Wakili LHRC: Hakuna Mwanamke anayeweza kumbaka Mwanaume

Wakili LHRC: Hakuna Mwanamke anayeweza kumbaka Mwanaume

Naona kama vile kuna ukweli ngoja nami niweke sawa.

Kibakio ni mtalimbo. Mtalimbo hufanya kazi pale tu unaposimama vinginevyo hauwezi fanya chochote.

Kibakwa ni mbususu. Mbususu inafanya kazi ipende au isipende.

Hivyo kibakio (mtalimbo) unaweza kubaka kwa kuingilia mbususu hata kama haitaki kwa kuwa inaingilika hata isipotaka, ila kibakwa (mbususu) ikitaka kubaka kibakio (Mtalimbo) kama mtalimbo hautaki hautasimama, hivyo mbususu haitaweza kuubaka mtalimbo.

KWISHA
 
Akamuulize Samsoni alichofanywa na Delila.

Akaamulize Eva alichomfanyia Adam kule Eden.

Akaamuulize Rebeka alichomfanyia baba yake na vikuku au miungu yake.

Hata Mrema alibakwa, na yule tajiri naye.

Sema wanawake hatutaki tu, ila tunaweza kuwabaka.
rape
verb [ T ]

'to force someone to have sex when he or she is unwilling.'
 
Nakubaliana na huyu wakili yupo sahihi kabisa, kwamba hakuna mwanamke mwenye huo uwezo.

Kwa wasomaji wa Biblia kuna kisa cha Yusufu na mke wa bosi wake mnaelewa fika kilichosababisha Yusufu afungwe gerezani kwa kosa la kusingiziwa 'kutaka kubaka mke wa bosi' na alikwenda gerezani huyo kijana. Soma Mwanzo 39:7-20 kukipata kisa hicho.

Katika kisa hicho mwanamke aliyewaka tamaa ya ngono na kumtamani Yusufu alishindwa kumshawishi kwa ulimi hadi akaamua siku moja kutumia njia mbadala (ubakaji) yaani kumbaka Yusufu na kwa kuwa huyo kijana alijua ni tamaa tu ya huyo mwanamke basi alitoka nduki na kumwacha boxer na kanzu.

Hakika hakuna mwanamke anayeweza kumbaka mwanaume na ikitokea amelala pamoja na kufanya ngono na mwanaume atakuwa hajambaka bali wamenyanduana kwa ridhaa zao wote wawili.

Wakili Getrude apewe maua yake.

View attachment 2873316
Kwahiyo Lutu aliridhia kutembea na mabinti zake? Haupo serious
 
Kikubwa kinachozungumziwa katika sheria huwa ni penetration... lazima accused person awe na kifaa kinacho penetrate
Ila naomba nirudie tena huyu msomi alisoma chuo gani?
Anazungumzia vipi ile statement inayosema "a person who do something through another is deemed to do so himself"?
Tatizo sio wakili cha kwanza! Tatizo ni mwanamke na elimu aliyonayo haijamsadia kujua maana ya neno ubakaji! Light angelikuwa anajua anajua maana ya neno ubakaji asingekuwa anatakiwa maneno yasiyo staha mbele ya public kama hivyo
 
"Hata kwenye Sheria yetu ya Kanuni ya adhabu imeeleza kwamba Mwanamke ni nani?, ili kueleza kwa nini tunasema Mwanaume ndiye anayeweza kubaka na sio Mwanamke, japo siku hizi kuna Kampeni nyingi, Wanaume nao wanasema na wao wanabakwa wasikilizwe, lakini sababu kubwa ndio hiyo kuwa kuna mwenye 'kibakio' na mwenye 'kibakwa' ni hivyo" -Wakili Getrude

"Haiwezekani mwenye 'kibakio' akabakwa kwa sababu kinachotumika kubaka anacho yeye kwahiyo huyo hana, Kwahiyo hawezi kumbaka, naona kama Jamii inatafuta sehemu ya kujifichia" -Wakili Getrude

Wakili Getrude Dyabene kutoka Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) amezungumza hayo leo, Jumanne Januari 16.2024 wakati akifanya mahojiano maalumu na Clouds FM kupitia Kipindi cha Power Breakfast
Kwanza atoe maana halisi ya neno UBAKAJI
 
Huyo mpenda kukaa uchi namwalika tuje tukae uchi kutwa nzima kesho tuwaache "kibakio" na "kibakwa" nao waenjoy kidogo.
 
Kwa hiyo tuseme mwanaume habakwi bali anafanyiwa ukatili wa kingono.

Sheria ngumu
 
Mkuu unaweza kufafanua hasa pale kwenye dhana?

Kubaka ni kitendo cha kumwingilia Mwanamke kingono kimabavu pasipo ridhaa yake.
Kubaka ni ile dhana ya kumwingilia mwanamke ambaye hajafikisha miaka 18 lakini inaweza kuwa aliridhia.

Kubaka ni Kumlazimisha mtu kufanya ngono pasipo ridhaa yake. Kwa kuhusisha viungo cha uzazi kama Uke na uume
 
Huyu ni wakili wa chupi kabisa!
Hivi kweli amesoma sheria kabisa?
 
Labda angetutafsiria maana ya kubaka au kubakwa. Maana sie tukisikia kubaka au kubakwa tunaelewa ni kitendo cha mtu kufanyishwa mapenz kwa kulazimishwa bila ridhaa yake.
 
Back
Top Bottom