Wakili Mwabukusi, Emmanuel Masonga na Mdude Nyagali wakamatwa na Polisi Mikumi wakiwa safarini kuelekea Dar es Salaam

Wakili Mwabukusi, Emmanuel Masonga na Mdude Nyagali wakamatwa na Polisi Mikumi wakiwa safarini kuelekea Dar es Salaam

NATAMANI LEO TUJAZE NYUZI JF ZIKIENDA
#JUSTICE FOR MWABUKUSI
#MWABUKUSI SIO MHAINI.
#FREE MWABUKUSI.
# MWABUKUSI FOR TANGANYIKA.
# MWABUKUSI KWANZA DP WORLD ISUBIRI.
Ningelifuraika sana endapo angekamatwa Lissu, maana tumechoka naye kwa kutufehedheshea viongozi wetu.
 
Pilato akamuuliza Yesu " Usingetenda kosa lolote wangekuleta kwangu?"
HII UMEWAHI KUISIKIA??

Siku mbili kabla ya sikukuu ya Krismas yaani 23/12/2011 nchini Kenya ilifunguliwa kesi maarufu na bwana Dola Indidis mwanasheria maarufu nchini Kenya aliyeishtaki nchi ya Israel kwa kumuua Yesu.

Kesi hiyo namba FOJ/001/D10/11 Wakili msomi Indidis alidai hakuipeleka kesi mahakamani kwa misingi ya kidini bali kwa misingi ya Kisheria. Alisema "Its academic thing not a theological thing". Yeye alichoangalia si unabii bali legal procedure. Pia alisisitiza ameamua kumtetea Yesu kama mtoto wa Yusufu (fundi seremala) na sio Yesu kama Masihi "I look Jesus as son of Joseph not as the Messiah"

Alipoulizwa mbona ilitabiriwa Yesu atakufa, alisema anafahamu hilo ila hoja sio Yesu kufa, hoja yake ni process iliyotumika kumuua haikuwa sawa kisheria. Alidai mahakama ilikosea kujiingiza kwenye kesi hiyo "The court should not involve itself in that crooked case."

Alisema Yesu angehukumiwa kifo kwa kufuata taratibu za kisheria kusingekuwa na shida, ila aliuawa kikatili bila kupewa haki ya kusikilizwa. Wakati Yesu anapelekwa mahakamani (kwa Pilato) tayari alishaanza kusulubiwa kabla hata hukumu haijatoka.

Huo ulikuwa ukiukwaji wa sheria maana mtuhumiwa hawezi kuadhibiwa kabla ya mahakama kujiridhisha kuwa mtu ana hatia. "no punishment could be made unless the court proved beyond the reasonable doubts that Jesus was guilt" Alisema Yesu angepata wakili wa kumtetea angeachiwa huru. Hata kama ilimpasa kufa angeuawa kwa namna nyingine.

Alidai pia Pilato hakuwa na nguvu ya kisheria ya kusikiliza ile kesi na hata yeye alikiri hilo ndio maana akawarudisha wayahudi kwa Herode. Lakini akalazimishwa kutoa hukumu kwa pressure ya mfalme Herode. "Pilate had no jurisdiction to give the judgment, he confessed, and also he confessed the innocence of Jesus"

Pia alidai Pilato alikiri Yesu kutokuwa na hatia, lakini bado alisulubiwa. Sasa kama Pilato ndio alikuwa Jaji na hakuona hatia ya Yesu kwanini bado Wayahudi walimsulubisha?

Akaongeza kuwa kitendo cha Wayahudi kumsulubisha Yesu mbele ya Jaji (Pilato) ni kujichukulia sheria mkononi na ni uvunjifu wa haki za binadamu. "Jesus was tochered in-front of Judge, that is abuse of Human rights"

Alidai misingi ya haki ilikiukwa katika kuongoza kesi (miscarriage of Justice) na Yesu hakupewa nafasi ya kusikilizwa japo alikuwa akilalamika. "Even Jesus complained but he was not given right to be heard,that is mis-courage of justice."

Alisema pia kuwa maamuzi hayakuzingatia principle of natural justice, na hukumu inapaswa kurekebishwa na Israel kuomba msamaha. "The judgment was bad in law and should be quashed"

Alitumia rejea muhimu ya kesi ya Mwai Kibaki vs Daniel Arap Moi 1999 kama refference ya kesi yake (MWAI KIBAKI Vs DANIEL TOROITICH ARAP MOI, Case Number :Civ App 172 of 1999").

Aliungwa mkono na makanisa kutoka nchi za Norway, Marekani, Israel, Uingereza, Tanzania, Afrika Kusini, Canada na Ujerumani.

Na YERICKO NYERERE.
 
Wao wamesema wameshinda, jamaa wakasema wanakuja kukata rufaa..sasa wanawakamata wa nini? Mbona jamaa wanatumia njia za kistaarabu kabisa japo povu linawatoka wao( kina Tulia na wenzake).

Saa nyingine serikali ndio chanzo cha vurugu..walisema wanaimarisha uhuru wa kutoa maoni lakini inaonekana ni kwa maoni yanayowapendeza wao tu.
Ukweli,jamaa walikuwa wanaenda kuimbua mahakama [emoji1]

Ova
 
Yaani Tz saa zingine tuna fanya mambo ya ajabu kidogo.
Yaani mtu anaweza kua na hoja za maana na muhimu kabisa lakini badala kuziwasilisha kwa umahiri, ufasaha na hekima ili kueleweka, huanza kudhihaki na kukejeli Mihimili ya dollar au viongozi eti ndio ujasiri au uhodari.
Huko ni kukosa hoja, kupoteza muda, thamani na uelekeo wa ya hoja ya Msingi. Zaidi sana ni kuwachanganya Wananchi na kuwapoteza maboya.

Mbaya zaidi vyombo vya dollar vikifanya kazi yake wahusika huwa wadogo kama mbegu ya haradali, hutia huruma kweli kweli na zile hoja za maana huyeyuka na kutokomea kabisa. Mashabiki hutishika na kurud nyuma, kwa sauti ya kinyonge ya keyboard wanaanza ooh sijui #free nani oohh # fulani must be Free etc .....
Acha ujinga bhna Hili Jambo siyo jema aise
 
Mumsaidie atoke sio mnaishia kusikitika tu.

kutikisa Muungano kuliwaweka ndani wale ma Sheikh wa Znz kwa zaidi ya miaka minane.

kuhamasisha uhaini ni kosa kubwa Dunia nzima, hadi sasa Donald Trump anahangaishwa kwa kosa hilo kule Marekani

Mama sasa ataanza kujua kwanini Hayati JPM hakuwa anacheza cheza na wahuni, yeye kataka kujifanya Mwema sasa wamemuonesha rangi zao halisi

Huko Marekani unakoongelea huna lolote la kutolea mfano boss, ni bora ukae kimya. Huku mpaka speaker ana kinga ya kutoshtakiwa, huoni unatolea mfano wa giza na Nuru?
 
Mumsaidie atoke sio mnaishia kusikitika tu.

kutikisa Muungano kuliwaweka ndani wale ma Sheikh wa Znz kwa zaidi ya miaka minane.

kuhamasisha uhaini ni kosa kubwa Dunia nzima, hadi sasa Donald Trump anahangaishwa kwa kosa hilo kule Marekani

Mama sasa ataanza kujua kwanini Hayati JPM hakuwa anacheza cheza na wahuni, yeye kataka kujifanya Mwema sasa wamemuonesha rangi zao halisi
Kwa hiyo wamekamatwa kwa kosa la uhaini? Mbona kama ni hivo hao Uamsho waliachiwa?

Sent from my ATU-L31 using JamiiForums mobile app
 
Ndugu Watanzania,

Taarifa zilizotufikia hivi punde ni kuwa wakili msomi Boniface Kanjunjule Mwabukusi amekamatwa na Jeshi la Polisi kule Mikumi, Morogoro akiwa pamoja na Katibu wa Kanda wa CHADEMA, Emmanuel Masonga na Mdude Nyagali.

Inadaiwa kuwa walikuwa safarini kuelekea Dar es Salaam. Kwa mujibu wa Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika, watu waliojitambulisha kuwa ni Askari ndio wamewakamata pasipo kutaja kosa lao na wapi wanapelekwa zaidi ya kuambiwa ni Maelekezo kutoka Juu. Pia, vifaa vyao vya mawasiliano (Simu za mkononi) vimechukuliwa.
Kama ni uonezi itageuka punde hakuna cha kudumu
 
Back
Top Bottom