Wakili LHRC: Hakuna Mwanamke anayeweza kumbaka Mwanaume

Naona kama vile kuna ukweli ngoja nami niweke sawa.

Kibakio ni mtalimbo. Mtalimbo hufanya kazi pale tu unaposimama vinginevyo hauwezi fanya chochote.

Kibakwa ni mbususu. Mbususu inafanya kazi ipende au isipende.

Hivyo kibakio (mtalimbo) unaweza kubaka kwa kuingilia mbususu hata kama haitaki kwa kuwa inaingilika hata isipotaka, ila kibakwa (mbususu) ikitaka kubaka kibakio (Mtalimbo) kama mtalimbo hautaki hautasimama, hivyo mbususu haitaweza kuubaka mtalimbo.

KWISHA
 
rape
verb [ T ]

'to force someone to have sex when he or she is unwilling.'
 
Kwahiyo Lutu aliridhia kutembea na mabinti zake? Haupo serious
 
Tatizo sio wakili cha kwanza! Tatizo ni mwanamke na elimu aliyonayo haijamsadia kujua maana ya neno ubakaji! Light angelikuwa anajua anajua maana ya neno ubakaji asingekuwa anatakiwa maneno yasiyo staha mbele ya public kama hivyo
 
Kwanza atoe maana halisi ya neno UBAKAJI
 
Huyo mpenda kukaa uchi namwalika tuje tukae uchi kutwa nzima kesho tuwaache "kibakio" na "kibakwa" nao waenjoy kidogo.
 
Kwa hiyo tuseme mwanaume habakwi bali anafanyiwa ukatili wa kingono.

Sheria ngumu
 
Mkuu unaweza kufafanua hasa pale kwenye dhana?

Kubaka ni kitendo cha kumwingilia Mwanamke kingono kimabavu pasipo ridhaa yake.
Kubaka ni ile dhana ya kumwingilia mwanamke ambaye hajafikisha miaka 18 lakini inaweza kuwa aliridhia.

Kubaka ni Kumlazimisha mtu kufanya ngono pasipo ridhaa yake. Kwa kuhusisha viungo cha uzazi kama Uke na uume
 
Huyu ni wakili wa chupi kabisa!
Hivi kweli amesoma sheria kabisa?
 
Labda angetutafsiria maana ya kubaka au kubakwa. Maana sie tukisikia kubaka au kubakwa tunaelewa ni kitendo cha mtu kufanyishwa mapenz kwa kulazimishwa bila ridhaa yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…