Steven Joel Ntamusano
JF-Expert Member
- Jun 17, 2023
- 5,203
- 3,913
Wakili mkuu wa serikali - Ali Possi.Halafu wakili mkuu ni nani?
Sawa. Unaweza kutusaidia kujua ni kwa nini wakili mkuu ametenguliwa?Wakili mkuu wa serikali - Ali Possi.
Mwanasheria Mkuu wa serikali - Hamza Johari.
Tuondokane na zile mentality kwamba AG anaenda moja kwa moja mahakamani, hiyo ni kazi ya Possi.
AG ni mshauri wa rais masuala yote ya sheria. Msiba wa Rais hautangazwi kwanza bila ya AG kushauriana na makamu pamoja na waziri mkuu.
Hilo swali ni la SSH mwenyewe.Sawa. Unaweza kutusaidia kujua ni kwa nini wakili mkuu ametenguliwa?
Huyu Yesu Anakuja kumbe ni shetani anakuja. Anatetea mediocrityNimesoma mtiririko wa hoja zako kuanzia mwanzo, ulipofika hapa nikajua kabisa wewe si mwanasheria, na kama u mwanasheria, basi ni kanjanja tu.
Umetaka hoja, umepewa, umekimbilia habari za Mungu. Hopeless kabisa!
Hawa mawakili wa serekali mi kama mapolisi barabarani, wao wakiendesha magari yao barabarani Bila kufuata Sheria za barabarani, hakuna shida. Karibu wewe uone utadhani Sheria zile zimeweka category ya mapolisi na wasio-mapolisi!!!!.... Nchi yetu viongozi kuvunja katiba au Sheria siyo tatizoNamnukuu Wakili Peter Madeleka kutoka mtandao X, anasema
"Ili mtu awe na SIFA za kuwa WAKILI MKUU WA SERIKALI, anatakiwa kuwa na UZOEFU wa KUENDESHA KESI MAHAKAMANI KWA MIAKA 15. Angalia AMRI namba 5(3) hapo 👇. Dr. BONIPHACE LUHENDE alisajiliwa kuwa WAKILI tarehe 6 DISEMBA 2013. Mwaka 2028 ndiyo ANGEKUWA na SIFA za kuwa WAKILI MKUU."
Soma hapa wewe Kihiyo:
View attachment 2942849
Hii ni aibu kwa Serikali ya Rais Samia na ni aibu pia kwa Mhimili wa Mahakama kuacha mtu asiye na sifa aingie Mahakamani na kujiita Wakili📌🔨View attachment 2942815
Mtandao wa e-Wakili ukiingiza namba 4002 utakurudishia jina la Dr Boniface Luhende. Utakuambia pia kuwa haruhusiwi kusimama Mahakamani.
Hii ni aibu kwa Serikali ya Rais Samia na ni aibu pia kwa Mhimili wa Mahakama kuacha mtu asiye na sifa aingie Mahakamani na kujiita Wakili
No wonder nchi hii tunashindwa kesi zote tukiende kwenye Mahakama za Kimataifa kama ICSID.
Kwani Paschal ana sifa?Duh
Pascal Mayalla ufafanuzi tafadhali
Serikali huwa inafanya mambo ya hovyo mengi snHii ni aibu kwa Serikali ya Rais Samia na ni aibu pia kwa Mhimili wa Mahakama kuacha mtu asiye na sifa aingie Mahakamani na kujiita Wakili📌🔨
Kwani maza naye ni msukuma?Sifa yake kubwa wakati wa kuteuliwa ni jina 'Luhende'
Pascal Mayalla ni wakili msomiKwani Paschal ana sifa?
Hujui usemacho!!!View attachment 2942815
Mtandao wa e-Wakili ukiingiza namba 4002 utakurudishia jina la Dr Boniface Luhende. Utakuambia pia kuwa haruhusiwi kusimama Mahakamani.
Hii ni aibu kwa Serikali ya Rais Samia na ni aibu pia kwa Mhimili wa Mahakama kuacha mtu asiye na sifa aingie Mahakamani na kujiita Wakili
No wonder nchi hii tunashindwa kesi zote tukiende kwenye Mahakama za Kimataifa kama ICSID.
Amewahi kushinda kesi gani?Pascal Mayalla ni wakili msomi
Ya Ugaidi wa Mwamba 😄Amewahi kushinda kesi gani?
Nadhani tatizo ni wewe huelewi tofauti ya wakili wa serikali na wa kujitegemea, uwe unaomba upewe elimu siyo kuleta ujuaji kwa vitu ambavyo huvijuiView attachment 2942815
Mtandao wa e-Wakili ukiingiza namba 4002 utakurudishia jina la Dr Boniface Luhende. Utakuambia pia kuwa haruhusiwi kusimama Mahakamani.
Hii ni aibu kwa Serikali ya Rais Samia na ni aibu pia kwa Mhimili wa Mahakama kuacha mtu asiye na sifa aingie Mahakamani na kujiita Wakili
No wonder nchi hii tunashindwa kesi zote tukiende kwenye Mahakama za Kimataifa kama ICSID.
Yeye mwenyewe hawezi kujiwakilishaYa Ugaidi wa Mwamba 😄
Aliteuliwa wakati wa jiwe, maza anawadonyoa mdogo mdogoKwani maza naye ni msukuma?
Halafu mbona ni kama U18View attachment 2942815
Mtandao wa e-Wakili ukiingiza namba 4002 utakurudishia jina la Dr Boniface Luhende. Utakuambia pia kuwa haruhusiwi kusimama Mahakamani.
Hii ni aibu kwa Serikali ya Rais Samia na ni aibu pia kwa Mhimili wa Mahakama kuacha mtu asiye na sifa aingie Mahakamani na kujiita Wakili
No wonder nchi hii tunashindwa kesi zote tukiende kwenye Mahakama za Kimataifa kama ICSID.
Siyo kweli maza ndiyo alimteua 2022, Bonifasi namfahamu vizuri sn wakati yupo F6 sisi tupo F1 alikuwa teacher wetu wa momboAliteuliwa wakati wa jiwe, maza anawadonyoa mdogo mdogo