The hitman
JF-Expert Member
- Nov 30, 2017
- 3,673
- 2,288
Anakosa hewa mwilini sio nje ya hapoWatu wanakufa kwa magonjwa yao mengine wewe tajiri anakufa kwa kukosa hewa? gari anayotembelea ni AC full time ofisini AC na feni ipo nyumba AC na feni ipo madirisha makubwa sana hewa kibao hakai eneo lililobanana!!! ventillator mnasingizia tu
Ukosefu wa hewa uko mitaani uswahilini kulikobanana nyumva ziko hata madirisha hamna daladala mbanano kama kawaida na hatusikii vifo mtaani