Wakili msomi Peter Kibatala: Wasifu (CV) wake na historia yake katika kuendesha kesi

Unless uwe hujawashuhudia mawakili wanavyoendesha kesi, utaona maswali ya Kibatala ya kitoto.

Vyema kunyamaza na kupanga muda, kisha uende mahakamani uone jinsi wanavyotekeleza majukumu yao.
 
Unless uwe hujawashuhudia mawakili wanavyoendesha kesi, utaona maswali ya Kibatala ya kitoto. Vyema kunyamaza na kupanga muda, kisha uende mahakamani uone jinsi wanavyotekeleza majukumu yao.
Kaz ya uwakili nilivutiwa Nayo baada ya kuangalia Boston legal ya kina Allan shoe na dany crane kuna maswali MTU anaweza kujichanganya
 
Umeongozwa na chuki kuliko ukweli..

Nafikiri ungetambua lengo la maswali yake usingejitokeza hapa na kuonyesha umbumbumbu wako..

Katika kufanya "cross examination" kunakuwaga na maswali mengi sana ambayo kama haujui "kitu" kama wewe unaweza kuyaona ni ya kitoto..

Yanaweza kuwepo hata maswali ya kuudhi kwelikweli yakiwa na lengo moja tu la kumtoa shahidi katika hali ya kujiamini na kumfanya awe na hasira.. Ukishaweza kumfanya shahidi akawa na jazba ndio unaanza kuhoji maswali ya maana na unakuwa umetimiza lengo lako la kufanya aonekane anashuhudia uongo..

Kwahiyo nakuhakikishia hayakuwa maswali ya kitoto kama ulivyofikiri!
 
Umahiri wa wakili haupimwi kwenye kesi ngapi kashinda au kashindwa maana kesi ni ya mteja sio ya wakili...hapa inabido uwe wakili ulieiva kwenye maadili kuelewa nini nimesema kama sio wakili au mwanasheria kausha
 
Kalimanzila punguza chuki au wewe ni karani wa mahakama? jamaa ameuliza maswali mazuri tu maana msingi wa cross examination ni ku shake credibility na alifanikiwa maana shahidi alisema mke wa nani sijui amefariki baadae akabadili kwamha sio mke ni mama ake mpaka hakimu alishangaa
 
Unless uwe hujawashuhudia mawakili wanavyoendesha kesi, utaona maswali ya Kibatala ya kitoto. Vyema kunyamaza na kupanga muda, kisha uende mahakamani uone jinsi wanavyotekeleza majukumu yao.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nafkiri hajawahi kumwona Dr. Lamwai. Mkali wa cross examination duniani....

Au hajawahi kusikia mambo ya aliyekua raisi wa marekani Abraham Thomas Lincoln...
 
Mangiiiiiiiiiiiiiii Nimecheka mpaka mbavu zaumaaaaaaaaaaaaaa

Pogba wa tz nchi imekushinda!
 
Umahiri wa wakili haupimwi kwenye kesi ngapi kashinda au kashindwa maana kesi ni ya mteja sio ya wakili...hapa inabido uwe wakili ulieiva kwenye maadili kuelewa nini nimesema kama sio wakili au mwanasheria kausha
Kweli mkuu ila tungependa kujua kibatala kashinda kesi ngapi hadi sasa?
 
Ulivyoangalia Izo channel za Kenya, ulivyoona awo wanasheria, ulivyoona wanaongea kiingereza ndio ukajua kwamba usomi ni kiingereza. kweli akili yetu hiii ya kitanzania inatakiwa kuombewa
 
ww ndo mpuuzi ,hizo mahakama za Kenya ziko fair mahakimu hawapangiwi hukumu
 
Unamfaham au unamsikia?
 
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni! Kuna watu wanazitendea haki elimu zao na jamii inakuwa inaona kabisa. Mmoja wa watu ambao kwakweli anaitendea haki elimu yake ni Wakili na Mwanasheria msomi Peter Kibatala.

Kesi zote ambazo wakili huyu huzitetea lazima atoboe. Huwa anabishana kwa vifungu vya sheria na mawakili wa Serikali katika mahakama nyingi sana nchini.Huyu Bwana kwakweli yupo vzr sana.

Huyu wakilo no kabila gani na amezaliwa wapi?

Huyu wakili amesoma wapi na level yake ya elomu ni kiwango gani?

Namkubali sana Peter Kibatala
 
ana bba ya st Agustine.Kwao ni marangu


 
Hiyo CV uliyo ishusha hapo juu ya Peter Kibatala ni kiboko mkuu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…