TANZIA Wakili msomi Judith Mushumbusi hatunae tena

TANZIA Wakili msomi Judith Mushumbusi hatunae tena

Unless otherwise alikuwa na tatizo jingine,kwa age yake hiyo,sidhani kama amekufa kwa Korona!
Victims wa Ugonjwa huo wengi ni wazee.
 
Watanzania fanyeni mazoezi, mwili unatakiwa uchangamshe.

Jitahidini hata utembee km 2 kwa siku.

Huu ugonjwa hauna madhara kwa watu wanaoushughulisha mwili.

Mbona mama ntilie, machinga, wapiga debe, mafundi ujenzi, wanamichezo, dereva bajaji na bodaboda hawafi?

Sababu miili yao haikai kizembe kama hawa wanaokaa kwenye viyoyozi ofisini.

Note:
Tangu Corona ianze hakuna mwanamichezo duniani aliyefariki.

Wanaupata ila hauwadhuru
HAO MAMA NTILIE WAKIFA UTAJUAJE HUMU WAKATI MNAPOSTI KWA STATUS?
 
R.I.P Wakili Msomi Judith Mushumbusi

Raha ya milele umpe Ee Bwana na mwanga wa milele umuangazie apumzike kwa amani tukaonane tena katika asubuhi ile iliyo njema na Kuu.

NOTE: Tuendelee kujikinga na Corona! Maisha sio mali ya serikali unayoishabikia, sio mali ya Kanisa unaloabudu, sio mali ya Kiongozi wako wa kidini wala sio mali ya chama chako. Maisha ni mali yako!

Niwarai tu tena kwamba kama hujaumizwa na Corona basi mshukuru Mungu jiepushe kutoa matamko yanayowaumiza walioumizwa na Corona.

View attachment 1700061
OOOH!
Poleni sana , yaani such a young girl.
Poleni na RIP Judith.
 
Wapo kwenye jalala wanatafuta njia ya kutokea
Hoja yao ni kwamba eti ametumia headed paper yenye nembo ya Chuo/Serikali na hakuonyesha takwimu kuback up tamko lake. Kwamba angelitoa lile tamko kama individual na sio kutumia mgongo wa chuo

Lakini hii haiondoi ukweli kwamba jumuiya ya wasomi hawa ni wachumia tumbo na wasaka tonge tu.
 
Watanzania fanyeni mazoezi, mwili unatakiwa uchangamshe.

Jitahidini hata utembee km 2 kwa siku.

Huu ugonjwa hauna madhara kwa watu wanaoushughulisha mwili.

Mbona mama ntilie, machinga, wapiga debe, mafundi ujenzi, wanamichezo, dereva bajaji na bodaboda hawafi?

Sababu miili yao haikai kizembe kama hawa wanaokaa kwenye viyoyozi ofisini.

Note:
Tangu Corona ianze hakuna mwanamichezo duniani aliyefariki.

Wanaupata ila hauwadhuru
Ina enda na umri mkubwa au watu wenye magonjwa yasiyo ambukiza
 
R.I.P Wakili Msomi Judith Mushumbusi

Raha ya milele umpe Ee Bwana na mwanga wa milele umuangazie apumzike kwa amani tukaonane tena katika asubuhi ile iliyo njema na Kuu.

NOTE: Tuendelee kujikinga na Corona! Maisha sio mali ya serikali unayoishabikia, sio mali ya Kanisa unaloabudu, sio mali ya Kiongozi wako wa kidini wala sio mali ya chama chako. Maisha ni mali yako!

Niwarai tu tena kwamba kama hujaumizwa na Corona basi mshukuru Mungu jiepushe kutoa matamko yanayowaumiza walioumizwa na Corona.

View attachment 1700061
....Kama hujaumizwa na Korona shukuru Mungu, na jiepushe kutoa matamko yatakayowaumiza walioumizwa na Korona.
***Nimekisoma vizuri sana mkuu, pole.
 
Corona ipo ila tusiiwatie watu hofu

Note tujikinge Corona ipo ila sio kwa ukubwa unaozungumzwa
Unahitaji ukubwa gani ndo ujue ni kubwa? Subiri ufiwe na ndugu ndo utajua ukubwa wake.
 
Ukipata kusimuliwa na mtu aliyepata huyu mdudu mpya namna hali anayopitia, sidhani kama utaichukulia poa hii makitu...
 
Back
Top Bottom