Wakili msomi Peter Kibatala: Wasifu (CV) wake na historia yake katika kuendesha kesi

Wakili msomi Peter Kibatala: Wasifu (CV) wake na historia yake katika kuendesha kesi

Anamdhamini mtu lakini hamjui mwwnyekiti wa mtaa wake. Hiyo barua ya mwenyekiti wa mtaa sijui aliipataje?

Mke wa mdhaminiwa ameshafariki pamoja na mdhaminiwa. Ooops, kumbe mke yuko hai, mama ndiye aliyefariki nimesema.

Maneno aliyotumia Lissu yalimchefua! Huku anasema usiniulize mambo ya siasa ! Sujui Lissu alikuwa anahubiri dini?
Umesahau na hii mkuu,
Baada ya kuyasikia maneno ya Lisu niliamua kuondoka zangu, sijui kilichoendelea baada ya mimi kuondoka, mara Lisu alipomaliza kuongea alipanda gari yake akaondoka!! Yaani alijiaibisha sana
 
Kibatala ni Mwanasheria wa kawaida sana!

Nimesoma mahojiano yake jana Mahakamani kuhusu kesi ya Dikteta Uchwara ana maswali ya kitoto sana!

Tatizo lenu wengi " Lugha" haipandi mngetazama Citizen Tv, KTN na K24 muone nini maana ya Wanasheria wasoma na sio upuuzi wa eti KIBATALA!
Alafu mwisho wa siku huwa inakuwaje,kumbe na nyie mnatamani vya Kenya wkt mkiaambiwa muige na demokrasia ya Kenya mnapanua pua.
 
Kwan ukifundishwa na mwalimu kilaza ..mwanafunzi atakua kilaza?? Hapo ni utashi binafsi mjomba
Usilolijua ni kuwa kati ya Wahadhiri waliokuwa wamejijengea heshima kwa wanafunzi wao miaka hiyo wakifundisha Mwakyembe ni mmoja wao. Tena alipendwa na hata wanafunzi wa faculties zingine.

Huyu hata lilipokuja swala la wanafunzi kudai haki zao yeye hakusita kuwa upande wa wanafunzi ili kushinikiza uongozi utende haki.
 
Usilolijua ni kuwa kati ya Wahadhiri waliokuwa wamejijengea heshima kwa wanafunzi wao miaka hiyo wakifundisha Mwakyembe ni mmoja wao. Tena alipendwa na hata wanafunzi wa faculties zingine. Huyu hata lilipokuja swala la wanafunzi kudai haki zao yeye hakusita kuwa upande wa wanafunzi ili kushinikiza uongozi utende haki.
Basi nahisi ule ugonjwa uliharibu kichwa chake sana..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kibatala ni Mwanasheria wa kawaida sana!

Nimesoma mahojiano yake jana Mahakamani kuhusu kesi ya Dikteta Uchwara ana maswali ya kitoto sana!

Tatizo lenu wengi " Lugha" haipandi mngetazama Citizen Tv, KTN na K24 muone nini maana ya Wanasheria wasoma na sio upuuzi wa eti KIBATALA!
Niliwahi sema hapa jamaa ni mtupu sana,hata Lissu hana lolote tatizo ni wananchi kuaminishwa ndivyo isivyo.

Wabongo jiongezeni hao wabunge wasomi wanawapiga tu wawekezaji nyie bei zao hamuwezi.

mahakamani wanatumia ukanjanja wa maneno tu,kile alichosoma jana anakitaja pale,we hujasoma hujui ukishindwa kujibu basi kesi imeisha.

Nshabishana na wanasheria Europe bila hata kukodi wakili na nikashinda kesi zote.

Uzuri huku hudhulumiwi kazi na hakuna maarufu,kuna kesi mpk wakili alitaka kunyanganywa kibali.kaja mahakamani hana rekodi wala hajui anachotetea.nje ana gari kuuubwa suti ya hatari sana.
 
Jamani ebu tujikite kwenye hoja ya mleta mada,anaeijua CV ya huyu mwanasheria si aitoe hapa? ni kwa faida ya watu wengine pia kuhabarishana.
Kweli mkuu. Tunahitaji kumfahamu
 
Ufanisi wa mwanasheria unapimwa na kesi anazoshinda, sasa sidhani kuna mwanasheria wa ajabu
Binafsi namkubali kwa kaz zake Ila kuna wanaomzdi uwezo wengi tu na mind you kesi zake nyingi zinakua affiliated na politcs au celebrity so mteja wake tayari anakua ni story plus kesi so anapata media coverage ila kuna mawakili wengi wazuri kuliko yeye na wenye kesi nzito na wanashinda lakin kesi zao znakua hazifuatiliwi na media...
 
Back
Top Bottom