Gulio Tanzania
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,325
- 7,807
Hivi watu wangine huwa mnafikiria kupitia matako unashindwa kujibu hoja kila kitu udini tuWagalatia ndio wameanzisha izo chokochoko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi watu wangine huwa mnafikiria kupitia matako unashindwa kujibu hoja kila kitu udini tuWagalatia ndio wameanzisha izo chokochoko
Lete kifungu sio porojo tuJapo mimi ni wakili, ila mimi sio wakili msomi, mimi ni wakili mtangazaji.
Katiba yetu iko wazi kabisa kwa teuzi zote za rais, akiletewa majina, akaona wote hawatoshi, ana mamlaka ya kumuongezea muda aliyepo kisha kutafuta wa kutosha. Hili limekuwa likifanyika siku zote na hakuna tatizo lolote!.
P
Jaji mkuu sio Jaji wa mahakama ya rufaa?Ila sio Jaji Mkuu acha kugeneralize
Mbona alizidisha Siku kibao? Katiba ilimruhusu kifanya hivyo.Hahahaaaaa. Nikumbushe tafadhari.
Jamaa ni wadini sana wale wangebweka balaa!Angekuwa ni mwendazake ndie kafanya hivi tungeanza kumsikia Zitto, akifuatiwa na Fatuma Karume na yule dada mdini na hata Mbeligiji tungewasikia wakitoa povu kama loote. Watz tu wanafiki sana! RIP jembe Magu
Sijui kwanini hili limekuwa controversial... mbona hizi power anazo muda mrefu tu. Labda kama hajafanya kama katiba inavyomtaka.Japo mimi ni wakili, ila mimi sio wakili msomi, mimi ni wakili mtangazaji.
Katiba yetu iko wazi kabisa kwa teuzi zote za rais, akiletewa majina, akaona wote hawatoshi, ana mamlaka ya kumuongezea muda aliyepo kisha kutafuta wa kutosha. Hili limekuwa likifanyika siku zote na hakuna tatizo lolote!.
P
Hama nchi kkenge ww, ppengo ndo anawawezesha mmbwa nyie mtukane serikaliHivi watu wangine huwa mnafikiria kupitia matako unashindwa kujibu hoja kila kitu udini tu
Pasco uwe unafanya research kabla ya kuandika unajua kuna watu wengine wanarely sana kwako.Usije ukawalisha matango poriJapo mimi ni wakili, ila mimi sio wakili msomi, mimi ni wakili mtangazaji.
Katiba yetu iko wazi kabisa kwa teuzi zote za rais, akiletewa majina, akaona wote hawatoshi, ana mamlaka ya kumuongezea muda aliyepo kisha kutafuta wa kutosha. Hili limekuwa likifanyika siku zote na hakuna tatizo lolote!.
P
Atakukimbia najua tuWapi wamesema ISIPOKUWA JAJI MKUU? unacho hiko kifungu ambacho kinasema JAJI MKUU HARUHUSIWI KUONGEZEWA MUDA?
Hata na sisi wa huku Ulemo maisha yanaenda tu !!Rais ana mamlaka makubwa sana hata akiamua kujiongezea muda wake hakuna wa kupinga tutaishia kulalamika tu na hatuna cha kumfanya.
Jaji kuongezewa muda au kutokuongezewa sisi huku kwetu misigiri maisha ni yaleyale tu.
Bear in mind URais ni Taasisi !! Tena ni Taasisi kubwa Kweli Kweli iliyosheheni wabobezi wa fani zote zinazohitajika kumfanya Mkuu afanye maamuzi yasiyo ya kukurupuka !!So Rais anaijua vyema katiba ya Nchi hii kuliko wanasheria wenyewe? Kuna wapumbavu na vyeo vyao wanafanya ubumbavu kuliko ule upambavu aliyofanyiwa kwa imani ya ki kristu na Yuda .
Jaji mkuu sio Jaji wa mahakama ya rufaa?
ibara ya 120 inaongelea jaji wa mahakama ya rufaa (sio jaji wa mahakama kuu). CJ ni jaji wa mahakama ya rufaa na hata sasa anakaa kwenye jopo la majaji watatu wa mahakama ya rufaa kuamua kesi za rufaa. Kuna vitu viwili, cheo cha jaji wa mahakama ya rufaa na cheo cha CJ. kawaida CJ Ni jaji wa mahakam ya rufaa sawa tu na wezake ila yeye anacho cheo kingine cha ziada ambacho pia ni cha kikatiba, cheo cha CJ. kumbuka kwamba, sio majaji wote wa mahakama ya rufaa ni maCJ, cj ni mmoja tu anayeteuliwa miongoni mwa majaji wa mahakama ya rufaa. ibada ya 118 inaleta ukomo wa cheo cha CJ that means akitaka kuendelea kuongezewa muda hataongezewa muda wa UCJ kwasababu katiba haijatoa huo mwanya, bali ataongezewa muda wa kuendelea na cheo kile kingine cha jaji wa mahakama ya rufaa ambacho ibara ya 120 inaruhusu kuongezewa muda.ila hapa msomi kajielekeza vibaya, ibara nukuliwa inazungumzia jaji wa mahakama ya rufaa, na sio jaji mkuu. kumbuka Profesa Juma ana nafasi mbili; yaani ni Jaji wa Mahakama ya Rufaa na Jaji Mkuu. Katiba imeweka ukomo wa Jaji Mkuu, na Umeacha upenyo wa Jaji wa Mahakama ya Rufaa,
hivyo Rais kwa Mujibu wa Katiba ibara 120 (3) imempa mamlaka ya kuongeza muda wa jaji wa mahakama ya rufaa, na si jaji wa mahakama kuu.
kwa hiyo Rais anawajibika kuteua Jaji Mkuu, kwa mjibu wa katiba na endapo anaitaji huduma ya Profesa Juma kama Jaji wa Mahakama ya Rufaa, basi anaweza kumwongezea Muda wa kuhudumu katika nafasi hiyo na si kama jaji muda
umeongea vizuri. waziri ni mbunge ila sio mbunge ni waziri. waziri ambaye ni mbunge uwaziri wake ukitenguliwa anarudi kwenye cheo chake cha kawaida kama mbunge. mbona rahisi sana kuelewa ila watu wanataka kujustify.Hivyo ni vyeo viwili tofauti hata mishahara na marupurupu na instrumental zao za kazi ni tofauti.
Mbona Waziri Mkuu au Mawaziri wote ni wabunge ila vyeo vyao ni tofauti
Mayala mkuu kashakwambia ni ka utamaduni tu hakuna kifungu chochote cha sheria alichofafanua kinachompa mamlaka raisi kumwongezea mda jaji mkuu kwa hiyo na yeye yupo njia panda kumbuka mayala amekwambia ni wakili mtangazaji [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwa hiyo alichokiandika Mh Jaji ni sahihi au sio sahihi?
Naomba unisaidie kama hutajali.....natanguliza shukrani.
Ndio ni taasisi kubwa ,nakubali ila sasa kikowapi, inakubali limkataba la ajabu namna hii, that's pia watu wanashangaaBear in mind URais ni Taasisi !! Tena ni Taasisi kubwa Kweli Kweli iliyosheheni wabobezi wa fani zote zinazohitajika kumfanya Mkuu afanye maamuzi yasiyo ya kukurupuka !!
Watu wengi hujifanya wanajua kuliko wanavyojua ndio maana kelele nyingi huwa zinapigwa lakini baada ya muda mfupi utasikia kimyaaaa !!
Mkuu ras jeff kapita , kwa mujibu wa katiba ya JMT, rais wa JMT ni an executive president, anaruhusiwa kushauriwa lakini kwenye kufikia maamuzi, anafikia maamuzi yeye kama yeye, bila kuwajibika kufuata ushauri wa yeyote!.Pasco uwe unafanya research kabla ya kuandika unajua kuna watu wengine wanarely sana kwako.Usije ukawalisha matango pori
Yes mimi ni Wakili Mtangazaji, na sio Wakili Msomi!. Fani yangu rasmi ni mtangazaji, nikasoma LL.B nikiwa mtangazaji, nikahitimu LL.B with honors from UDSM nikiwa mtangazaji, na baada ya kuhitimu, nimeendelea na utangazaji, nimepata uwakili nikiwa mtangazaji, sasa ni wakili na bado ni mtangazaji.Wakili Mtangazaji,kweli?
Wewe ni Mwanasheria mbobezi hutakiwi kujibu mambo kijumla jumla, namna hii, chambua vifungu na facts kupingana na hoja za mh.jaji Mugasha.kwanza kabisa suala la muda wa Jaji Mkuu kustaafu halikwepo kwenye katiba kipindi cha nyuma enzi za Mh.Jaji Francis Nyalali aliyehudumu kwa miongo, na pindi alipofikisha miaka 65 kulitokea mjadala na hata yeye alikiri hakuna mahali pameandikwa masharti ya Jaji Mkuu kustaafu.baada ya lacuna hiyo kwenye katiba na kuthibitika ni kweli, ndio haraka muswada ukapelekwa ili kutambua umri wa kustaafu kuwa ni umri wa jaji wa rufaa.katika ibara ya 118 yote zaidi ya hilo sharti hakuna kipengele mahususi kuhusu kuongezewa muda kama Jaji mkuu.vipengele vyote vingine vinataja kuhusu jaji wa rufaa na jaji wa mahakama kuu kuongezewa muda.hivyo basi kama andiko la jaji mugasha lilivyoeleza ,kwakuwa specifically ibara husika haijataja mahususi kuhusu jaji Mkuu, inamaanisha watunga sheria walikuwa na maana husika,otherwise ujaji mkuu ungekoma halafu aendelee kama jaji rufaa.so kuna lacuna kwenye hili.lakini kwakuwa ni maamuzi ya mh.rais yabidi yaheshimiwe na hayawezi tenguliwa,ila tu ni challenge wamepewa wanasheria kuchangamsha akili kuja na rival submissions ili kujiongezea uwelewa, na ndio raha ya sheria, kila mtu anapambana upande wake anaoona upo sahihi ukubalike👍😂Japo mimi ni wakili, ila mimi sio wakili msomi, mimi ni wakili mtangazaji.
Katiba yetu iko wazi kabisa kwa teuzi zote za rais, akiletewa majina, akaona wote hawatoshi, ana mamlaka ya kumuongezea muda aliyepo kisha kutafuta wa kutosha. Hili limekuwa likifanyika siku zote na hakuna tatizo lolote!.
P
Kupitia kipindi cha Power Breakfast kinachorushwa kupitia Clouds FM, Mwanasheria wa kujitegemea Alex Mgongolwa ameeleza kuwa Rais anayo Mamlaka na hajavunja Katiba kwa kumuongezea muda wa kuhudumu Jaji Mkuu wa Tanzania
Msikilize hapa, kisha tujadili nini maoni yako?
Pia soma > Profesa Ibrahim Juma kuendelea kuwa Jaji Mkuu, Rais Samia anavunja Katiba ya JMT?
--
Mwanasheria wa kujitegemea Alex Mgongolwa ambaye amekuja kutuweka sawa kuhusu nafasi na uwezo wa Mhe Rais katika kumuongezea muda Jaji Mkuu, ikiwa ni baada ya sintofahamu iliyoibuka ikihoji kuhusu kupitiliza kwa muda wa utumishi wa Jaji Mkuu! Katiba inasemaje!?