wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 25,190
- 27,434
Kwa sababu ya baridi na wakenya saa hivi wanaingia kama kwaoDar, Arusha, Moshi kunanuka Nimonia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa sababu ya baridi na wakenya saa hivi wanaingia kama kwaoDar, Arusha, Moshi kunanuka Nimonia.
Ni huyo mwenye sura ya ki bwashee bwasheeYeye ni yupi Sasa hapo...rip
Nadhani una malaria Kali, imepanda kichwaniRIP
Hii akili yenu etu wakili msomi sijui mnatoa wapi,.
Kuna wakili asisome? Huyo atakua katibu kata.
Mawakili wengi wao wanapewa hiyo calliber kutokana na vyeo vya baba zao.
Kakae nao kwenye vyungu wanatoka na pneumonia.
RIP Wakili msomi, yuko mwenzio kaoa mke field Marshall wa vyungu Gwajima.
Aaah wapi nna jirani yangu hapa ni mpanda daladala mzuri lakini kaipata na manusura imuondoe duniani.Ajabu haiwapati wanaobanana kwenye msongamano kwenye daladala nk iinawawinda self drive!!! High profiles!!! wanao keep social distancing na kuepuka misongamano!
Hivyo vifo sio Corona ni maradhi mengine tu.
Kwani hao waliopona hapo juu inathibitisha kuwa punguani walikuwa sahihi kudai kuwa Corona ni mafua kama mafua mengine?Hawa ni baadhi ya watu waliyowahi kuugua Covid-19 na wakapona.
Anna Mghwila.
Mwana FA.
Salam SK.(meneja wa Diamond?)
Mtoto wa Magufuli.
Mtoto wa Mbowe.
Na sasa Maalim seifu amejitangaza kuumwa Covid-19, tunaimani atapona pia
Huyu alikuepo Dodoma kwenye Siku ya Mahakama?? Pumzika kwa AmaniPole sana kwa ndugu na jamaa wote.
UVCCM bhana😜😜😜Ajabu haiwapati wanaobanana kwenye msongamano kwenye daladala nk iinawawinda self drive!!! High profiles!!! wanao keep social distancing na kuepuka misongamano!
Hivyo vifo sio Corona ni maradhi mengine tu.
Kwenu hakuna asili ya uendawazimu kweli?Hivyo vifo sio Corona ni maradhi mengine tu.
Ni uyo ambaye koti lake la suti limefungwa kwa utofauti wa vishikizo.Yeye ni yupi Sasa hapo...rip
Dodoma balaa. MC maarufu WA Dodoma Peter Yobwa kafariki Jana.Dar, Arusha, Moshi kunanuka Nimonia.
Hhhhh niomia!! Kwahiyo niomia imeshakua pandemic nayo? Inauma sana kupoteza hawa watu in two weeks😣😣Kwa masikitiko makubwa sana Ndugu yetu Wakili Msomi Geofrey Noah amefariki dunia leo hii jijini Arusha kwa tatizo la upumuaji.
Mwanga wa milele amuangazie apumzike kwa amani. Amina.
View attachment 1698633
Wakili Noah(Kulia) enzi za uhai wake akiwa na Wakili Olengurumwa
View attachment 1698640
Wakili Noah enzi za uhai wake
Badru ndosi hatunae tena,mmoja wa wamiliki wa saba generalAjabu haiwapati wanaobanana kwenye msongamano kwenye daladala nk iinawawinda self drive!!! High profiles!!! wanao keep social distancing na kuepuka misongamano!
Hivyo vifo sio Corona ni maradhi mengine tu.
mbeya wanazaa sana kipindi hiki wodi za wazazi hadi wengine wanalala chini hospitali zimezidiwa wanyakyusa tu kuti ndaga kwa kuzaa hamjambo serikali iongeze ambulance mbeya hasa kipindi hikiMbeya ving'ora vya wagonjwa vinapita balaa
Hao kajambanani kama wewe wakidedi hawatangazwi. Wanazikwa fasta tu. Mbona hili halihitaji shule kulielewa?Ajabu haiwapati wanaobanana kwenye msongamano kwenye daladala nk iinawawinda self drive!!! High profiles!!! wanao keep social distancing na kuepuka misongamano!
Hivyo vifo sio Corona ni maradhi mengine tu.
Kupoteza hawa watu aiseee in two weeksHii mpaka ilambe kichwa kimoja kati ya vichwa vile vitatu on top ndo tutaelewana.