Wakili Msomi: Yanga wamefanya uzembe kwa Feisal

Wakili Msomi: Yanga wamefanya uzembe kwa Feisal

Hapo sijui Sheria is kuna raia ni vilaza sana kwenye soka, umeona wapi mchezaji mwenye mkataba na timu anasajiliwa na timu nyingine bila hizo timu kukubaliana? Yaani Leo Jude Bellingham apokee pesa kutoka Man City akailipe Dortmund then awe mchezaji wa Man City bila City na Dortmund kukubaliana?
Basi wachezaji wengi sana wangesepa Kwa namna hiyo.
Azam wameshamsajili fei?
 
Hili ni jepesi sana kama pesa ukifuatiliwa, kama hujui haya kaa kimya tu mkuu. Kwa mshahara uliosemwa wa Fei, hawezi kuwa na hiyo amount hivyo atalazimika kudeclare alivyoipata. Tuyaache tu hayo
Kwani Fei anategemea mshahara peke yake? Je kama Familia waliamua kuuza Assets zao ili wamwezeshe avunje mkataba na wakatoa vithibitisho utasema nini? Lakini vile vile anaweza kopeshwa pesa na mtu baki kwa ahadi ya kuirudisha kwa riba na akaonyesha ushahidi alikopeshwa. Hapa tunahitaji mtoe ushahidi usio na shaka kuwa Azam FC walimpatia pesa Feitoto na siyo kufuata haya maneno ya mitandaoni. Swala la yeye kutaka kusajiliwa na Azam halihusiani kabisa na pesa aliyowalipa Yanga ili avunje mkataba.
 
Dah yaaani hii mada inajadiliwa kishabiki zaidi kuliko kitaaluma
 
Kawaulize Azam: Kwa yanga mni kwamba No Feisal, No Problem!! Azam wao hawawanii kombe bali wanawania Faisal Watakosa yote
 
Kwani Fei anategemea mshahara peke yake? Je kama Familia waliamua kuuza Assets zao ili wamwezeshe avunje mkataba na wakatoa vithibitisho utasema nini? Lakini vile vile anaweza kopeshwa pesa na mtu baki kwa ahadi ya kuirudisha kwa riba na akaonyesha ushahidi alikopeshwa. Hapa tunahitaji mtoe ushahidi usio na shaka kuwa Azam FC walimpatia pesa Feitoto na siyo kufuata haya maneno ya mitandaoni. Swala la yeye kutaka kusajiliwa na Azam halihusiani kabisa na pesa aliyowalipa Yanga ili avunje mkataba.
Nilikuwanaonyesha tu jinsi gani wanaweza kufuatilia kujua chanzo cha pesa, angalia hoja niliyokuwa majibu.
 
Yanga mnahofia nini kuondoka kwa feisal. Mimi kama mshabiki kindaki ndaki wa YASC sioni kwa nini feisal aishike mlungula timu yenye wanachama milion 40! Yanga ina bahati sana ya kupata midfileders wakali kuliko SSC tangia 1965!

alikuja Abdalahman Juma, Sunday manara, Juma matokeo,mwinda ramadhani, Juma mkambi, Dotto Mokili, Yusuph tigana, Ezekiel grayson "Jujumam" na charles boniface. leo hii mchezaji mzuri kama huyu feisal akitaka kuondoka isitupe tumbo joto . ni vizuri aende atakakako hata ikiwa SSC. watakuja wengine wapya na wazuri kumfunika yeye. GOOD LUCK FEISAL.
 
Wakili na mwanamichezo mzoefu nchini, Aloyce Komba ametoa ufafanuzi juu ya dili la Fei Toto kutua Azam akisema:
.
“Yanga wamefanya uzembe wenyewe na wasije wakathubutu kukimbilia Fifa kama walivyofanya kwa Bernard Morrison itakula kwao. Waangalie vizuri mkataba wa mchezaji unaeleza nini, watapoteza muda zaidi.”
.
“Ninachokiona Yanga walimpa mkataba Fei ambao hauna faida kwao. Unawekaje kiasi hicho cha pesa kuvunja mkataba wake wakati unaona kabisa kiwango cha mchezaji kilivyo. mchezaji hawezi kuacha pesa hasa kama mkataba wake unaruhusu kuununua ama kuuvunja.”
.
“Sioni kama Azam wamekosea na ni timu ambayo inazingatia sana masuala ya kisheria katika kuvunja mikataba ya wachezaji wao ama wanaposajili mchezaji. Azam siyo wajinga kiasi hicho wakurupuke tu kumsajili Fei Toto pasipo kuzingatia taratibu za kimkataba.
.
“Wanachotakiwa kukifanya Yanga ni kuulezea umma ama wanachama na mashabiki juu ya hilo, lakini mengine ni kuleta siasa tu kwenye mpira.”

My Take
Nawakumbusha tu Yanga kuitwa Utopolo ni maono ya ndani sana. Hii ndio maana halisi ya Utopolo
Endeleeni kuwa busy kuchambua mkataba wa feisal huku Yanga akiwa busy kujikusanyia points
 

Attachments

  • am.jpg
    am.jpg
    82.7 KB · Views: 3
Hii issue ya Feisal imewapa viongozi wa Simba muda wa kupumzika maana mashabiki wote mmekuwa busy mmesahau timu yenu ina matatizo lukuki
Tena wanatakiwa kufanya uchaguzi wa viongozi wao mambumbumbu wapo busy kuchambua vifungu vya mchezaji asiyewahusu
 
Hujui kitu , Neymar hakulipa pesa yeye kihuni bali PSG waliwalipa Barca hiyo pesa na akawa mchezaji wa PSG .
Nimekuwekea ushahidi wa Neymar kununua mkataba wake, Endelea kubisha
Screenshot_20221225-153741.jpg
 
Wabongo tuna vichwa vigumu sana kuelewa.. neymar alimalizana na uongozi wa barca wakakubaliana wanavunja mkataba ila feisal hajamalizana na uongozi wa yanga kadeposit tu pesa bila makubaliano ya kuvunja mkataba kwaiyo yanga ana nguvu ya kiaheria kukataa izo pesa na feisal atalazimika kuendelea kutumikia mkataba wake.. hivi amuelewi au mmechagua tu kutokuelewa?
Neymar hajamalizana..neymar alituma pesa kwenye account ya chama cha soka. Wacha kudanganya watu pimbi
 
Wakili wa mchongo,,mwisho wa movie mnaumbuka[emoji23][emoji23]
 
Mimi ninachoelewa ni kwamba kama ulisema mkataba utavunjwa kwa signing fee na mshahara wa miezi mitatu basi ndo itakavyokua


Naona watu mnasema wangekaa wakubaliane sasa maana ya ile millioni 100 iliyowekwa na 12 za miezi mitatu ilikua ya nini?
Mkataba umevunjwa kwa walichoandika yanga kwenye mkataba na ndio ambaco fei toto kafanya
 
Wakili na mwanamichezo mzoefu nchini, Aloyce Komba ametoa ufafanuzi juu ya dili la Fei Toto kutua Azam akisema:
.
“Yanga wamefanya uzembe wenyewe na wasije wakathubutu kukimbilia Fifa kama walivyofanya kwa Bernard Morrison itakula kwao. Waangalie vizuri mkataba wa mchezaji unaeleza nini, watapoteza muda zaidi.”
.
“Ninachokiona Yanga walimpa mkataba Fei ambao hauna faida kwao. Unawekaje kiasi hicho cha pesa kuvunja mkataba wake wakati unaona kabisa kiwango cha mchezaji kilivyo. mchezaji hawezi kuacha pesa hasa kama mkataba wake unaruhusu kuununua ama kuuvunja.”
.
“Sioni kama Azam wamekosea na ni timu ambayo inazingatia sana masuala ya kisheria katika kuvunja mikataba ya wachezaji wao ama wanaposajili mchezaji. Azam siyo wajinga kiasi hicho wakurupuke tu kumsajili Fei Toto pasipo kuzingatia taratibu za kimkataba.
.
“Wanachotakiwa kukifanya Yanga ni kuulezea umma ama wanachama na mashabiki juu ya hilo, lakini mengine ni kuleta siasa tu kwenye mpira.”

My Take
Nawakumbusha tu Yanga kuitwa Utopolo ni maono ya ndani sana. Hii ndio maana halisi ya Utopolo
Nasikia dirisha Dogo Mo amevunja benki tunamsajili Kichuya?😃😃😂😂
 
Mimi ninachoelewa ni kwamba kama ulisema mkataba utavunjwa kwa signing fee na mshahara wa miezi mitatu basi ndo itakavyokua


Naona watu mnasema wangekaa wakubaliane sasa maana ya ile millioni 100 iliyowekwa na 12 za miezi mitatu ilikua ya nini?
Mkataba umevunjwa kwa walichoandika yanga kwenye mkataba na ndio ambaco fei toto kafanya
Sasa ingekuwa rahisi hivyo si wachezaji wangekuwa wanaondoka tu kama Barbara alivyowapa notice Simba?

Hivi kichwani MNA akili kweli?
 
Back
Top Bottom