BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,591
- 8,826
Akizungumza na Waandishi wa Habari leo Julai 12, 2023, Wakili Peter Madeleka amesema watu wengi wanaomchukia hawamwambii ukweli Rais Samia zaidi wanaishia kumsifia hata anapokosea. Amesema Rais Samia anatakiwa kukaa na kutafakari kusudi la Mungu wake kumfanya awe Rais kwasababu hakupigiwa kura na Wananchi bali aliwekwa kwa lengo la kuweka mambo sawa.
Akiongelea kuhusu sakata la Mkataba wa Bandari amesema, Rais ana mambo mawili ya kufanya ili akumbukwe na Watanzania mambo ambayo ni kuwapa Katiba Mpya pamoja na kufuta Mkataba
Pia soma: Mkutano wa Dkt. Slaa, Askofu Mwamakula, Wakili Mwabukusi na Madeleka
Akiongelea kuhusu sakata la Mkataba wa Bandari amesema, Rais ana mambo mawili ya kufanya ili akumbukwe na Watanzania mambo ambayo ni kuwapa Katiba Mpya pamoja na kufuta Mkataba
Pia soma: Mkutano wa Dkt. Slaa, Askofu Mwamakula, Wakili Mwabukusi na Madeleka