Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anamdhamini mtu lakini hamjui mwwnyekiti wa mtaa wake. Hiyo barua ya mwenyekiti wa mtaa sijui aliipataje?Lengo la cross examination ni kumfanya shahidi aonekane si mkweli ili hakimu au jaji na wazee wa baraza wautlie shaka ushahidi anaotoa.
Baada ya maswali ya Kibatala juzi wewe bado unaona kuwa yule fundi washi anaaminika?
Unataka mwanasheria akuulize maswali ya kutafuta mzingo au eneo??? Au unataka akuulize maswali ya kutafuta kani uelekeo na jitihada.....Kibatala ni Mwanasheria wa kawaida sana!
Nimesoma mahojiano yake jana Mahakamani kuhusu kesi ya Dikteta Uchwara ana maswali ya kitoto sana!
Tatizo lenu wengi " Lugha" haipandi mngetazama Citizen Tv, KTN na K24 muone nini maana ya Wanasheria wasoma na sio upuuzi wa eti KIBATALA!
HahahahaUnataka mwanasheria akuulize maswali ya kutafuta mzingo au eneo??? Au unataka akuulize maswali ya kutafuta kani uelekeo na jitihada.....
Wakili anaweza akakuuliza Jana umegegedwa bao ngapi??? Na macho yakakutoka na Kesi ikafungwa, ukagongwa nyundo kadhaa.
Nenda siku kamu challangeKibatala ni Mwanasheria wa kawaida sana!
Nimesoma mahojiano yake jana Mahakamani kuhusu kesi ya Dikteta Uchwara ana maswali ya kitoto sana!
Tatizo lenu wengi " Lugha" haipandi mngetazama Citizen Tv, KTN na K24 muone nini maana ya Wanasheria wasoma na sio upuuzi wa eti KIBATALA!
Huyu jamaa, namfahamu kupitia mijadala ya Marumbano ya hoja ya ITV kipindi akiwa kama mwanasheria wa Chama, mimi nilikua namuona kama ni mtu mwenye uwezo mdogo sana katika kujenga hoja, siku hizi simuoni tena kumbe kapangiwa kazi nyingine?Ukitaka ya Peter (wangoni wanaita peteri) basi tuletee ya msomi wa Lumumba "Godwin Kunambi" aliyekua mwanasheria wa CCm na sasa analinda interest za mzee kipara Dodoma kama DED! hivi kuna kesi aliwahi shinda?? jamaa level zake kama Monday likwepa rais wa bao!
Alipangiwa kazi nyingine baada ya kubwaga huko Mlimba na Susan Kiwanga CDM!Huyu jamaa, namfahamu kupitia mijadala ya Marumbano ya hoja ya ITV kipindi akiwa kama mwanasheria wa Chama, mimi nilikua namuona kama ni mtu mwenye uwezo mdogo sana katika kujenga hoja, siku hizi simuoni tena kumbe kapangiwa kazi nyingine?
Ngoja niende Shule ya msingi kolomije nakuletea sasa hiviLeta CV ya Bashite?
SINA hakika kama atarufi kujibu hili swali; SINA.Na mwisho wa kesi inakuwaje............?
Ni kweli mkuu huyu jamaaa alivuma sana kipindi fulani hata pale ITV walikuwa wanamwita mara kwa mara kwenye kipindi chao cha ijue sheria,TFF pia wanamtumia kwenye moja ya kamati zake inayoendana na mambo ya sheria.Ana kesi anayowasimamia akina Kitilya na wenzake ambao wamenyimwa dhamana eti uchunguzi bado haujakamilika.Kina Mgongolwa siwasikiii kwa sasa hivi wapo?? Kweli kila zama na kitabu chake!!!
Hahaaaahaaaaaaa mkuu umeua!!!namdhamini mtu lakini hamjui mwwnyekiti wa mtaa wake. Hiyo barua ya mwenyekiti wa mtaa sijui aliipataje?
Mke wa mdhaminiwa ameshafariki pamoja na mdhaminiwa. Ooops, kumbe mke yuko hai, mama ndiye aliyefariki nimesema.
Maneno aliyotumia Lissu yalimchefua! Huku anasema usiniulize mambo ya siasa ! Sujui Lissu alikuwa anahubiri dini?