Akizungumza na Waandishi wa Habari leo Julai 12, 2023, Wakili Peter Madeleka amesema watu wengi wanaomchukia hawamwambii ukweli Rais Samia zaidi wanaishia kumsifia hata anapokosea. Amesema Rais Samia anatakiwa kukaa na kutafakari kusudi la Mungu wake kumfanya awe Rais kwasababu hakupigiwa kura na Wananchi bali aliwekwa kwa lengo la kuweka mambo sawa.
Akiongelea kuhusu sakata la Mkataba wa Bandari amesema, Rais ana mambo mawili ya kufanya ili akumbukwe na Watanzania mambo ambayo ni kuwapa Katiba Mpya pamoja na kufuta Mkataba
Bado wanabweka tu!!..tulipoamua DP world aje kuwekeza tulifanya hivyo baada ya tafakuri jadidi,hatutayumbishwa na watu wanaomchukia mwarabu,mkataba tutasaini soon
Bado wanabweka tu!!..tulipoamua DP world aje kuwekeza tulifanya hivyo baada ya tafakuri jadidi,hatutayumbishwa na watu wanaomchukia mwarabu,mkataba tutasaini soon
Bado wanabweka tu!!..tulipoamua DP world aje kuwekeza tulifanya hivyo baada ya tafakuri jadidi,hatutayumbishwa na watu wanaomchukia mwarabu,mkataba tutasaini soon
Acha kuonesha kiwango cha akili yako
Hadharani.watanzania wamekaa huu mkataba na hakuna aliyemkubwa kuliko Tanzania na waliyoonesha kuwa wao ni wakubwa kuliko Tanzania wamepotea.
Acha kuonesha kiwango cha akili yako
Hadharani.watanzania wamekaa huu mkataba na hakuna aliyemkubwa kuliko Tanzania na waliyoonesha kuwa wao ni wakubwa kuliko Tanzania wamepotea.
Bado wanabweka tu!!..tulipoamua DP world aje kuwekeza tulifanya hivyo baada ya tafakuri jadidi,hatutayumbishwa na watu wanaomchukia mwarabu,mkataba tutasaini soon
Bado wanabweka tu!!..tulipoamua DP world aje kuwekeza tulifanya hivyo baada ya tafakuri jadidi,hatutayumbishwa na watu wanaomchukia mwarabu,mkataba tutasaini soon
Bado wanabweka tu!!..tulipoamua DP world aje kuwekeza tulifanya hivyo baada ya tafakuri jadidi,hatutayumbishwa na watu wanaomchukia mwarabu,mkataba tutasaini soon
Akizungumza na Waandishi wa Habari leo Julai 12, 2023, Wakili Peter Madeleka amesema watu wengi wanaomchukia hawamwambii ukweli Rais Samia zaidi wanaishia kumsifia hata anapokosea. Amesema Rais Samia anatakiwa kukaa na kutafakari kusudi la Mungu wake kumfanya awe Rais kwasababu hakupigiwa kura na Wananchi bali aliwekwa kwa lengo la kuweka mambo sawa.
Akiongelea kuhusu sakata la Mkataba wa Bandari amesema, Rais ana mambo mawili ya kufanya ili akumbukwe na Watanzania mambo ambayo ni kuwapa Katiba Mpya pamoja na kufuta Mkataba View attachment 2685806
Akizungumza na Waandishi wa Habari leo Julai 12, 2023, Wakili Peter Madeleka amesema watu wengi wanaomchukia hawamwambii ukweli Rais Samia zaidi wanaishia kumsifia hata anapokosea. Amesema Rais Samia anatakiwa kukaa na kutafakari kusudi la Mungu wake kumfanya awe Rais kwasababu hakupigiwa kura na Wananchi bali aliwekwa kwa lengo la kuweka mambo sawa.
Akiongelea kuhusu sakata la Mkataba wa Bandari amesema, Rais ana mambo mawili ya kufanya ili akumbukwe na Watanzania mambo ambayo ni kuwapa Katiba Mpya pamoja na kufuta Mkataba View attachment 2685806
Hayo mambwa yamehongwa yapindue serikali, huo mkataba unatumika tu km geresha. Walitaka kuanzisha chama wakitumia picha ya Magufuli km mtaji. Kwa ninavyoifahamu nchi yangu na vyombo vyake vya ulinzi na usalama wataishia kubwabwaja tu, hata miaka 100 ijayo hayo malengo yao hayatafanikiwa kamwe. Ngedere tu hao.
Mimi sikubaliani na mkataba na naona bora uvunjwe.
Lakini wakili Peter Madeleka amepotosha kwamba Dubai haiwezi kuingia IGA na Tanzania, kwa sababu si nchi.
Wanasheria wetu hata hawa tunaowaona nguli bado wanapwaya sana.
TLS walikuwa wajanja sana wakakubali kwamba hawana taarifa kamili katika jambo hili na wanahitaji mtu anayeelewa mambo ya Dubai zaidi, that was prudent and truthful.