Wakili Mgongolwa: Katiba inamruhusu Rais kumuongezea muda Jaji Mkuu

Wakili Mgongolwa: Katiba inamruhusu Rais kumuongezea muda Jaji Mkuu

Pascal..hapa wala ishu sio katiba..
Ishu hapa..ni watu kujipanga kumpinga Rais...na wewe kama unawa safisha...au na wewe unajua kitu ambacho Wengi hatukijui??
Mkuu The Boss , kuna vitu vya ajabu ajabu sana vinafanywa na serikali yetu, Bunge letu na Mahakama yetu, mtu ukivisema utaonekana kama una beza!.

Jaji Mkuu ni Jaji Rufani. Rais anayo mamlaka ya kumuongezea muda Jaji Rufani.

Kuna baadhi ya maofisa wanaitwa constitution officers, Rais, Spika, CJ, CAG, Chair wa NEC, Chair wa Tume ya Maadili na Msajili wa Vyama. Katiba imewawekea Bar kuwa wakiishafika umri wa kustaafu, hawaruhusiwi kuteuliwa nafasi zozote za kiutendaji!.

Hivyo japo CJ ni JR, lakini baada ya JR kuwa CJ, anapoteza ile privilege ya kuteuliwa after 65 ile bar inamhusu!.

Hakuna mtu yoyote anayejipanga kumpinga Rais, ila tusiruhusu rais wetu akiuke katiba kwa kisingizio chochote.
P
 
Mkuu The Boss , kuna vitu vya ajabu ajabu sana vinafanywa na serikali yetu, Bunge letu na Mahakama yetu, mtu ukivisema utaonekana kama una beza!.

Jaji Mkuu ni Jaji Rufani. Rais anayo mamlaka ya kumuongezea muda Jaji Rufani.

Kuna baadhi ya maofisa wanaitwa constitution officers, Rais, Spika, CJ, CAG, Chair wa NEC, Chair wa Tume ya Maadili na Msajili wa Vyama. Katiba imewawekea Bar kuwa wakiishafika umri wa kustaafu, hawaruhusiwi kuteuliwa nafasi zozote za kiutendaji!.

Hivyo japo CJ ni JR, lakini baada ya JR kuwa CJ, anapoteza ile privilege ya kuteuliwa after 65 ile bar inamhusu!.

Hakuna mtu yoyote anayejipanga kumpinga Rais, ila tusiruhusu rais wetu akiuke katiba kwa kisingizio chochote.
P
Wale jamaa waliomzuia Salim mwaka 1985 na wakasema JPM only mwaka 2015 nimesikia wanataka mama amalize 2025.. Makamu wake achukue ..
 
Kupitia kipindi cha Power Breakfast kinachorushwa kupitia Clouds FM, Mwanasheria wa kujitegemea Alex Mgongolwa ameeleza kuwa Rais anayo Mamlaka na hajavunja Katiba kwa kumuongezea muda wa kuhudumu Jaji Mkuu wa Tanzania

Msikilize hapa, kisha tujadili nini maoni yako?

Pia soma > Profesa Ibrahim Juma kuendelea kuwa Jaji Mkuu, Rais Samia anavunja Katiba ya JMT?

--
Mwanasheria wa kujitegemea Alex Mgongolwa ambaye amekuja kutuweka sawa kuhusu nafasi na uwezo wa Mhe Rais katika kumuongezea muda Jaji Mkuu, ikiwa ni baada ya sintofahamu iliyoibuka ikihoji kuhusu kupitiliza kwa muda wa utumishi wa Jaji Mkuu! Katiba inasemaje!?


Mpuuzi huyu, kwani bunge lilishindwa nini kutamka kabisa kuwa Jaji Mkuu! Kuna tofauti kati ya JaJi Rufani na Jaji Mkuu! Walimaanisha Jaji Rufani ambaye hana cheo cha Jaji Mkuu
 
Nimeamua nisome Sheria ili nijisimamie mwenyewe ktk mambo yangu.

Wakili kama huyu si napogwa tu hela zangu.

Sisi wasoma biblia tumeelewa, yaan yeye hajaelewa tofauti ya CJ na JR
 
But head wa Ile Taasisi nimeambiwa anataka Mpango only...
Japo the determinant ya who's next ni wale 'jamaa zetu', baada ya JPM lesson na ujio wa Mama, hatuwezi kuwaachia watuamulie without giving solid reasons. Its It's true Dr. Mpango is a good candidate kwa sababu ni kutoka 'Kurasini', ikiwa ni zamu ya upande ule, then ni lazima atoke 'Kurasini', ila he is too humble and too soft!.
P
 
Japo the determinant ya who's next ni wale 'jamaa zetu', baada ya JPM lesson na ujio wa Mama, hatuwezi kuwaachia watuamulie without giving solid reasons. Its It's true Dr. Mpango is a good candidate kwa sababu ni kutoka 'Kurasini', ikiwa ni zamu ya upande ule, then ni lazima atoke 'Kurasini', ila he is too humble and too soft!.
P
Hii Rumours ya January kujaribu kuhamia "kurasin" ili apate umeisikia ?
Ina ukweli??
 
Back
Top Bottom