Wakili Mkuu wa Serikali Boniface Luhende Hana Sifa ya Kusimama Mahakamani

Wakili Mkuu wa Serikali Boniface Luhende Hana Sifa ya Kusimama Mahakamani

Halafu wakili mkuu ni nani?
Wakili mkuu wa serikali - Ali Possi.

Mwanasheria Mkuu wa serikali - Hamza Johari.

Tuondokane na zile mentality kwamba AG anaenda moja kwa moja mahakamani, hiyo ni kazi ya Possi.

AG ni mshauri wa rais masuala yote ya sheria. Msiba wa Rais hautangazwi kwanza bila ya AG kushauriana na makamu pamoja na waziri mkuu.
 
Wakili mkuu wa serikali - Ali Possi.

Mwanasheria Mkuu wa serikali - Hamza Johari.

Tuondokane na zile mentality kwamba AG anaenda moja kwa moja mahakamani, hiyo ni kazi ya Possi.

AG ni mshauri wa rais masuala yote ya sheria. Msiba wa Rais hautangazwi kwanza bila ya AG kushauriana na makamu pamoja na waziri mkuu.
Sawa. Unaweza kutusaidia kujua ni kwa nini wakili mkuu ametenguliwa?
 
Nimesoma mtiririko wa hoja zako kuanzia mwanzo, ulipofika hapa nikajua kabisa wewe si mwanasheria, na kama u mwanasheria, basi ni kanjanja tu.
Umetaka hoja, umepewa, umekimbilia habari za Mungu. Hopeless kabisa!
Huyu Yesu Anakuja kumbe ni shetani anakuja. Anatetea mediocrity
 
Namnukuu Wakili Peter Madeleka kutoka mtandao X, anasema

"Ili mtu awe na SIFA za kuwa WAKILI MKUU WA SERIKALI, anatakiwa kuwa na UZOEFU wa KUENDESHA KESI MAHAKAMANI KWA MIAKA 15. Angalia AMRI namba 5(3) hapo 👇. Dr. BONIPHACE LUHENDE alisajiliwa kuwa WAKILI tarehe 6 DISEMBA 2013. Mwaka 2028 ndiyo ANGEKUWA na SIFA za kuwa WAKILI MKUU."

Soma hapa wewe Kihiyo:
View attachment 2942849
Hawa mawakili wa serekali mi kama mapolisi barabarani, wao wakiendesha magari yao barabarani Bila kufuata Sheria za barabarani, hakuna shida. Karibu wewe uone utadhani Sheria zile zimeweka category ya mapolisi na wasio-mapolisi!!!!.... Nchi yetu viongozi kuvunja katiba au Sheria siyo tatizo
 
View attachment 2942815
Mtandao wa e-Wakili ukiingiza namba 4002 utakurudishia jina la Dr Boniface Luhende. Utakuambia pia kuwa haruhusiwi kusimama Mahakamani.

Hii ni aibu kwa Serikali ya Rais Samia na ni aibu pia kwa Mhimili wa Mahakama kuacha mtu asiye na sifa aingie Mahakamani na kujiita Wakili

No wonder nchi hii tunashindwa kesi zote tukiende kwenye Mahakama za Kimataifa kama ICSID.
Hii ni aibu kwa Serikali ya Rais Samia na ni aibu pia kwa Mhimili wa Mahakama kuacha mtu asiye na sifa aingie Mahakamani na kujiita Wakili📌🔨
 
View attachment 2942815
Mtandao wa e-Wakili ukiingiza namba 4002 utakurudishia jina la Dr Boniface Luhende. Utakuambia pia kuwa haruhusiwi kusimama Mahakamani.

Hii ni aibu kwa Serikali ya Rais Samia na ni aibu pia kwa Mhimili wa Mahakama kuacha mtu asiye na sifa aingie Mahakamani na kujiita Wakili

No wonder nchi hii tunashindwa kesi zote tukiende kwenye Mahakama za Kimataifa kama ICSID.
Hujui usemacho!!!
 
View attachment 2942815
Mtandao wa e-Wakili ukiingiza namba 4002 utakurudishia jina la Dr Boniface Luhende. Utakuambia pia kuwa haruhusiwi kusimama Mahakamani.

Hii ni aibu kwa Serikali ya Rais Samia na ni aibu pia kwa Mhimili wa Mahakama kuacha mtu asiye na sifa aingie Mahakamani na kujiita Wakili

No wonder nchi hii tunashindwa kesi zote tukiende kwenye Mahakama za Kimataifa kama ICSID.
Nadhani tatizo ni wewe huelewi tofauti ya wakili wa serikali na wa kujitegemea, uwe unaomba upewe elimu siyo kuleta ujuaji kwa vitu ambavyo huvijui
 
View attachment 2942815
Mtandao wa e-Wakili ukiingiza namba 4002 utakurudishia jina la Dr Boniface Luhende. Utakuambia pia kuwa haruhusiwi kusimama Mahakamani.

Hii ni aibu kwa Serikali ya Rais Samia na ni aibu pia kwa Mhimili wa Mahakama kuacha mtu asiye na sifa aingie Mahakamani na kujiita Wakili

No wonder nchi hii tunashindwa kesi zote tukiende kwenye Mahakama za Kimataifa kama ICSID.
Halafu mbona ni kama U18
 
Back
Top Bottom