Mbowe si kaachiwa kwa huruma ya mama wa Kiislam.Hatutashangaa maana hata Mbowe mlidai ni gaidi ambae anataka kupindua nchi kwa kukata miti barabarani.
Amandla...
Tatizo hapa bongo kwa ground hatufanyi kituNatamani leo tujaze nyuzi JF zikienda;
#Justice for Mwabukusi.
#Mwabukusi sio mhaini.
#Free Mwabukusi.
#Mwabukusi for Tanzanyika.
#Mwabukusi kwanza DP World Isubiri.
Hapo ndipo upeo wajeshi la Polisi unapo tiliwa MashakaUnakamatwa halafu unashikiliwa. Labda kama walijipeleka wenyewe bila kushurutishwa.
Amandla...
Waongo hao, hakuna aliyekamatwa:Wanampa milage tu, hakuna sababu ya kumkamata.
Wewe tunakujua ni Chawa wa Dp worldWaongo hao, hakuna aliyekamatwa:
RPC Morogoro: Sina taarifa ya kukamatwa kwa Wakili Mwabukusi, Mdude na Masonga
Kufuatia habari zilizoripotiwa katika mitandao ya kijamii kuhusu kushikiliwa kwa katibu wa CHADEMA kanda ya kati Emmanuel Masonga, Wakili Boniface Mwabukusi na na kada maarufu wa CHADEMA Mdude Nyagali (Mdude CHADEMA) maeneo ya Mikumi mkoani Morogoro na watu waliojitambulisha kuwa ni maafisa wa...www.jamiiforums.com
Unataka kutupa najisi ya kinyesi chakohizo ni porojo na vioja mpelekee mamako atakujibu huo uvundo wako
Peleka makalio yako makubwa kwa hao hao mabasha wako waarabuHakuna cha Mwabukusi wala nzi yeyote kukatiza Mikumi, shenzi zenu. Eti Bandari imeuzwa, wekeni risiti ya EFD hapa tuone imeuzwa kiasi gani!!
Yaani tupitwe na Beira, Mombasa na Lobito sababu ya hawa wajinga wawili Mwabukusi na Mdude!! Pumbavu sana
Kwa hiyo unatuambia kuwa Rais muislamu alimuagiza DPP afute kesi? Hayo mamlaka alipewa na nani?Mbowe si kaachiwa kwa huruma ya mama wa Kiislam.
Mahakama ilisema anayo kesi ya kujibu, umesahahu? Mama katumia "Presidential Power" kumtowa, leo kawa mbaya?
Peleka makalio yako makubwa kwa hao hao mabasha wako waarabuNadhani sasa Rais samia umenielewa nilipokushauri utumie vyombo vya dola ili kutawala hii nchi nilikua namaanisha kitu gani.
Hizi hashtag ndo zitafanya waachiwe? Keyboard warriors mna ujinga mwingi.Natamani leo tujaze nyuzi JF zikienda;
#Justice for Mwabukusi.
#Mwabukusi sio mhaini.
#Free Mwabukusi.
#Mwabukusi for Tanzanyika.
#Mwabukusi kwanza DP World Isubiri.
Ni brighter Day bosi. Waache wakapumzishwe. Haiwezekani wanapokea rushwa kuchafua taswira ya rais Dkt Samia na taifa. Ndiyo maana Dkt Magufuli alikuwa hacheki na pimbi, naona Mama Dkt Samia naye sasa ameelewa namna ya kuendesha mfumo. Wawakomeshe kabisa huko waliko, binya sana kende zao ili waseme nani kawapa hela za rushwa
Wewe Kamanda itakuwa kuna wananchi wazalendo wanataka kueleweshwa mambo ya mkataba wa DP World.. wakimaliza watawaachia kina Mwabukusi waendelee na safari yao.Mtu anatakiwa kukamatwa baada ya upelelezi kukamilika
Hebu twambie walivyo mchafua! Kwani ni nani amesaini mkataba wa kuuzwa kwa bandari milele?
Mikumi walikuwa wanafanya mkutano?Samia kawapa xnaa uhuru na wanautumia vibaya
Katazo la kuacha kampeni na mikutano ya kisiasa magu alikua sahihi kukataza
Maana saiv wameachiwa ona wanavoleta fujo majukwaani yaani kila cku wao ni kuchonganisha serikali hoja ni matuc na ukanda
Wakae kimya kabisa hawa kima. Yaani hao hao Dkt Magufuli alizuia mkataba wa bandari ya Bagamoyo na utoroshaji wa madini na mikataba ya kinyonyaji walimtukana kwa matusi kede kede na kumdhalilisha mpaka kifo chake walishangilia na walitumiwa hata kujaribu kumuua na hatimaye Dkt Magufuli akafariki wakafanya sherehe. Yote hayo Dkt Magufuli alifanya kwa uzalendo wa kuipenda nchi yake. Leo kaja Dkt Samia, anafanya kwa uzalendo ila hao hao kima wameanza tena. Tujaua mwanzo aliwachekea ili kuchambua kima na ngedere yupi. Sasa ni mwendo wa vichapo tu.
Yaani Tz saa zingine tuna fanya mambo ya ajabu kidogo.
Yaani mtu anaweza kua na hoja za maana na muhimu kabisa lakini badala kuziwasilisha kwa umahiri, ufasaha na hekima ili kueleweka, huanza kudhihaki na kukejeli Mihimili ya dollar au viongozi eti ndio ujasiri au uhodari.
Huko ni kukosa hoja, kupoteza muda, thamani na uelekeo wa ya hoja ya Msingi. Zaidi sana ni kuwachanganya Wananchi na kuwapoteza maboya.
Mbaya zaidi vyombo vya dollar vikifanya kazi yake wahusika huwa wadogo kama mbegu ya haradali, hutia huruma kweli kweli na zile hoja za maana huyeyuka na kutokomea kabisa. Mashabiki hutishika na kurud nyuma, kwa sauti ya kinyonge ya keyboard wanaanza ooh sijui #free nani oohh # fulani must be Free etc .....
Weka ushahidi wa unayosema. Walimkebehi nani?
Kwa hiyo wamekamatwa kwa kosa la uhaini? Mbona kama ni hivo hao Uamsho waliachiwa?
Sent from my ATU-L31 using JamiiForums mobile app