Wakili Mwabukusi, Emmanuel Masonga na Mdude Nyagali wakamatwa na Polisi Mikumi wakiwa safarini kuelekea Dar es Salaam

Wakili Mwabukusi, Emmanuel Masonga na Mdude Nyagali wakamatwa na Polisi Mikumi wakiwa safarini kuelekea Dar es Salaam

Natamani leo tujaze nyuzi JF zikienda;

#Justice for Mwabukusi.
#Mwabukusi sio mhaini.
#Free Mwabukusi.
#Mwabukusi for Tanzanyika.
#Mwabukusi kwanza DP World Isubiri.
Tatizo hapa bongo kwa ground hatufanyi kitu
 
Wanampa milage tu, hakuna sababu ya kumkamata.
Waongo hao, hakuna aliyekamatwa:

 
Sikua interested na mwabukusi japo niliona nyuzi nyingi zikianzishwa humu ikatokea siku nikaingia YouTube channel mbalimbali nikamfuatilia MWABUKUSI

NIlicho gundua MWABUKUSI ni mtu very humble na smart upstairs huwezi choka kumsikiliza akiwa anatetea hii issue ya bandari zetu....

Mimi ni aina ya watu kama MWAKABUSI ila niliachana na SIASA na mambo YOTE ya kujihusiasha nazo maana wakati mwingine kumpambania mtanzania ni KUPOTEZA MUDA....

Cc. WANAHARAKATI WOTEE TZ
 
Waongo hao, hakuna aliyekamatwa:

Wewe tunakujua ni Chawa wa Dp world
 
Hakuna cha Mwabukusi wala nzi yeyote kukatiza Mikumi, shenzi zenu. Eti Bandari imeuzwa, wekeni risiti ya EFD hapa tuone imeuzwa kiasi gani!!

Yaani tupitwe na Beira, Mombasa na Lobito sababu ya hawa wajinga wawili Mwabukusi na Mdude!! Pumbavu sana
Peleka makalio yako makubwa kwa hao hao mabasha wako waarabu
 
Mbowe si kaachiwa kwa huruma ya mama wa Kiislam.

Mahakama ilisema anayo kesi ya kujibu, umesahahu? Mama katumia "Presidential Power" kumtowa, leo kawa mbaya?
Kwa hiyo unatuambia kuwa Rais muislamu alimuagiza DPP afute kesi? Hayo mamlaka alipewa na nani?
Tangu lini mtu kuwa na kesi ya kujibu ni sawasawa na kupatikana na hatia?
Muislamu mmoja aliwahi kusema kitu kama " unanichoma kisu mgongoni ambacho kinaingia inchi 9, halafu unataka nikushukuru kwa sababu umekivuta kikabaki na inchi 6 ndani"?

Amandla...
 
Natamani leo tujaze nyuzi JF zikienda;

#Justice for Mwabukusi.
#Mwabukusi sio mhaini.
#Free Mwabukusi.
#Mwabukusi for Tanzanyika.
#Mwabukusi kwanza DP World Isubiri.
Hizi hashtag ndo zitafanya waachiwe? Keyboard warriors mna ujinga mwingi.
 
Ni brighter Day bosi. Waache wakapumzishwe. Haiwezekani wanapokea rushwa kuchafua taswira ya rais Dkt Samia na taifa. Ndiyo maana Dkt Magufuli alikuwa hacheki na pimbi, naona Mama Dkt Samia naye sasa ameelewa namna ya kuendesha mfumo. Wawakomeshe kabisa huko waliko, binya sana kende zao ili waseme nani kawapa hela za rushwa

Samia kawapa xnaa uhuru na wanautumia vibaya
Katazo la kuacha kampeni na mikutano ya kisiasa magu alikua sahihi kukataza
Maana saiv wameachiwa ona wanavoleta fujo majukwaani yaani kila cku wao ni kuchonganisha serikali hoja ni matuc na ukanda
 
Samia kawapa xnaa uhuru na wanautumia vibaya
Katazo la kuacha kampeni na mikutano ya kisiasa magu alikua sahihi kukataza
Maana saiv wameachiwa ona wanavoleta fujo majukwaani yaani kila cku wao ni kuchonganisha serikali hoja ni matuc na ukanda
Mikumi walikuwa wanafanya mkutano?
 
Wakae kimya kabisa hawa kima. Yaani hao hao Dkt Magufuli alizuia mkataba wa bandari ya Bagamoyo na utoroshaji wa madini na mikataba ya kinyonyaji walimtukana kwa matusi kede kede na kumdhalilisha mpaka kifo chake walishangilia na walitumiwa hata kujaribu kumuua na hatimaye Dkt Magufuli akafariki wakafanya sherehe. Yote hayo Dkt Magufuli alifanya kwa uzalendo wa kuipenda nchi yake. Leo kaja Dkt Samia, anafanya kwa uzalendo ila hao hao kima wameanza tena. Tujaua mwanzo aliwachekea ili kuchambua kima na ngedere yupi. Sasa ni mwendo wa vichapo tu.

Wanisiasa wanafki afu mtz nayo inapelekeshwa kama mitahira
Walimtukana magu ety anakimbiza wawekezajj mara hana mahusiano mazuri na mataifa ya nje
Mara serikali itapata hasara kuvunja mikataba
Hayo yote waliyokua wanalia mama kaja kuyafanya kama walivopendekeza tena hawataki
 
Yaani Tz saa zingine tuna fanya mambo ya ajabu kidogo.
Yaani mtu anaweza kua na hoja za maana na muhimu kabisa lakini badala kuziwasilisha kwa umahiri, ufasaha na hekima ili kueleweka, huanza kudhihaki na kukejeli Mihimili ya dollar au viongozi eti ndio ujasiri au uhodari.
Huko ni kukosa hoja, kupoteza muda, thamani na uelekeo wa ya hoja ya Msingi. Zaidi sana ni kuwachanganya Wananchi na kuwapoteza maboya.

Mbaya zaidi vyombo vya dollar vikifanya kazi yake wahusika huwa wadogo kama mbegu ya haradali, hutia huruma kweli kweli na zile hoja za maana huyeyuka na kutokomea kabisa. Mashabiki hutishika na kurud nyuma, kwa sauti ya kinyonge ya keyboard wanaanza ooh sijui #free nani oohh # fulani must be Free etc .....

Ndio uboya wa watz wengi yaani kila habar inayohusu upinzani wanaichukua kama ilivo bila hata kuipima wao
Wapinzani wanajua wanachofanya sio sahihi ila wao shida yao ni kushika dola tuh
Hatuezi wapa nchi watu ambao wanabadili kauli na kupotosha wananchi kwa ajili yao
 
Back
Top Bottom