passioner255
JF-Expert Member
- Apr 22, 2019
- 6,192
- 11,897
Nyie ni machawa na watu waliohongwa na hiyo kampuni kutetea maslahi yao.Watanzania!!?..inamaana sisi tulioupitisha na kuunga mkono ni warundi!?..by the way huo siyo mkataba,unapinga kitu hukijui