Wakili Dkt. Rugemeleza Nshala(PhD) aitwa Polisi kutokana na maoni yake kuhusu bandari

Wakili Dkt. Rugemeleza Nshala(PhD) aitwa Polisi kutokana na maoni yake kuhusu bandari

Dk Nshalla hamtamuweza, wala ccm police haita wasaidia, kitu bora zaidi ni kuchukua maoni ya wananchi na kurekebisha mkataba, kama kuna nia ya dhati ya uwekezaji kurekebisha mkataba kwa kuondoa vipengele tata lina ugumu gani? mkiishiwa hoja mnaomba msaada wa police?, maoni ya wananchi na watalaam mbalimbali ni kwa ajiri ya kuboresha, ukiwa mgeni Tanzania ndo unaweza shabibikia hizi mikataba, lakini kama upo Tanzania miaka yote, mikataba ya uwekezaji imeleta majanga makubwa.
kwan si selikal imeshasema itayafanyia kazi maoni yote au mnataka selikali gan itakayofanyia kazi maoni yenu.
 
Kama kichwa cha habari kilivyojieleza,

kwamba serikali iliamua kuibnafisisha bandari ya dar,na nyinginezo nchini kwa kuwa ufanisi ni zero hivyo ikaona haja ya kuleta DPW kuinua ufanisi na mapato ya serikali

Imeelezwa kuna ukwepaji mkubwa wa ulipaji kodi na wizi mkubwa katika bandari zetu


Hii inamaanisha vyombo vya ulinzi na usalama havina msaada kwa taifa,yaani TISS,TAKUKURU,JESHI LA POLISI,MAGEREZA,JWTZ, TRA na vinginevyo ni mdebwedo hasa.


Swali: Vimeshindwaje kudhibiti haya madhira yanayotekea kwenye bandari zetu?, je viapo vyao ni bure kabisa? .ni kweli hivi vyombo vimeshindwa kukomesha uhuni bandarini?,huyu mgeni DPW ndio suluhisho?


Mpaka nchi inaingia mkataba wa kijinga na DPW,, yaani ili DPW akomeshe uhuni huo?, seriously kweli?


Na kama vinatimiza wajibu wake ,mamlaka ndio hazitaki kuchukua hatua visikibali kudhalilika namna hii,na viongozi wake wajiuzulu mara moja na haraka sana
Wapi imeandikwa au imesemwa Serikali inabinafsisha bandari ya Dar?
 
Ueledi uliishia awamu ya tatu awamu ya nne iliingia kuvuruga kila kitu

Sasa magu aliingia kurudisha kwenye mstari ameondoka awamu ya nne imetia nanga tena tunalo
 
Barua hiyo ya wito kutoka ofisi ya DCI inamtaka Dkt. Nshala kufika kwa ajili ya mahojiano


Ofisi hii inafanya uchunguzi kuhusiana na kauli ulizotoa tarehe 03 Julai 2023 na kisha kusambazwa katika vyombo vya habari na mitandao mbalimbali ya kijamii kuhusiana na mkataba wa uwekezaji katika bandari ya Dar es Salaam

Ili tuwe kukamilisha uchunguzi wetu, ofisi hii inakutaka ufike ofisi ya Mkuu wa Upelelezi wa makosa ya Jinai Kanda Maalum Dar es Salaam tarehe 11 Julai, 2023 saa 09:00 asubuhi bila kukosa kwa ajili ya mahojiano.




Pia soma:
Rugemeleza Nshala: Tutafungua Kesi kupinga Mkataba wa DP World na Tanzania
Dkt. Rugemeleza Nshala: Nimetishiwa maisha baada ya kutoa maoni kuhusu mkataba wa Bandari na DP World
Yaani afike saa 9 alfajiri? Kulikoni?
 
Barua hiyo ya wito kutoka ofisi ya DCI inamtaka Dkt. Nshala kufika kwa ajili ya mahojiano


Ofisi hii inafanya uchunguzi kuhusiana na kauli ulizotoa tarehe 03 Julai 2023 na kisha kusambazwa katika vyombo vya habari na mitandao mbalimbali ya kijamii kuhusiana na mkataba wa uwekezaji katika bandari ya Dar es Salaam

Ili tuwe kukamilisha uchunguzi wetu, ofisi hii inakutaka ufike ofisi ya Mkuu wa Upelelezi wa makosa ya Jinai Kanda Maalum Dar es Salaam tarehe 11 Julai, 2023 saa 09:00 asubuhi bila kukosa kwa ajili ya mahojiano.




Pia soma:
Rugemeleza Nshala: Tutafungua Kesi kupinga Mkataba wa DP World na Tanzania
Dkt. Rugemeleza Nshala: Nimetishiwa maisha baada ya kutoa maoni kuhusu mkataba wa Bandari na DP World
Tofautisha maoni na matusi
 
Samia hana lolote.

Hana tofauti yoyote na waliomtangulia.

Ni empty suit kabisa.

Hoja kaishiwa na sasa anatumia mabavu tu.

Watu waachwe waseme. Waachwe waandamane. Ni haki yao.

Kama huo mkataba hauna dosari yoyote kwa nini wanatumia nguvu kunyamazisha na kutisha watu?

That woman is wholly incompetent.
we mjinga sana watu wanapotosha umma afu waachwe huo utakuwa wendawazimu. hivi mnadhani mama samia hana wafuasi wake nao wakisema waanze taftana na wanaomtukana nchi itakalika hii?
 
Hivi serikali ya Tanzania chini ya chama cha mapinduzi unaona ipo serious kiasi gani kwenye majukumu yake ya msingi?

Swali kama hilo wewe utajibu nini?
 
Barua hiyo ya wito kutoka ofisi ya DCI inamtaka Dkt. Nshala kufika kwa ajili ya mahojiano


Ofisi hii inafanya uchunguzi kuhusiana na kauli ulizotoa tarehe 03 Julai 2023 na kisha kusambazwa katika vyombo vya habari na mitandao mbalimbali ya kijamii kuhusiana na mkataba wa uwekezaji katika bandari ya Dar es Salaam

Ili tuwe kukamilisha uchunguzi wetu, ofisi hii inakutaka ufike ofisi ya Mkuu wa Upelelezi wa makosa ya Jinai Kanda Maalum Dar es Salaam tarehe 11 Julai, 2023 saa 09:00 asubuhi bila kukosa kwa ajili ya mahojiano.




Pia soma:
Rugemeleza Nshala: Tutafungua Kesi kupinga Mkataba wa DP World na Tanzania
Dkt. Rugemeleza Nshala: Nimetishiwa maisha baada ya kutoa maoni kuhusu mkataba wa Bandari na DP World
Sema hivi kaitwa kutokana na matusi aliyomtukana Rais basi eti maoni!
 
Kama kichwa cha habari kilivyojieleza,

kwamba serikali iliamua kuibnafisisha bandari ya dar,na nyinginezo nchini kwa kuwa ufanisi ni zero hivyo ikaona haja ya kuleta DPW kuinua ufanisi na mapato ya serikali

Imeelezwa kuna ukwepaji mkubwa wa ulipaji kodi na wizi mkubwa katika bandari zetu


Hii inamaanisha vyombo vya ulinzi na usalama havina msaada kwa taifa,yaani TISS,TAKUKURU,JESHI LA POLISI,MAGEREZA,JWTZ, TRA na vinginevyo ni mdebwedo hasa.


Swali: Vimeshindwaje kudhibiti haya madhira yanayotekea kwenye bandari zetu?, je viapo vyao ni bure kabisa? .ni kweli hivi vyombo vimeshindwa kukomesha uhuni bandarini?,huyu mgeni DPW ndio suluhisho?


Mpaka nchi inaingia mkataba wa kijinga na DPW,, yaani ili DPW akomeshe uhuni huo?, seriously kweli?


Na kama vinatimiza wajibu wake ,mamlaka ndio hazitaki kuchukua hatua visikibali kudhalilika namna hii,na viongozi wake wajiuzulu mara moja na haraka sana
Jibu jepesi ni kwamba serikali imeshindwa kutimiza majukumu yake; dawa ni kuwaondosha waingie wanaoweza.

Tungekuwa na bunge linalojitambua lingetusaidia kuiondosha hii serikali iliyoshindwa.
 
tatizo la Nshala anaongea kwa jazba sana jambo linalo poteza uwezo wake wa kufikiria kwa kina.
kwa mtu mwenye taaluma kama yake hapaswi kupayuka kwa mihemko ya kisiasa.

kila raia anao uhuru wa kutoa maoni lakini kumbuka mipaka iliyo wekwa, ukivuka mipaka uhuru wako unapotea na hivyo utashughulikiwa kwa mujibu wa sheria.

tatizo watu wanatumia uhuru wao vibaya kwa kuvunja uhuru wa wengine au mamlaka
Sasa tuone mwisho wake, atashinda wakili au kilaza DPIT asiyejua hata kilochopo ktk vitendea kazi vyake vikuu GPO
 
DP World....

Tatizo sio maoni kuhusu mkataba wa bandari Ila matamshi makali yenye lugha isiyo nzuri.
ndg

Uko kwenye idadi ya wajinga Tz

maneno ,makali yapi ,huo wote niwoga kwasababu mmeshasikia Kuna kikao kizito Cha Dr slaa na Hawa watu
 
we mjinga sana watu wanapotosha umma afu waachwe huo utakuwa wendawazimu. hivi mnadhani mama samia hana wafuasi wake nao wakisema waanze taftana na wanaomtukana nchi itakalika hii?
Juha kama furushi la mawe wewe!

Hao ulowataja kama wanapotosha umma, njia bora ya kukabiliana nao ni kujenga hoja bora na zenye ushawishi kwa umma.

Siyo kutisha na kunyanyasa watu.

Bibi yenu huyo Samia anaongoza serikali ya banana republic!
 
Huo muda wa saa 9:00 asubuhi haijawahi kuwepo kwenye sayari hii. Na kwa msingi huo barua inakosa mashiko. Namshauri asiende kwani mudq aliopangiwa hautakaa ufike Hadi tunaingia kuzimu!
Mwandishi ni Kama amelazimishwa kuiandika na ama hakubaliani na hatua zinazochukuliwa na polisi.
 
wacha aende, amezidi kupayuka kwa jazba bila kujali kuwa uhuru wa kuongea unamipaka yake.
sio unabwabwaja tu bila kujali staha za watu wengine
Kwani aliyosema hayana substance kwamba ameongea uongo? 🤣
 
Back
Top Bottom