Wakili Mgongolwa: Katiba inamruhusu Rais kumuongezea muda Jaji Mkuu

Wakili Mgongolwa: Katiba inamruhusu Rais kumuongezea muda Jaji Mkuu

Huo ni uteuzi wa Jaji wa Mahakama ya Rufani (JR), siyo uteuzi wa Jaji Mkuu (CJ). Usichanganye haya mambo mawili kwani JR na CJ ni vitu viwili tofauti.

Rejea kusoma tena vizuri na kwa kina barua ya Jaji Mugasha, barua ya AG aliyonukuu Jaji Mugasha, Katiba ya nchi pamoja na Sheria, Kanuni na Miongozo mbalimbali inayohusika na suala hili. Usikurupuke.
"No research no right to speak".
Awamu ya tano ndiyo iliyosimika upuuzi huo wa kutengeneza watu maarufu wa kutetea upuuzi wa watawala. Mifano michache inafaa. Uteuzi wa Katibu wa Bunge ulipolalamikiwa kuwa unavunja sheria Mzee Msekwa alikwenda kuchukuliwa kuja kutetea kuwa sheria haijavunjwa kwa kutumia uzoefu wa kipindi chake cha Uspika! Makanisa yalipokosoa mwenendo wa uongozi wa nchi, msomi mmoja mhadhiri wa chuo kikuu alitumika kuandika barua ya kujibu na kukosoa mamlaka ya kanisa lake kwa kitendo hicho.
 
Kupitia kipindi cha Power Breakfast kinachorushwa kupitia Clouds FM, Mwanasheria wa kujitegemea Alex Mgongolwa ameeleza kuwa Rais anayo Mamlaka na hajavunja Katiba kwa kumuongezea muda wa kuhudumu Jaji Mkuu wa Tanzania

Msikilize hapa, kisha tujadili nini maoni yako?

Pia soma > Profesa Ibrahim Juma kuendelea kuwa Jaji Mkuu, Rais Samia anavunja Katiba ya JMT?

--
Mwanasheria wa kujitegemea Alex Mgongolwa ambaye amekuja kutuweka sawa kuhusu nafasi na uwezo wa Mhe Rais katika kumuongezea muda Jaji Mkuu, ikiwa ni baada ya sintofahamu iliyoibuka ikihoji kuhusu kupitiliza kwa muda wa utumishi wa Jaji Mkuu! Katiba inasemaje!?


Mgongolwa ni mlamba matako wa CCM, hawezi kusema kitu chochote cha tofauti na hiki.
 
Kuna msemo UNASEMA HIVI" Mchungaji akisema NG'OMBE kafia machungani, ATAKUWA kafa kweli".jaji mugasha ni mchungaji na katiba ni..........
 
Huyu wakili anabembeleza teuzi, ndiye aliwadanganya yanga watashinda kesi dhidi ya Morison CAS lakini wakaangukia pua.
Aendelee hukohuko TFF lakini akija mahakamani atabwagwa vibaya.
Tatizo Mawakili wakiishasikia zimwi limeingia nchini basi hata Mawakili uchwara wanatafuta kiki humo humo.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Kwa Sisi tuliokimbia shule tumeelewa hivi ,huyu jaji atakaa ofisini lakini majukumu yake yameshapita kifupi Hana kazi za kufanya ,utashi wake umwambie hivi Mimi nitamwapisha Nani wakati sina kazi!!!Tafsiri ya haraka ilikuondoa mgongano wa muhimili wake ni vizuri aondoke Kwa busara ,ibara zote zina mkataa angalia haya maneno(ATALAZIMIKA) Mzee Juma achia ngazi ukalee wajukuu
Kwahiyo viongozi wote ataowaapisha kuanzia sasa ni viongozi batili siyo?

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Kupitia kipindi cha Power Breakfast kinachorushwa kupitia Clouds FM, Mwanasheria wa kujitegemea Alex Mgongolwa ameeleza kuwa Rais anayo Mamlaka na hajavunja Katiba kwa kumuongezea muda wa kuhudumu Jaji Mkuu wa Tanzania

Msikilize hapa, kisha tujadili nini maoni yako?

Pia soma > Profesa Ibrahim Juma kuendelea kuwa Jaji Mkuu, Rais Samia anavunja Katiba ya JMT?

--
Mwanasheria wa kujitegemea Alex Mgongolwa ambaye amekuja kutuweka sawa kuhusu nafasi na uwezo wa Mhe Rais katika kumuongezea muda Jaji Mkuu, ikiwa ni baada ya sintofahamu iliyoibuka ikihoji kuhusu kupitiliza kwa muda wa utumishi wa Jaji Mkuu! Katiba inasemaje!?


Katiba inasema "...Jaji wa mahakama ya rufani aliyetimiza umri wa miaka 65.....".

Hapa katiba haisemi "......Jaji mkuu aliyetimiza umri wa miaka 65...". Na tumbukeni kuwa "u - Jaji mkuu" ni cheo cha madaraka.!!

NB:
Ni kweli Prof. Ibrahim Juma ni Jaji wa mahakama ya rufani lakini alikuwa na madaraka ya "u - Jaji Mkuu wa Tanzania"...

Kwa hili katiba iko very clear, yaani anapaswa kustaafu na kuacha madaraka ya "ujaji mkuu" with immediate effect ili mwingine ashike madaraka hayo...

Baada ya hapo kama Rais anataka, kumwongezea muda zaidi ili aendelee kuwa "Jaji wa mahakama ya rufani " tu, anaweza kufanya hivyo!!
 
Katiba inasema "...Jaji wa mahakama ya rufani aliyetimiza umri wa miaka 65.....".

Hapa katiba haisemi "......Jaji mkuu aliyetimiza umri wa miaka 65...". Na tumbukeni kuwa "u - Jaji mkuu" ni cheo cha madaraka.!!

NB:
Ni kweli Prof. Ibrahim Juma ni Jaji wa mahakama ya rufani lakini alikuwa na madaraka ya "u - Jaji Mkuu wa Tanzania"...

Kwa hili katiba iko very clear, yaani anapaswa kustaafu na kuacha madaraka ya "ujaji mkuu" with immediate effect ili mwingine ashike madaraka hayo...

Baada ya hapo kama Rais anataka, kumwongezea muda zaidi ili aendelee kuwa "Jaji wa mahakama ya rufani " tu, anaweza kufanya hivyo!!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Kwahiyo kuendelea kuwa JAJI anaruhusiwa ila KUWA JAJI MKUU HARUHUSIWI KISA UMRI?
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Kwahiyo kuendelea kuwa JAJI anaruhusiwa ila KUWA JAJI MKUU HARUHUSIWI KISA UMRI?
Absolutely, Yes..

Sio mimi. Ila katiba ndo inasema hivyo

By the way, hivi mtu umefikisha umri wa miaka 65 bado unang'ang'ana na purukushani za kwenye maifisi, ya nini hayo yote?

Kwani asipumzike na kulea wajukuu? Ina maana katika majaji wote tulio nao Tanzania, hakuna anayefaa uwa Jaji Mkuu iipokuwa Prof. Ibrahim Juma pekee??

Na hivi huyu ni Mzanzibari au Mtanganyika.??
 
Kupitia kipindi cha Power Breakfast kinachorushwa kupitia Clouds FM, Mwanasheria wa kujitegemea Alex Mgongolwa ameeleza kuwa Rais anayo Mamlaka na hajavunja Katiba kwa kumuongezea muda wa kuhudumu Jaji Mkuu wa Tanzania

Msikilize hapa, kisha tujadili nini maoni yako?

Pia soma > Profesa Ibrahim Juma kuendelea kuwa Jaji Mkuu, Rais Samia anavunja Katiba ya JMT?

--
Mwanasheria wa kujitegemea Alex Mgongolwa ambaye amekuja kutuweka sawa kuhusu nafasi na uwezo wa Mhe Rais katika kumuongezea muda Jaji Mkuu, ikiwa ni baada ya sintofahamu iliyoibuka ikihoji kuhusu kupitiliza kwa muda wa utumishi wa Jaji Mkuu! Katiba inasemaje!?

Ccm irekebishe katiba ili RAIS ARUHUSIWE KUJIONGEA MUDA
 
Back
Top Bottom