Wakili LHRC: Hakuna Mwanamke anayeweza kumbaka Mwanaume

Wakili LHRC: Hakuna Mwanamke anayeweza kumbaka Mwanaume

Mwaka flani nilisoma habari ya kisa kimoja BBC....!

Ulaya huko kuna Mdada alikua na Salon yake, sasa kuna siku hakukuwa na Wateja sijui alijichanganta vipi akaibiwa mchana kweupe hapo Salon, Simu na vitu vingine, yule Dada alijua yule mwizi atakuja kurudi siku moja, so akaweka mitego yake, siku ya siku Mwizi kaibuka tena Mchana, kumbe yule Dada keshamuona, akaenda kumkamata, wakaanza kushindana, kumbe yule Dada ashawahi kuwa Mcheza Kareti huko nyuma, kampa karateka kadhaa yule mwizi akatulia.

Dada kamfunga kamba akaanza kumuuliza maswali, Mwizi akakiri ni yeye aliyeiba siku kadhaa nyuma, mwizi akaomba aachiwe kwa vile siku hiyo hakufanikiwa kuiba, na kwamba sasa ameomdoa plan yake ya kuwa anakuja kuiba hapo salon.

Dada akamwambia nyanyuka tuondoke, Mwizi akamwomba asimpeleke Police.... Dada akamwambia sikupeleki Police, akampakiza kwenye Gari akampeleka Nyumbani kwake!

Kumbe Dada mwenyewe alikua mshenzi flani, kamnyesha Viagra yule kibaka kwa nguvu, kazi ikawa Kumbaka yule Mwizi, Dada alikua akikalia Dudu ujue kushuka hapo ni Masaa 2, ataenda kuoga, atakula Pombe kidogo, baada ya masaa machache atakuja kukalia Dudu tena masaa 2, kazi ikawa ndo hiyo, kwa siku 3 mfululizo, usiku na mchana....!

Mpaka yule Kaka akawa analia kwamba hatarudia tena....! Baada ya siku 3, Dada akamfungua Kamba Kibaka akamwambia nenda nimekusamehe, Kibaka katoka pale kaenda kufungua kesi Police.....
Dada akaitwa Police, ila akaenda kumkana yule Kaka kwamba hamjui, ni kweli ana Salon ila hajawahi kuibiwa hata siku moja....!!!


Police wakamwachia yule Dada kwa sababu hakukuwa na Ushahidi wa kutosha!

Nakubaliana na huyu wakili yupo sahihi kabisa, kwamba hakuna mwanamke mwenye huo uwezo.

Kwa wasomaji wa Biblia kuna kisa cha Yusufu na mke wa bosi wake mnaelewa fika kilichosababisha Yusufu afungwe gerezani kwa kosa la kusingiziwa 'kutaka kubaka mke wa bosi' na alikwenda gerezani huyo kijana. Soma Mwanzo 39:7-20 kukipata kisa hicho.

Katika kisa hicho mwanamke aliyewaka tamaa ya ngono na kumtamani Yusufu alishindwa kumshawishi kwa ulimi hadi akaamua siku moja kutumia njia mbadala (ubakaji) yaani kumbaka Yusufu na kwa kuwa huyo kijana alijua ni tamaa tu ya huyo mwanamke basi alitoka nduki na kumwacha boxer na kanzu.

Hakika hakuna mwanamke anayeweza kumbaka mwanaume na ikitokea amelala pamoja na kufanya ngono na mwanaume atakuwa hajambaka bali wamenyanduana kwa ridhaa zao wote wawili.

Wakili Getrude apewe maua yake.

View attachment 2873316
Unatolea mfano watu waliopewa vipawa maalum na Mungu. Katika mazingira ya kawaida ukiwa rijali tu mwanamke anao uwezo wa kukulazimisha kufanya mapenz bila ridhaa yako unawza ukakaza ila akakuvulia nguo apo hisia zikapanda ukashindwa kujizuia, lakn pia hata mwanamke anaebakwa huwa mgumu mwanzon tu ila hisia zikishapanda mwenyewe anatanua miguu aekwe, kwahyo iyo tuite ni ridhaa yake
 
Mwaka flani nilisoma habari ya kisa kimoja BBC....!

Ulaya huko kuna Mdada alikua na Salon yake, sasa kuna siku hakukuwa na Wateja sijui alijichanganta vipi akaibiwa mchana kweupe hapo Salon, Simu na vitu vingine, yule Dada alijua yule mwizi atakuja kurudi siku moja, so akaweka mitego yake, siku ya siku Mwizi kaibuka tena Mchana, kumbe yule Dada keshamuona, akaenda kumkamata, wakaanza kushindana, kumbe yule Dada ashawahi kuwa Mcheza Kareti huko nyuma, kampa karateka kadhaa yule mwizi akatulia.

Dada kamfunga kamba akaanza kumuuliza maswali, Mwizi akakiri ni yeye aliyeiba siku kadhaa nyuma, mwizi akaomba aachiwe kwa vile siku hiyo hakufanikiwa kuiba, na kwamba sasa ameomdoa plan yake ya kuwa anakuja kuiba hapo salon.

Dada akamwambia nyanyuka tuondoke, Mwizi akamwomba asimpeleke Police.... Dada akamwambia sikupeleki Police, akampakiza kwenye Gari akampeleka Nyumbani kwake!

Kumbe Dada mwenyewe alikua mshenzi flani, kamnyesha Viagra yule kibaka kwa nguvu, kazi ikawa Kumbaka yule Mwizi, Dada alikua akikalia Dudu ujue kushuka hapo ni Masaa 2, ataenda kuoga, atakula Pombe kidogo, baada ya masaa machache atakuja kukalia Dudu tena masaa 2, kazi ikawa ndo hiyo, kwa siku 3 mfululizo, usiku na mchana....!

Mpaka yule Kaka akawa analia kwamba hatarudia tena....! Baada ya siku 3, Dada akamfungua Kamba Kibaka akamwambia nenda nimekusamehe, Kibaka katoka pale kaenda kufungua kesi Police.....
Dada akaitwa Police, ila akaenda kumkana yule Kaka kwamba hamjui, ni kweli ana Salon ila hajawahi kuibiwa hata siku moja....!!!


Police wakamwachia yule Dada kwa sababu hakukuwa na Ushahidi wa kutosha!
Kheeeh mbna mabwakuuu.
 
Akamuulize Samsoni alichofanywa na Delila.

Akaamulize Eva alichomfanyia Adam kule Eden.

Akaamuulize Rebeka alichomfanyia baba yake na vikuku au miungu yake.

Hata Mrema alibakwa, na yule tajiri naye.

Sema wanawake hatutaki tu, ila tunaweza kuwabaka.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
"Hata kwenye Sheria yetu ya Kanuni ya adhabu imeeleza kwamba Mwanamke ni nani?, ili kueleza kwa nini tunasema Mwanaume ndiye anayeweza kubaka na sio Mwanamke, japo siku hizi kuna Kampeni nyingi, Wanaume nao wanasema na wao wanabakwa wasikilizwe, lakini sababu kubwa ndio hiyo kuwa kuna mwenye 'kibakio' na mwenye 'kibakwa' ni hivyo" -Wakili Getrude

"Haiwezekani mwenye 'kibakio' akabakwa kwa sababu kinachotumika kubaka anacho yeye kwahiyo huyo hana, Kwahiyo hawezi kumbaka, naona kama Jamii inatafuta sehemu ya kujifichia" -Wakili Getrude

Wakili Getrude Dyabene kutoka Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) amezungumza hayo leo, Jumanne Januari 16.2024 wakati akifanya mahojiano maalumu na Clouds FM kupitia Kipindi cha Power Breakfast
Huyu wakili akijua maana ya neno kubaka au kubakwa hatorudia kutoa kauli kama hii. Wakili kama huyu anaweza kusema kuwa mwanamke hana nguvu za kumpiga mwanaume. Hayuko sawa
 
Tatizo sio wakili cha kwanza! Tatizo ni mwanamke na elimu aliyonayo haijamsadia kujua maana ya neno ubakaji! Light angelikuwa anajua anajua maana ya neno ubakaji asingekuwa anatakiwa maneno yasiyo staha mbele ya public kama hivyo
Serious anasemeje kibakio mbele ya kadamnasi
 
Unatolea mfano watu waliopewa vipawa maalum na Mungu
Wapo waliopewa vipawa maalum na Mungu ila inapofikia hatua ya kugegedana kwa hiari vipawa huyeyuka kwa muda, hapo huwa hakuna ubakaji.
Katika mazingira ya kawaida ukiwa rijali tu mwanamke anao uwezo wa kukulazimisha kufanya mapenz bila ridhaa yako unawza ukakaza ila akakuvulia nguo apo hisia zikapanda ukashindwa kujizuia,
Mke wa Potifa alishindwa kumshawishi Yusufu, sio kwamba Yusufu hakuwa rijali bali hakupenda kufanya ujinga, alimvulia hadi nguo na yeye akamvua lakini wapi.

Kibakio kikigoma hakuna ubakaji hapo utakaofaulu.

Kwa mwanamke hata asiposisimliwa ubakaji hufanyika, ila kwa mwanaume haiwezekani kubakwa na mwanamke 😂
 
Hili jambo ni vile tumeumbiwa utambuzi na uelewa ila kwa namna wanyama wafanyavyo ndivyo ilipaswa kuwa na kwetu na ndivyo ilikuwa enzi hizo na jamii ilikuwa salama na yenye maadili. Baada ya mwanamke kutafutiwa usawa taratibu mwanaume anazidi kunyang’anywa iliyo halali yake, wakati kiuhalisia mwanamke kuwa chini ndiyo asili yake miaka na miaka enzi na enzi.

Jinsia ya kiume ndo hiyo inaingizwa kwenye mfumo wa kike kila uchao nao wanaolewa leo hii

Acha niishi kibabe na huyu wangu kuliko kusikiliza huyo anyejiita mwanasheria kwenye maisha yangu ambayo hayamuhusu. Yaani ye akitaka bila ridhaa yangu ye sio mbakaji? Nosensi!
 
Hii sheria ilitungwa na kupitishwa kwa mihemko kama ilivyo sheria ya hifadhi ya wanyama pori, hakukuwa na utafiti wala ushirikishaji wadau ilipelekwa pelekwa tu kishabiki na kisiasa kipindi hicho mkutano wa Beijing umemalizika muda si mrefu.
Hata ukiangalia sitation na interpretation yake inakiuka kabisa matakwa ya sheria kwenye maangalizo yanayoelekeza kwamba " it should not be biase" na "it should be uniform in application"
Lakini interpretation inasema "kubaka kwa mujibu wa sheria hii; ni kitendo cha mwanaume kumuingizia mwanamke utupu ndani ya utupu wake bila ridhaa yake na au kitendo cha mwanaume kumuingizia utupu mtu aliye chini ya umri wa miaka 18 eidha kwa makubaliano au bila makubaliano.

Hapa moja kwa moja tunaona ubaguzi wa jinsia katika sheria hii ambao mpaka leo wanasheria wetu wameufumbia macho badala ya kuifuta sheria hii isiyokidhi sifa za kuwa sheria!
 
Back
Top Bottom