Wakili Mwabukusi, Emmanuel Masonga na Mdude Nyagali wakamatwa na Polisi Mikumi wakiwa safarini kuelekea Dar es Salaam

Proffessionality inataka polisi anapomkamata mtu amjulishe kosa lake analotuhumiwa nalo instantly [emoji108]

Kwa wale maamuma mnasema wataenda kujulia polisi kituoni be informed.
 
Shetani hana rafiki , iko siku zamu yako itafika tu
 
Ukiliwa tigo Unaanza kulalamika pussy wewe
ndomyana amenishauri nisitukane. Upande wetu na sisi tunaamini mh. Mbowe na wenzake wana kesi za kujibu, ndiyo maana Mh. Rais Dkt Samia akaingilia kati kuhakikisha kesi zao zote zinakwisha kisheria. Ndiyo maana tukasema basi kama wameamua kuichafua serikali na kumdhihaki Dkt Samia basi kesi zao zirudishwe.
 
Proffessionality inataka polisi anapomkamata mtu amjulishe kosa lake analotuhumiwa nalo instantly [emoji108]

Kwa wale maamuma mnasema wataenda kujulia polisi kituoni be informed.
Hiyo ndiyo maana ya akili ni nywele
 
masheikh wamehukumiwa kunyongwa mpaka kufa kule tanga
Na ndio wanasubiri hiyo hukumu yao
walipewa mashtaka ya ugaidi na hawa ni wahaini
ni sawa na ile tu
Palipo Mungu daima hapaharibiki jambo
 
Unazani anategemea kuishi Kwa uchawa kama wewe,,au unazani anasubiri mshahara mwisho wa mwenz kama maskini mjinga wewe .

Mdude kajipanga,anaweza kukulisha wewe na mke wako na ukooo wako mpka mrudi mavumbini...
Unazani = unadhani. Nyie ni wauaji. Mnamchochea MDUDE ajiingize kwenye matatizo huku mkijificha nyuma ya keyboard. Pumbavu sana
 
Hata Mwalim Julius Kambarage Nyerere,hakuwachekea watu wanaotaka kuleta vurugu.Wapo ambao alidai nao uhuru,kama kina Bibi Titi,Kambona, Fundikira na wengine wengi.Angewachekea leo tusingekuwa na Tanzania hii,tunayoiona,ambao hao wanaiita Tanganyika.
 
Tumewazoea ao nachaajabu ukiwaita mahakamani kutoa ushaidi ikifika zam yao wanaanza kuomba ruhusa wakanye
Hata Mwalimu Julius Kambarage Nyerere,hakuwachekea watu wa ovyo walipoleta ujinga,na walikuwa ni wenzake,walidai uhuru pamoja,wengine kina Kambona walikimbia nchi,kina Bibi Titi,Kina Fundikira na wengineo walikiona cha moto.
 
Mwalimu Julius Kambarage Nyerere,watu wa ovyo hakuwachekea,angewachekea leo tusingekuwa na Tanzania hii unayoiona.Wenzake aliodai nao uhuru,kina Kambona,kina bibi Titi,kina Fundikira,walikiona cha moto.
 
na ukitumwa ni kutii. hata kama unaona sio! hivi kazi za hivi zinaweza kuwa na msomi?


Jesus is Lord
Tena hawa waliokamatwa washukuru Mungu.Wakati wa Mwalimu Kambarage Nyerere,alikuwa hachekei watu watu ovyo,wanaotaka kuvuruga amani.Kina bibi Titi,kina Kambona,kina Fundikira,chamoto walikiona,na wengine wengi.
 
Mdude anapoteza sana muda kwenye harakati za kipuuzi. Hajui fainali uzeeni?
Huyu ashukuru sasa,lakini wakati wa Mwalimu Nyerere,angeozea jela,Kina Bibi Titi,kina Fundikira ,kina Kambona chamoto walikiona,na wengine wengi.Wafikiri Mwalimu angewachekea hawa,leo tusingekuwa na Tanzania hii.
 
Yaani wawashughulikie kabisa kisheria ili wafungwe. Hapa tunamuomba Dr Samia asitoe msamaha kabisa.
Sana,afuate kanuni za Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.Hakuwachekea kina bibi Titi,kina Fundikira ,kina Kambona na wengineo,chamoto walikiona.Japo alidai nao uhuru,lakini walipoleta ujinga,hakuwachekea.
 
Sana,afuate kanuni za Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.Hakuwachekea kina bibi Titi,kina Fundikira ,kina Kambona na wengineo,chamoto walikiona.Japo alidai nao uhuru,lakini walipoleta ujinga,hakuwachekea.
Kabisa ndiyo maana mwanzo mwanzo Dkt Samia alidhani eti Dkt Magufuli alikosea ila sasa kajionea mwenyewe hawa waheshimiwa siyo wa kucheka nao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…