofi wala hajawahi kumparua mtu ila aliwahi kumponya mtu na kuleta ukombozi kwa wanadamu wote..Tubu hiyo dhambi acha kiburi cha uzima..wewee ni kama ua tu.

Sasa kama yesu alikuwa mpole,kilichowafanya nyinyi mumchape bakora na kumtundika pale msalabani kitu gan??

Roho mbaya sana nyinyi,yaani yesu mungu wenu amewaumba kama mnavyosema mnathubutu vip kumcharanga bakora??
 
Wakili inawezekana alikuwa na nia njema ya kufikisha ujumbe ila uchaguzi wake wa maneno haukuwa mzuri, aliongea akiwa emotional akapoteza rationality. Uhuru wa kutoa maoni una misingi na mipaka yake sio kufyatuka tu
Weweeee! Mipaka hiyo kaiweka nani? Mbona hamkumkamata mama yenu alipoita wenzake stupid! Watanzania wengine wajingaaaa, hasa wewe!
 
Barua hiyo ya wito kutoka ofisi ya DCI inamtaka Dkt. Nshala kufika kwa ajili ya mahojiano


Ofisi hii inafanya uchunguzi kuhusiana na kauli ulizotoa tarehe 03 Julai 2023 na kisha kusambazwa katika vyombo vya habari na mitandao mbalimbali ya kijamii kuhusiana na mkataba wa uwekezaji katika bandari ya Dar es Salaam

Ili tuwe kukamilisha uchunguzi wetu, ofisi hii inakutaka ufike ofisi ya Mkuu wa Upelelezi wa makosa ya Jinai Kanda Maalum Dar es Salaam tarehe 11 Julai, 2023 saa 09:00 asubuhi bila kukosa kwa ajili ya mahojiano.




Pia soma:
Rugemeleza Nshala: Tutafungua Kesi kupinga Mkataba wa DP World na Tanzania
Dkt. Rugemeleza Nshala: Nimetishiwa maisha baada ya kutoa maoni kuhusu mkataba wa Bandari na DP World
Namshauri mwanasheria kumwambia neno moja ,wampeleke mahakamani, ili serikali ichambuliwe kama karanga kama ile kesi ya mbowe
 
Shida ni kuwa upumbavu hauna dawa,tungekupeleka kwenye matibabu.
Waliokuwa waajiriwa TICTS awapo kwenye payroll ya TPA mpaka leo. Bado wanapokea mishahara yao kupitia TICTS ina maana yupo hapo kama employment agency anaelipwa na TPA na yeye kuwalipa wafanyakazi wake.

Ndio sababu ya TICTS kuandikiwa barua mikataba ya waliokuwa waajiriwa wake iende kwa Adani Group (nyuma yake nako kutakuwa na fisadi mwingine).

Kila kitu huwa kinapita humu humu JF ni aina ya info tu mtu unazoamua kusoma.
Watu kama nyie uwa mnajikita kusoma ujinga, hamna muda to sift through information kupata picha ya kinachoendelea na mpo tayari kuongopewa ata mnapojua mnaambiwa uongo na hao wanasheria uchwara.

DPW akija ndio mwisho kamili wa ulaji.
 
Back
Top Bottom