Wakili Mwabukusi, Emmanuel Masonga na Mdude Nyagali wakamatwa na Polisi Mikumi wakiwa safarini kuelekea Dar es Salaam

Kwahizi hekaheka DP wenyewe wanaweza wakaona isiwe tabu wamrudishie mama bandari yake,, tatizo hapo ni pesa zote fisiemu wameshakula sasa sijui watarejesha nini au ndo kuleta Tozo ya pikipiki.
 
Kamateni hadi wauza vitumbua aisee, mtusaidia vijana wetu kupata maisha. Hamjui tu vile hii kitu inanifurahisha. Ni wakati sasa wa watanzania kufaidika na kupitia viongozi wa hovyo.
 
Wanaotete mali za Nchi wanakatwa ni kama tupo enzi za kaburu na Wazulu hii sijawahi ona...wanaotetea Mali za vizazi na vizazi mnawakamata hii laana itawafuna sana...
Kituko kweli

Ila time will tell

Ova
 
Nashauri Mwehu Lissu asikamatwe. Na akikamatwa aletwe huku kwenye Hospitali ya Rufaa Chato, Kitengo cha Magonjwa ya Akili. Anahitaji matibabu huyu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…