jkipaji
JF-Expert Member
- Sep 22, 2019
- 6,963
- 9,401
Ndiyo maana hawa high profile people wanaokufa najiuliza inamaana hawafuati mashariti ya kujikinga na Corona!? Au kuna kitu nyuma ya pazia ambacho wengi wetu hatukijuwi!?ajabu haiwapati wanaobanana kwenye msongamano kwenye daladala nk iinawawinda self drive!!! High profiles!!! wanao keep social distancing na kuepuka misongamano!!!
Hivyo vifo sio Corona ni.maradhi mengine tu