Hii ndiyo cv ya kibatala?
Tupe mfano mkuu!Binafsi namkubali kwa kaz zake Ila kuna wanaomzdi uwezo wengi tu na mind you kesi zake nyingi zinakua affiliated na politcs au celebrity so mteja wake tayari anakua ni story plus kesi so anapata media coverage ila kuna mawakili wengi wazuri kuliko yeye na wenye kesi nzito na wanashinda lakin kesi zao znakua hazifuatiliwi na media...
nafikiria kama wewe mkuu ila bado cjui nawaza ninihivi kuna wakili ambaye sio msomi??
Due binge la season umemsahau yule bibi wa kijerumani alikua anapendwa Na dany craneKaz ya uwakili nilivutiwa Nayo baada ya kuangalia Boston legal ya kina Allan shoe na dany crane kuna maswali MTU anaweza kujichanganya
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi unajua hata mwehu hujiona yu na akili kuliko wenye timamu ndo ww sasa,ni zuzu lakini unazani upo sawa.Kibatala ni Mwanasheria wa kawaida sana! Nimesoma mahojiano yake jana Mahakamani kuhusu kesi ya Dikteta Uchwara ana maswali ya kitoto sana! Tatizo lenu wengi " Lugha" haipandi mngetazama Citizen Tv,KTN na K24 muone nini maana ya Wanasheria wasoma na sio upuuzi wa eti KIBATALA!
Na ww utajuaje kama ameshinda kulingana na ww kuwa muathilika wa dawa za kulevya.Ukute ni porojo tu kumbe kesi hajawahi shinda
Kibatala ni Mwanasheria wa kawaida sana! Nimesoma mahojiano yake jana Mahakamani kuhusu kesi ya Dikteta Uchwara ana maswali ya kitoto sana! Tatizo lenu wengi " Lugha" haipandi mngetazama Citizen Tv,KTN na K24 muone nini maana ya Wanasheria wasoma na sio upuuzi wa eti KIBATALA!
Ana hotel 3 star..wakati ukoo wenu hakuna hata mwenye nyumba ya wageni...Wakili Msomi Joseph Mbilinyi
Haya ni mambo ya Kike ambayo hupaswi hata kuyaweka humu Endelea Kudharau watu usiowajua Unafikiri kila member uko nae sawa kimaisha mkuu Mimi na tuko sawa kwa sababu ya Membership ya Jamii Forums lakini nilivyonavyo hautavipata hata siku moja sidharau vya watu ila kwa huko vijijini kama Mbeya mnaona Hotel ya Sugu ni Hotel Yale ni mabanda ya kawaida tuu na Deni lake Lipo CRDB unayefikiria kuwa kajenga kwa pesa yake.Ana hotel 3 star..wakati ukoo wenu hakuna hata mwenye nyumba ya wageni...
We nae kimeo tu , sasa kwanini umwambie ulivyo navyo hawezi kuvipata na wakati humfahamu!!! Na we walewale tuHaya ni mambo ya Kike ambayo hupaswi hata kuyaweka humu Endelea Kudharau watu usiowajua Unafikiri kila member uko nae sawa kimaisha mkuu Mimi na tuko sawa kwa sababu ya Membership ya Jamii Forums lakini nilivyonavyo hautavipata hata siku moja sidharau vya watu ila kwa huko vijijini kama Mbeya mnaona Hotel ya Sugu ni Hotel Yale ni mabanda ya kawaida tuu na Deni lake Lipo CRDB unayefikiria kuwa kajenga kwa pesa yake.
Kama zipo fair nijibu ya fuatayo.ww ndo mpuuzi ,hizo mahakama za Kenya ziko fair mahakimu hawapangiwi hukumu
Ukitaka ya Peter (wangoni wanaita peteri) basi tuletee ya msomi wa Lumumba "Godwin Kunambi" aliyekua mwanasheria wa CCm na sasa analinda interest za mzee kipara Dodoma kama DED! hivi kuna kesi aliwahi shinda?? jamaa level zake kama Monday likwepa rais wa bao!
Eti mkopo sio pesa yake!! kwani wakati unakopa si unaweka assets zenye thamani ya mkopo ili uweze kukopesheka??? Ssa kma assets alizoweka zina thamani ya mkopo aliopewa kujengea hoteli ina maana kuwa ana uwezo wa kujenga hiyo hoteli mwenyewe nje ya mkopo....Haya ni mambo ya Kike ambayo hupaswi hata kuyaweka humu Endelea Kudharau watu usiowajua Unafikiri kila member uko nae sawa kimaisha mkuu Mimi na tuko sawa kwa sababu ya Membership ya Jamii Forums lakini nilivyonavyo hautavipata hata siku moja sidharau vya watu ila kwa huko vijijini kama Mbeya mnaona Hotel ya Sugu ni Hotel Yale ni mabanda ya kawaida tuu na Deni lake Lipo CRDB unayefikiria kuwa kajenga kwa pesa yake.
Mkuu ni kweli kenya wanajitahidi sana Babu owino mbunge kijana kabisa katoka chuo juzi tu kamuita Rais kenyatta MBWA kwenye public kabisa....ila amekaa selo siku moja tu ya pili kaachiwa na kesi kashinda unafkiri kwa hapa Tanzania umejionea mwenyewe jinsi lissu sugu mdee na lema walivyosota rumande kisa kutoa maneno ya "uchochezi"Kama zipo fair nijibu ya fuatayo.
-sheria ipi inayomruhusu raia wa Kenya kuwa Mungu mtu.
-nipe mfano wa kesi yeyote iliyowahi kutikisa Kenya ambapo tajili alishindwa kesi na masikini .
Huna Elimu ya masuala ya mikopo mikubwa Kuna Secured and Unsecured loan endelea kuwa Ngombe wa Mbowe unafikiri Huo mkopo ni wa Sh. 8million? Ukaweka Nyumba Ile Project imejidhamini yenyewe na Ni Longterm Debt Sasa akishindwa Kulipa Hotel ndo Itauzwa.Eti mkopo sio pesa yake!! kwani wakati unakopa si unaweka assets zenye thamani ya mkopo ili uweze kukopesheka??? Ssa kma assets alizoweka zina thamani ya mkopo aliopewa kujengea hoteli ina maana kuwa ana uweozo wa kujenga hiyo hoteli mwenyewe nje ya mkopo....
Huna lolote wewe watu mnaokesha JF kutetea vyama hamna mlichowekeza zaidi ya 7000 yenu mnayopewa kwa siku..Haya ni mambo ya Kike ambayo hupaswi hata kuyaweka humu Endelea Kudharau watu usiowajua Unafikiri kila member uko nae sawa kimaisha mkuu Mimi na tuko sawa kwa sababu ya Membership ya Jamii Forums lakini nilivyonavyo hautavipata hata siku moja sidharau vya watu ila kwa huko vijijini kama Mbeya mnaona Hotel ya Sugu ni Hotel Yale ni mabanda ya kawaida tuu na Deni lake Lipo CRDB unayefikiria kuwa kajenga kwa pesa yake.
Hujajibu swali, huo ni umbea ukichanganyikana na wivu wa kike!Kibatala ni Mwanasheria wa kawaida sana! Nimesoma mahojiano yake jana Mahakamani kuhusu kesi ya Dikteta Uchwara ana maswali ya kitoto sana! Tatizo lenu wengi " Lugha" haipandi mngetazama Citizen Tv,KTN na K24 muone nini maana ya Wanasheria wasoma na sio upuuzi wa eti KIBATALA!