TANZIA Wakili Geofrey Noah afariki dunia kwa tatizo la Nimonia

TANZIA Wakili Geofrey Noah afariki dunia kwa tatizo la Nimonia

kwa nini tusiwe wakweli tu na tukatafuta chanjo?.
 
RIP
Hii akili yenu etu wakili msomi sijui mnatoa wapi,.

Kuna wakili asisome? Huyo atakua katibu kata.

Mawakili wengi wao wanapewa hiyo calliber kutokana na vyeo vya baba zao.

Kakae nao kwenye vyungu wanatoka na pneumonia.

RIP Wakili msomi, yuko mwenzio kaoa mke field Marshall wa vyungu Gwajima.
Nadhani una malaria Kali, imepanda kichwani
 
Ajabu haiwapati wanaobanana kwenye msongamano kwenye daladala nk iinawawinda self drive!!! High profiles!!! wanao keep social distancing na kuepuka misongamano!

Hivyo vifo sio Corona ni maradhi mengine tu.
Aaah wapi nna jirani yangu hapa ni mpanda daladala mzuri lakini kaipata na manusura imuondoe duniani.

Covid ipo tusipende denial as if ni special country hivi isiyo prone kwa magonjwa
 
Hawa ni baadhi ya watu waliyowahi kuugua Covid-19 na wakapona.



Anna Mghwila.

Mwana FA.

Salam SK.(meneja wa Diamond?)

Mtoto wa Magufuli.

Mtoto wa Mbowe.




Na sasa Maalim seifu amejitangaza kuumwa Covid-19, tunaimani atapona pia
Kwani hao waliopona hapo juu inathibitisha kuwa punguani walikuwa sahihi kudai kuwa Corona ni mafua kama mafua mengine?
 
Ajabu haiwapati wanaobanana kwenye msongamano kwenye daladala nk iinawawinda self drive!!! High profiles!!! wanao keep social distancing na kuepuka misongamano!

Hivyo vifo sio Corona ni maradhi mengine tu.
UVCCM bhana😜😜😜
 
Kutoka kua gonjwa la watoto mpaka kua ugonjwa wa watu wazima tena unaoua kwa haraka haraka...mabadiliko haya yote ni ndani ya awamu ya tano
 
Kwa masikitiko makubwa sana Ndugu yetu Wakili Msomi Geofrey Noah amefariki dunia leo hii jijini Arusha kwa tatizo la upumuaji.

Mwanga wa milele amuangazie apumzike kwa amani. Amina.


View attachment 1698633
Wakili Noah(Kulia) enzi za uhai wake akiwa na Wakili Olengurumwa

View attachment 1698640
Wakili Noah enzi za uhai wake
Hhhhh niomia!! Kwahiyo niomia imeshakua pandemic nayo? Inauma sana kupoteza hawa watu in two weeks😣😣
 

Attachments

  • arton157264-4a8be.jpg
    arton157264-4a8be.jpg
    20 KB · Views: 1
Ajabu haiwapati wanaobanana kwenye msongamano kwenye daladala nk iinawawinda self drive!!! High profiles!!! wanao keep social distancing na kuepuka misongamano!

Hivyo vifo sio Corona ni maradhi mengine tu.
Badru ndosi hatunae tena,mmoja wa wamiliki wa saba general
 
Mbeya ving'ora vya wagonjwa vinapita balaa
mbeya wanazaa sana kipindi hiki wodi za wazazi hadi wengine wanalala chini hospitali zimezidiwa wanyakyusa tu kuti ndaga kwa kuzaa hamjambo serikali iongeze ambulance mbeya hasa kipindi hiki
 
Ajabu haiwapati wanaobanana kwenye msongamano kwenye daladala nk iinawawinda self drive!!! High profiles!!! wanao keep social distancing na kuepuka misongamano!

Hivyo vifo sio Corona ni maradhi mengine tu.
Hao kajambanani kama wewe wakidedi hawatangazwi. Wanazikwa fasta tu. Mbona hili halihitaji shule kulielewa?
 
Back
Top Bottom