robertmjavija
JF-Expert Member
- Aug 1, 2017
- 541
- 415
Najiuliza Kwann manji kamkwepa kama ni mzuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila kumsahau wakili msomi lusinde kibajajiAu msukuma wa geita mbunge kilaza anayedhani atapanda kwa mgongo wa mh lisu
Umesahau na hii mkuu,Anamdhamini mtu lakini hamjui mwwnyekiti wa mtaa wake. Hiyo barua ya mwenyekiti wa mtaa sijui aliipataje?
Mke wa mdhaminiwa ameshafariki pamoja na mdhaminiwa. Ooops, kumbe mke yuko hai, mama ndiye aliyefariki nimesema.
Maneno aliyotumia Lissu yalimchefua! Huku anasema usiniulize mambo ya siasa ! Sujui Lissu alikuwa anahubiri dini?
Wapo wengi mbona.hivi kuna wakili ambaye sio msomi??
Vijana sasa mnakoenda kubaya.Wapo wengi mbona.
Sasa kama Harisoni Mwakyembe utasema naye ni msomi??
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwan ukifundishwa na mwalimu kilaza ..mwanafunzi atakua kilaza?? Hapo ni utashi binafsi mjombaVijana sasa mnakoenda kubaya.
Unatuambiaje kuhusiana na wanafunzi wake mnaowashabikia nakuwasifu humu?
Alafu mwisho wa siku huwa inakuwaje,kumbe na nyie mnatamani vya Kenya wkt mkiaambiwa muige na demokrasia ya Kenya mnapanua pua.Kibatala ni Mwanasheria wa kawaida sana!
Nimesoma mahojiano yake jana Mahakamani kuhusu kesi ya Dikteta Uchwara ana maswali ya kitoto sana!
Tatizo lenu wengi " Lugha" haipandi mngetazama Citizen Tv, KTN na K24 muone nini maana ya Wanasheria wasoma na sio upuuzi wa eti KIBATALA!
Usilolijua ni kuwa kati ya Wahadhiri waliokuwa wamejijengea heshima kwa wanafunzi wao miaka hiyo wakifundisha Mwakyembe ni mmoja wao. Tena alipendwa na hata wanafunzi wa faculties zingine.Kwan ukifundishwa na mwalimu kilaza ..mwanafunzi atakua kilaza?? Hapo ni utashi binafsi mjomba
hakuna majibu,hata mi nasubiriMkuu nakuhakikishia huwez kupata majibu ya swali lak
Basi nahisi ule ugonjwa uliharibu kichwa chake sana..Usilolijua ni kuwa kati ya Wahadhiri waliokuwa wamejijengea heshima kwa wanafunzi wao miaka hiyo wakifundisha Mwakyembe ni mmoja wao. Tena alipendwa na hata wanafunzi wa faculties zingine. Huyu hata lilipokuja swala la wanafunzi kudai haki zao yeye hakusita kuwa upande wa wanafunzi ili kushinikiza uongozi utende haki.
Niliwahi sema hapa jamaa ni mtupu sana,hata Lissu hana lolote tatizo ni wananchi kuaminishwa ndivyo isivyo.Kibatala ni Mwanasheria wa kawaida sana!
Nimesoma mahojiano yake jana Mahakamani kuhusu kesi ya Dikteta Uchwara ana maswali ya kitoto sana!
Tatizo lenu wengi " Lugha" haipandi mngetazama Citizen Tv, KTN na K24 muone nini maana ya Wanasheria wasoma na sio upuuzi wa eti KIBATALA!
Hao hawajawahi hudhuria pale kwa pilatoUnataka mwanasheria akuulize maswali ya kutafuta mzingo au eneo??? Au unataka akuulize maswali ya kutafuta kani uelekeo na jitihada.....
Wakili anaweza akakuuliza Jana umegegedwa bao ngapi??? Na macho yakakutoka na Kesi ikafungwa, ukagongwa nyundo kadhaa.
Kwani uwezo WA Zidane ni sawa na RonaldoVijana sasa mnakoenda kubaya.
Unatuambiaje kuhusiana na wanafunzi wake mnaowashabikia nakuwasifu humu?
Ufanisi wa mwanasheria unapimwa na kesi anazoshinda, sasa sidhani kuna mwanasheria wa ajabuNi mwanasheria wa kawaida Sana sema anatumia media na kudeal na kesi nyingi zenye publicity
Hii ni hoja pana, mawakili watujibuhivi kuna wakili ambaye sio msomi??
Kweli mkuu. Tunahitaji kumfahamuJamani ebu tujikite kwenye hoja ya mleta mada,anaeijua CV ya huyu mwanasheria si aitoe hapa? ni kwa faida ya watu wengine pia kuhabarishana.
Binafsi namkubali kwa kaz zake Ila kuna wanaomzdi uwezo wengi tu na mind you kesi zake nyingi zinakua affiliated na politcs au celebrity so mteja wake tayari anakua ni story plus kesi so anapata media coverage ila kuna mawakili wengi wazuri kuliko yeye na wenye kesi nzito na wanashinda lakin kesi zao znakua hazifuatiliwi na media...Ufanisi wa mwanasheria unapimwa na kesi anazoshinda, sasa sidhani kuna mwanasheria wa ajabu
Ha ha haa. Shahidi anasema alimuona Lissu anaingia kwwnye gari yake, lakini alipoulizwa rangi ya gari aliyoiona, HAJUWI. Teh tehMaswal ya kitoto yale? Uliona yule Shahid alivyojichanganya na maswali yale yale usemayo ni ya kitoto?