Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 4,107
- 9,671
Huyu DCI si yule kikojozi kwenye kesi ya Mbowe! Samia nyota inafifia akimaliza kwa Nshala amuite na Shivji.Nikadhani wanamuita atoe taarifa kuhusu kutishiwa uhai wake, kumbe wanamuita akatoe maelezo kwanini alitoa maoni yake, kwani DCI hajawahi kuisoma Katiba ya JMT 1977?
Kwa hii taarifa, hapa ndio unapata picha kabisa, ni wakina nani waliomtishia maisha Dr. Nshalla, hivi vitisho vyao vimepitwa na wakati, werevu hawawezi kuona uozo mahali halafu waufumbie macho kizembe, hiyo ni dhambi.
Wamefanya vizuri tena sana, watu wachache hawawezi kusambaza chuki, kuleta mgawanyiko wa nchi kwa sababu zao binafsi. Zile siyo lugha ya mtu mwenye akili timamu kwanza apimwe akili. Utafikiri hajalelewa na wazazi, huwezi kumtukana mwanamke mtu mzima kiasi kile achilia mbali ndiyo eais wa nchi yetu. Vyombo vya ulinzi na usalama visicheke na watu km hao hata kidogo. Bado yule mnyakyusa Mwabukusi. Km wana stress zao watafute namna ya kuzimaliza huko huko wasitumie mipango mizuri ya serikali.Barua hiyo ya wito kutoka ofisi ya DCI inamtaka Dkt. Nshala kufika kwa ajili ya mahojiano
Ofisi hii inafanya uchunguzi kuhusiana na kauli ulizotoa tarehe 03 Julai 2023 na kisha kusambazwa katika vyombo vya habari na mitandao mbalimbali ya kijamii kuhusiana na mkataba wa uwekezaji katika bandari ya Dar es Salaam
Ili tuwe kukamilisha uchunguzi wetu, ofisi hii inakutaka ufike ofisi ya Mkuu wa Upelelezi wa makosa ya Jinai Kanda Maalum Dar es Salaam tarehe 11 Julai, 2023 saa 09:00 asubuhi bila kukosa kwa ajili ya mahojiano.
Pia soma:
Rugemeleza Nshala: Tutafungua Kesi kupinga Mkataba wa DP World na Tanzania
Dkt. Rugemeleza Nshala: Nimetishiwa maisha baada ya kutoa maoni kuhusu mkataba wa Bandari na DP World
una chakumshauri wewe? We tulia wapumbavu washughulikiweHuyu DCI tumshauri au tumuache?
Uwe wa kwanza kujitokeza na utuambie kituoRais mstaafu wa TLS amepokea wito wa polisi kanda maalumu Dar es Salam kwa mohojiano kufuatia maoni yake naamna mkataba wa kitapeli dhidi ya waarabu
Sisi Watanganyika tukae tujiulize kosa la Dr.nshala ni lipi?
Kosa lake kuhoji bandari kutaka kuuzwa kwa waarabu?
Watanganyika tuamke wanalenga kutuziba mdomo midomo
Tujitokeze barabarani kupinga dr nshala kuhojiwa hii inatoa inshara mbaya sana
Km viongozi wamekula pesa za waarabu wawajibike wao sio kutesa wananchi wasio na hatia
Jamani watanganyika tujitokeze kupinga huu uonevu wa dola kupitia police
Jitokeze na wewe umtukane rais wa nchi halafu uachwe hivi hivi, maoni ni kumtukana rais? Yule anatumiwa na Karamagi pamoja na Tibaijuka ingawa wanavaa uniform za CCM na mKaramagi ni m/kiti wa CCM mkoa wa KageraNikadhani wanamuita atoe taarifa kuhusu kutishiwa uhai wake, kumbe wanamuita akatoe maelezo kwanini alitoa maoni yake, kwani DCI hajawahi kuisoma Katiba ya JMT 1977?
Kwa hii taarifa, hapa ndio unapata picha kabisa, ni wakina nani waliomtishia maisha Dr. Nshalla, hivi vitisho vyao vimepitwa na wakati, werevu hawawezi kuona uozo mahali halafu waufumbie macho kizembe, hiyo ni dhambi.
Nadhani wanaenda kumhoji pia kuhusu kutishwa kuuawaBarua hiyo ya wito kutoka ofisi ya DCI inamtaka Dkt. Nshala kufika kwa ajili ya mahojiano
Ofisi hii inafanya uchunguzi kuhusiana na kauli ulizotoa tarehe 03 Julai 2023 na kisha kusambazwa katika vyombo vya habari na mitandao mbalimbali ya kijamii kuhusiana na mkataba wa uwekezaji katika bandari ya Dar es Salaam
Ili tuwe kukamilisha uchunguzi wetu, ofisi hii inakutaka ufike ofisi ya Mkuu wa Upelelezi wa makosa ya Jinai Kanda Maalum Dar es Salaam tarehe 11 Julai, 2023 saa 09:00 asubuhi bila kukosa kwa ajili ya mahojiano.
Pia soma:
Rugemeleza Nshala: Tutafungua Kesi kupinga Mkataba wa DP World na Tanzania
Dkt. Rugemeleza Nshala: Nimetishiwa maisha baada ya kutoa maoni kuhusu mkataba wa Bandari na DP World
Mtaitana wezi sana tu. Lakino ukweli uko waziKaramagi lazima ka sponsor hizo movements zote
Hapana...mnafanya Uhuru wa matusi basi
Tuonane MahakamaniDP World....
Tatizo sio maoni kuhusu mkataba wa bandari Ila matamshi makali yenye lugha isiyo nzuri.
Kingai ni mtu wa kutumwa tuHuyu DCI tumshauri au tumuache?
Tulia...andika kwa ufasaha, unakimbilia wapi?Wamefanya vizuri tena sana, watu wachache hawawezi kusambaza chuki, kuleta mgawanyiko wa nchi kwa sababu zao binafsi. Zile siyo lugha ya mtu mwenye akili timamu kwanza apimwe akili. Utafikiri hajalelewa na wazazi, huwezi kumtukana mwanamke mtu mzima kiasi kile achilia mbali ndiyo eais wa nchi yetu. Vyombo vya ulinzi na usalama visicheke na watu km hao hata kidogo. Bado yule mnyakyusa Mwabukusi. Km wana stress zao watafute namna ya kuzimaliza huko huko wasitumie mipango mizuri ya serikali.
Weka hapa aina hiyo ya matamshiDP World....
Tatizo sio maoni kuhusu mkataba wa bandari Ila matamshi makali yenye lugha isiyo nzuri.
Tutajie kifungu cha sheria kinachosema kuwa kutumia lugha kali kutoa maoni ni kosa la jinai. Halafu pia tupe kipimo cha kutofautisha kauli kali, kauli ya kawaida, na kauli ya wema.DP World....
Tatizo sio maoni kuhusu mkataba wa bandari Ila matamshi makali yenye lugha isiyo nzuri.
Ebu iweke hiyo mipaka na utuambie sheria inayoweka hiyo mipaka.Wakili inawezekana alikuwa na nia njema ya kufikisha ujumbe ila uchaguzi wake wa maneno haukuwa mzuri, aliongea akiwa emotional akapoteza rationality. Uhuru wa kutoa maoni una misingi na mipaka yake sio kufyatuka tu
Ukiwa una akili timamu utatoa maoni yako kuhusiana na content ya maoni ya Dr Nshala. Ukiwa empty brain, utaacha content na kuanza kubwabwaja eti huyu ni rafiki sijui ya nani na nani. Hopeless kabisa.Karamagi ndio architect aliekuwa nyuma ya Tibaijuka, Dr Nshala and god knows who else. Mtu ambae $5m hela ya chai kwake ashindwi kuandaa cinema yake.
Hila JF kiboko story yote unaipata hapa hapa ukiwa unasoma comments za wengine kwa makini tu na kuuanganisha dots.
"Hapo zamani kulikuwa na nidhamu ya woga ,kulikuwa na Simba wa yuda ukiongea anakupalula"
by Samia Saluhu
USSR
Watu wanaosifia na kutetea mkataba ni sawa,wanaokosoa na kusema mkataba mbovu wanatishiwa maisha na kushtakiwa.
Rais Samia huu ni udikteta,watu wasilazimishwe kusifia na kupongeza,kazi hiyo waachie chawa wa Mama na chawa wa CCM.
Raisi hivi punde ulionekana ukikosoa utendaji wa serikali kuhusu malipo ya ndege hadi ukatamaka maneno "stupid" je nawe utaitwa Polisi?!!