Karungikana
JF-Expert Member
- Jan 8, 2017
- 913
- 844
Hawezi maana sasa hivi hatuna tofauti na North Korea!Jamani eeh kama hapa ndiyo tulipo tuna kizazi tatizo kidogo.
Kuicheka picha binafsi sioni kama big deal. Wengine wanamchora ana kichwa kibaya na siyo tatizo kwanini hili liwe tatizo?
Ajabu zaidi ni wanapotokea watu wakisema hilo ni kos kubwa sana afunzwe adabu. Yaani, kucheka picha ni kosa kubwa sana ufunzwe adabu.
Jpm akiibuka na akasema haoni tatizo? Itabidi wamuachie. Kisha same people waliosema afunzwe adabu wataside upande wa jpm. Also if jpm will do this atavuna popularity na atatutofautisha sisi na North Korea.
Vipi yule anayemchora kichwa kikiwa kimebonyea na kidevu kimechongoka?Acheni siasa, ile ni dhihaka na sio vinginevyo. Tupingane na Rais katika mambo ya msingi ila sio kumdhihaki.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ujui kucheka kwake kunaweza ambukiza corona pichaHakucheka picha huyo, aulizwe vizuri kilichomchekesha! Halafu ni vichekesho gani hivyo vya mchekeshaji kujicheka mwenyewe?
Onyo?Hamna haja ya kumuumiza Sana,sisi siyo sadist na Kama sikosei hili kosa lake la pili,nadhani kijana Ana kichwa kigumu bado hajaelewa tuko kipindi gani,apewe onto Kali Sana na akirudia Tena Basi adhabu Kali ya kumfunga adabu ihusike,
Mfano viboko,faini etc
Kwani Wasukuma tuna nini? Achana na sisi wewe!Hata mimi sijapenda alivyomcheka hivyo alafu ukizingatia ni msukuma.
Ila Port naye alizingua sana aiseee, ile siyo suti ya kuvaliwa na mbunge!
Vijana mnajisahau sana kama ni uhuru sio kwa kiasi hicho.
This is Africa not America!
Mbona picha hakuunganisha Wala kupost yeye? Watu waliokota clip ya Idriss akicheka wakaunga na picha ya Magufuli wakapostWashauri wa Idriss sijui ni akina nani! Ile video tokea nilipoiona nilijua itamletea shida, kwa jinsi picha zile za ‘TBT’ za Rais zilivyoenea mitandaoni huku wengi wakifanya dhihaka haikufaa yeye kujifunga kibwebwe kuchekelea waziwazi.
Kwa hili umelivagaa Idriss, umepatikana...
Ni wazi Rais hakupendezwa na dhihaka zile, utayabeba machungu yake wewe mwenyewe!
Ukiponea hili uache kiherehere cha kurukia mambo, cheap stunts zitakuponza!
Sent from my iPhone using JamiiForums