Wakili msomi Peter Kibatala: Wasifu (CV) wake na historia yake katika kuendesha kesi

CCM yupo masaju nasikia kwake 5×5=700 kama baba jesca atampa simbi/desa ni sawa na werema aliemwita kafulila tumbili kisa mlungula wa Escrow kutoka msoga
 
Lengo la cross examination ni kumfanya shahidi aonekane si mkweli ili hakimu au jaji na wazee wa baraza wautlie shaka ushahidi anaotoa.
Baada ya maswali ya Kibatala juzi wewe bado unaona kuwa yule fundi washi anaaminika?
Anamdhamini mtu lakini hamjui mwwnyekiti wa mtaa wake. Hiyo barua ya mwenyekiti wa mtaa sijui aliipataje?

Mke wa mdhaminiwa ameshafariki pamoja na mdhaminiwa. Ooops, kumbe mke yuko hai, mama ndiye aliyefariki nimesema.

Maneno aliyotumia Lissu yalimchefua! Huku anasema usiniulize mambo ya siasa ! Sujui Lissu alikuwa anahubiri dini?
 
Lengo la cross- examination huwa ni kuonesha nyufa za ushahidi uliotolewa mahakamani, na ili ushahidi ukubaliwe ni lazima imalize reasonable doubt zote which rised in the court of law, sasa witness anaposhindwa kutoa ushahidi au kutoa ushahidi wenye kutiliwa shaka ushahidi wake hauwezi kuwa ushahidi kwa macho ya sheria, Unaweza kuyaona ni maswali ya kitoto lkn akayajengea hoja ktk final submission.

I love KIBATALA
 
Unataka mwanasheria akuulize maswali ya kutafuta mzingo au eneo??? Au unataka akuulize maswali ya kutafuta kani uelekeo na jitihada.....

Wakili anaweza akakuuliza Jana umegegedwa bao ngapi??? Na macho yakakutoka na Kesi ikafungwa, ukagongwa nyundo kadhaa.
 
Hahahaha
 
Shahid anasema maneno ni ya Uchochezi huku hajui maana ya maneno hayo
 
Nenda siku kamu challange
 
Huyu jamaa, namfahamu kupitia mijadala ya Marumbano ya hoja ya ITV kipindi akiwa kama mwanasheria wa Chama, mimi nilikua namuona kama ni mtu mwenye uwezo mdogo sana katika kujenga hoja, siku hizi simuoni tena kumbe kapangiwa kazi nyingine?
 
Huyu jamaa, namfahamu kupitia mijadala ya Marumbano ya hoja ya ITV kipindi akiwa kama mwanasheria wa Chama, mimi nilikua namuona kama ni mtu mwenye uwezo mdogo sana katika kujenga hoja, siku hizi simuoni tena kumbe kapangiwa kazi nyingine?
Alipangiwa kazi nyingine baada ya kubwaga huko Mlimba na Susan Kiwanga CDM!
 
Kina Mgongolwa siwasikiii kwa sasa hivi wapo?? Kweli kila zama na kitabu chake!!!
Ni kweli mkuu huyu jamaaa alivuma sana kipindi fulani hata pale ITV walikuwa wanamwita mara kwa mara kwenye kipindi chao cha ijue sheria,TFF pia wanamtumia kwenye moja ya kamati zake inayoendana na mambo ya sheria.Ana kesi anayowasimamia akina Kitilya na wenzake ambao wamenyimwa dhamana eti uchunguzi bado haujakamilika.
 
Hahaaaahaaaaaaa mkuu umeua!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…