Wakili Mgongolwa: Katiba inamruhusu Rais kumuongezea muda Jaji Mkuu

Wakili Mgongolwa: Katiba inamruhusu Rais kumuongezea muda Jaji Mkuu

ila hapa msomi kajielekeza vibaya, ibara nukuliwa inazungumzia jaji wa mahakama ya rufaa, na sio jaji mkuu. kumbuka Profesa Juma ana nafasi mbili; yaani ni Jaji wa Mahakama ya Rufaa na Jaji Mkuu. Katiba imeweka ukomo wa Jaji Mkuu, na Umeacha upenyo wa Jaji wa Mahakama ya Rufaa,

hivyo Rais kwa Mujibu wa Katiba ibara 120 (3) imempa mamlaka ya kuongeza muda wa jaji wa mahakama ya rufaa, na si jaji wa mahakama kuu.

kwa hiyo Rais anawajibika kuteua Jaji Mkuu, kwa mjibu wa katiba na endapo anaitaji huduma ya Profesa Juma kama Jaji wa Mahakama ya Rufaa, basi anaweza kumwongezea Muda wa kuhudumu katika nafasi hiyo na si kama jaji muda
Uko sahihi, afadhali kidogo wewe umejishughulisha ktk kusumbua akili yako na kutafiti kidogo juu ya suala hili.
Wakili Mgongolwa AMEPOTOKA kuhusu suala hili, na bado anataka kuwapotosha watu wengine kuhusu upotofu wake.
 
Japo mimi ni wakili, ila mimi sio wakili msomi, mimi ni wakili mtangazaji.

Katiba yetu iko wazi kabisa kwa teuzi zote za rais, akiletewa majina, akaona wote hawatoshi, ana mamlaka ya kumuongezea muda aliyepo kisha kutafuta wa kutosha. Hili limekuwa likifanyika siku zote na hakuna tatizo lolote!.
P
Wakili Mtangazaji,kweli?
 
Japo mimi ni wakili, ila mimi sio wakili msomi, mimi ni wakili mtangazaji.

Katiba yetu iko wazi kabisa kwa teuzi zote za rais, akiletewa majina, akaona wote hawatoshi, ana mamlaka ya kumuongezea muda aliyepo kisha kutafuta wa kutosha. Hili limekuwa likifanyika siku zote na hakuna tatizo lolote!.
P
Noted.
 
Japo mimi ni wakili, ila mimi sio wakili msomi, mimi ni wakili mtangazaji.

Katiba yetu iko wazi kabisa kwa teuzi zote za rais, akiletewa majina, akaona wote hawatoshi, ana mamlaka ya kumuongezea muda aliyepo kisha kutafuta wa kutosha. Hili limekuwa likifanyika siku zote na hakuna tatizo lolote!.
P
[emoji2956]
 
wabishane mawakili na majaji sababu ni fani zenu.mara zote huwa nasema shida ya masomo ya art huwa hayana uhalisia kama hesabu ndo maana kuna kona kona nyingi.ingekuwa hesabu tungeenda na facts.
Pamoja na umuhimu wa hesabu ze ye FACTS ila maisha ya mwanadamu hayakomei tu kuhitaji HESABU......
 
Naamini alikuwa hajasoma wasilisho la Jaji.Jaji amechambua na kutoa hata historia na jinsi ambavyo MaJaji wakuu wengine ilibidi watii.
Tena Jaji kafanya utafiti wa Katiba kwa miaka 28, yeye Mgongolwa kafanya utafiti wa dkk ngapi? No research No right to speak.

Perception ya jamii ni kuwa Majaji ni wafawidhi (senior) kwa Mawakili.

Sitaki kuamini kuwa Jaji analilia mwanamke kuteuliwa CJ given magnetism ya rais kwa wanawake.

Sitaki kuamini kuwa Mgongolwa amenunuliwa na system kuachilia matapishi aliyoachilia.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Kupitia kipindi cha Power Breakfast kinachorushwa kupitia Clouds FM, Mwanasheria wa kujitegemea Alex Mgongolwa ameeleza kuwa Rais anayo Mamlaka na hajavunja Katiba kwa kumuongezea muda wa kuhudumu Jaji Mkuu wa Tanzania

Msikilize hapa, kisha tujadili nini maoni yako?

Pia soma > Profesa Ibrahim Juma kuendelea kuwa Jaji Mkuu, Rais Samia anavunja Katiba ya JMT?

--
Mwanasheria wa kujitegemea Alex Mgongolwa ambaye amekuja kutuweka sawa kuhusu nafasi na uwezo wa Mhe Rais katika kumuongezea muda Jaji Mkuu, ikiwa ni baada ya sintofahamu iliyoibuka ikihoji kuhusu kupitiliza kwa muda wa utumishi wa Jaji Mkuu! Katiba inasemaje!?


So Rais anaijua vyema katiba ya Nchi hii kuliko wanasheria wenyewe? Kuna wapumbavu na vyeo vyao wanafanya ubumbavu kuliko ule upambavu aliyofanyiwa kwa imani ya ki kristu na Yuda .
 
Kwa Sisi tuliokimbia shule tumeelewa hivi ,huyu jaji atakaa ofisini lakini majukumu yake yameshapita kifupi Hana kazi za kufanya ,utashi wake umwambie hivi Mimi nitamwapisha Nani wakati sina kazi!!!Tafsiri ya haraka ilikuondoa mgongano wa muhimili wake ni vizuri aondoke Kwa busara ,ibara zote zina mkataa angalia haya maneno(ATALAZIMIKA) Mzee Juma achia ngazi ukalee wajukuu
 
Back
Top Bottom