Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dar,Arusha, Moshi kuna nuka Nimonia.
Hii nimonia kali hii !Kwa masikitiko makubwa sana Ndugu yetu Wakili Msomi Geofrey Noah amefariki dunia leo hii jijini Arusha kwa tatizo la upumuaji.
Mwanga wa milele amuangazie apumzike kwa amani. Amina.
View attachment 1698633
Wakili Noah(Kulia) enzi za uhai wake akiwa na Wakili Olengurumwa
View attachment 1698640
Wakili Noah enzi za uhai wake
ajabu haiwapati wanaobanana kwenye msongamano kwenye daladala nk iinawawinda self drive!!! High profiles!!! wanao keep social distancing na kuepuka misongamano!!!
Hivyo vifo sio Corona ni.maradhi mengine tu
Duu comment imetolewa na mtu anaefikiria sahihi sas mtu wa kawaida akifa we utajuaje au kila mtu akiandika vifo humu si itakuwa hatari. Kifo kinachotangazwa siku zote ni either mtu mashuhuri mmoja au raia wengi full stop. Halafu umeshinda nae huyu ukaona anafuata protocol zote. Jpo inaeza kuwa kweli sio coronaajabu haiwapati wanaobanana kwenye msongamano kwenye daladala nk iinawawinda self drive!!! High profiles!!! wanao keep social distancing na kuepuka misongamano!!!
Hivyo vifo sio Corona ni.maradhi mengine tu
AminaHii mpaka ilambe kichwa kimoja kati ya vichwa vile vitatu on top ndo tutaelewana
Za hao wa kwenye Daladala nani ataripoti? Wengi wanajifia kimya kimya, ndugu/marafiki zao wengi hawana smartphone ya kuanzisha uzi. Pia, huku JF atatambulishwa Kama Nani, kapuku buza afariki? Mambo mengine mnaudhi nyie Ufipaajabu haiwapati wanaobanana kwenye msongamano kwenye daladala nk iinawawinda self drive!!! High profiles!!! wanao keep social distancing na kuepuka misongamano!!!
Hivyo vifo sio Corona ni.maradhi mengine tu
Duh! Baba kaleta panya! Usiseme panya, sema samaki nchanga. Kwani mwenye nyumba hii, ni Mmakonde. Akikusikia tu uhame nyumba ukapange kwingine.RIP na Pole kwa familia
Sema tu usiogope ni COVID19
Katika hao uliowataja, ni wachache wanaweza kumudu hizo gharama za hospitali ambazo zinaweza kuwapunguzia maumivu ya kushindwa kupumua. Wengi hufia majumbani mwao na taarifa ni nadra kufikia umma.ajabu haiwapati wanaobanana kwenye msongamano kwenye daladala nk iinawawinda self drive!!! High profiles!!! wanao keep social distancing na kuepuka misongamano!!!
Hivyo vifo sio Corona ni.maradhi mengine tu
Punguza ujuaji ...kiande wwajabu haiwapati wanaobanana kwenye msongamano kwenye daladala nk iinawawinda self drive!!! High profiles!!! wanao keep social distancing na kuepuka misongamano!!!
Hivyo vifo sio Corona ni.maradhi mengine tu
mitaani hivyo vifo havipo mtaani kwangu tuna mwaka hatujazika hata paka aliyefariki hatuna kifo hata kimoja tunasikia tu uvumi tu toka kwa waongo na wazushi kama wewe kuwa ohhh watu kibao wanakufa kwa tatizo la kupumua !!!! mtaani kwetu tatizo hilo halipo na watu kutwa hubanana kwenye daladala kwenda na kurudi wakienda kutafuta maisha na mashuleni na vyuoni lakini hatuoni wakiumwa hilo tatizo la kupumua au kufa kwa tatizo hiloKatika hao uliowataja, ni wachache wanaweza kumudu hizo gharama za hospitali ambazo zinaweza kuwapunguzia maumivu ya kushindwa kupumua. Wengi hufia majumbani mwao na taarifa ni nadra kufikia umma.
Hii mpaka ilambe kichwa kimoja kati ya vichwa vile vitatu on top ndo tutaelewana
Mimi hazipiti siku mbili mpaka nimechoka na nimeanza kuzoeaAisee,leo nimepokea taarifa mbili za misiba,juzi halikadhalika last week sijui mingapi...mmh!!!
Guilty for what?Tanzania yote jombi hadi interior. Binafsi Niko safarini msibani.
Jiwe is very guilty!
Ikilamba hao top 5 ndipo dawa itakuwa imepatikana au itakuwaje hebu fafanua hapo?Mkuu Amini usiamini italamba. Hili sina shaka nalo, kwa sababu ukiwaona wamekaa kwenye mambo yao hawavai Mask, wanaamini tatizo hamna.
Na wao ndio hukutana mara nyingi wenyewe kwa wenyewe. Yupo mtu, kama sio wale 3 wa juu anaweza kuwa 4 au 5 atang’oka, baada ya hapo akili itaingia vichwani mwao.
Ila tuchukue tahadhari, hali si nzuri. Tupunguze mikusanyiko na kusali kwa bidii. Naunga mkono sana msimamo wa mh Rais wetu lakini kuna kazi kubwa ya ku create awareness ili kupunguza vifo.